Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
- Thread starter
-
- #281
Mbona umekimbia maswali,
Ww waijua Quran tu, bashite on work 😱 😱 😱
mmmh! mie naogopa bhana...kwanza wewe nilikuitaga kule hukuja
Padre anachungulia mikeka yake kwanza
Unamkimbiza mwenzio kwenye Uzi wake lol
Kwa nini wewe ni member ambaye ni Moja ya member muhimu ambao hawajitambui kiakili?
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mcharo hebu tuambie maana ya ishara ya msalaba ni nini?
Je maana ya kwaresma ni nini?
Sidhani kama kuna member humu ana kufikia kwa majibu machafu padri...
Ni hiyo dini mpya imekufunza hivo au tangu ukiwa padri ulikua hivo?
Hapa hakuna padre kakimbia maswali yoteee analeta porojo tu
To a ufafanuzi Koran 10:94
Swali langu, Je Kwanini Una amini Mungu yupo?
Unaweza thibitisha?
Ameliamsha dude amekimbia..acha kuchafua dini za watu kaka.Kua mstaarabu dini ya katoliki hauijui..unless ujibu maswali bila kuruka
Tukio lipi lilitangulia kati ya hayo mawili?
Mkuu jamaa wa Arachuga umemalizana nae?Hata mimi nakuona[emoji1] [emoji1] [emoji1]