Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu



Asante dada betty marandu
Mwanzilishi wa dini sio Mtume.
Mtume ni mjumbe tu wa Mwenyezi Mungu, kama walivo kina Nabii Issa A.S, Musa, Ibrahim, Yusuph, Nuhu na Mfalme Suleiman

Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya binadamu. Ulikuepo tangu enzi za nabii Adam A.S.

Kutokana na jibu hilo, maswali yako yote yaliyobaki hayana maana tena.
Je unafaham sababu kwanini watoto wa dini za binadamu hubatizwa??
 
wewe lazima zimefyatuka... Umesema 2012 ukafuata dini ya haki alafu gwajima kaongea habari za maharage mwaka 2015/16. Unaakili za form two na hakuna padri mwenye akili ya hivi
Patrickn huyu mtu anayejiita padri ni wa kumdharau maana ni mwongo sana na hana hekima hata kidogo. Kwanza hakuwahi kuwa padri maana kwa majibu yake ni mtu asiyekuwa na uelewa kuhusu upadri na ukristo kwa ujumla. Zaidi ya hapo kwa kiwango cha elimu alosema angeweza kuwa mstaarabu. Pia anajieleza alibet na kupoteza hela zake sasa huyu kwa uwongo wake mbona hata dini aloiita ya haki hairuhusu kubet?
Apuuzwe tu maana hajielewi.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Asante dada rubii kwa ufatiliaji wako.
Tafadhali soma post namba 15 nimejibu vizuri tu.
Bahati yako nimeahidi kuwa Sitotukana mtu hapa.
Otherwise ningekuwashia moto hapa mpaka uimbe "a e i o u"
Kwenye dini yako mpya uwongo unaruhusiwa?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Mcharo naaamini hata si mkatoliki. Hapa anayafuta kiki ila kwa njia mbaya ka kujenga chuki. Hana lolote mpuuze tu.

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kweli kati ya waloandika quran mmoja alikuwa na mashetani?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Mimi najua mcharuko huwa wanaitwa wanawake!! Hakuna padre mwanamke...

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app


Hicho ki simu chako bila shaka hakisapoti 4G. Ukitaka kuhamia 4G lazima ukiuze ununue C9.
Na sijui utamuuzia nani asiyetaka kuhamia 4G masikini
 
Njia ya mwongo ni fupi. Ungejaribu hata kuuliza uliza kuhusu upadri kabla hujauvaa uhusika usokuwa nao. Pole kwa mahangaiko ya nafsi. Maandiko yanasema wazi wenye kusumbuliwa na kuhangaika pumziko hupatikana wapi.

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Ndivyo dini ya haki ilivyokufunza? Ama kweli sikio la kufa!!!!!!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 


Uliza ujibiwe. Karibu
 
Were inwezekana bangi zimekutwala na uzinifu
Na mapepo kabisaaaaa. Sasa sijui huko alikoenda hawana uwezo wa kuombea itakuwaje sasa? Ataongezewa na makombe ataishia kubeba ile bendera ya kijani, ndevu ndefuuu, makobazi miguuni na kutembea spidi kali huku kavaa kanzu na kipedo. Mcharo! Kiruhu shauri yako

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Yaan bado nakuona una tatizo, kwa sababu kila mtu unayemjibu humu JF unamwita dada. Toka lini umeniona mimi ni KE? Umejaa kejeli tu.. Mungu akusaidie sana


Blaza, tatizo jina lako na avatar havioneshi kuwa wewe ni gender ipi.
Nimetumia weledi wangu wa Thelogy kutokana namna ya uandishi wako nika conclude kuwa wewe utakua Mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…