Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kufanyika July 31 , 2021 Jijini Mbeya

Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA kufanyika July 31 , 2021 Jijini Mbeya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , leo kimetangaza siku ya kufanyika kwa mkutano mkubwa kabisa wa chama hicho ambao ni Baraza Kuu la Chama , uliopangwa kufanyika Jijini Mbeya July 31 2021 . Taarifa hii imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe , Jijini Mwanza .

Kikao hiki kikubwa hufanyika mara moja tu kwa mwaka , ambapo imetangazwa kwamba ajenda kadhaa zitajadiliwa , ikiwemo ile iliyouliziwa sana na wanaccm akina Petro E. Mselewa na wenzake ya kutimuliwa kwa Wasaliti akiwemo Halima Mdee

======

Mimi nikiwa mtu wa Kyela ambayo imo ndani ya Mkoa wa Mbeya nachukua nafasi hii kuwakaribisha Wajumbe wote Mkoani Mbeya
 
Imekaa Njema Sana!! Aluta Continua Victoria acerta!(M.A.P Ben Saanane).
 
Covid wataitwa mbeya au watazijadili tu barua zao bila kuwepo.

Najisikia aibu kama mimi kuhojiwa na watu toka maeneo mbalimbali huku ukweli naujua.
Amani na ujasiri vinatoweka.Ndugai bora awasindikize
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , leo kimetangaza siku ya kufanyika kwa mkutano mkubwa kabisa wa chama hicho ambao ni Baraza Kuu la Chama , uliopangwa kufanyika Jijini Mbeya July 31 2021 . Taarifa hii imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe , Jijini Mwanza .

Kikao hiki kikubwa hufanyika mara moja tu kwa mwaka , ambapo imetangazwa kwamba ajenda kadhaa zitajadiliwa , ikiwemo ile iliyouliziwa sana na wanaccm akina Petro E. Mselewa na wenzake ya kutimuliwa kwa Wasaliti akiwemo Halima Mdee

======

Mimi nikiwa mtu wa Kyela ambayo imo ndani ya Mkoa wa Mbeya nachukua nafasi hii kuwakaribisha Wajumbe wote Mkoani Mbeya
Ndagha mwisule bhakamu bhitu bha CHADEMA.
Karibuni Mbeya, Ardhi ya mabadiliko
 
Back
Top Bottom