Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbeya haina njaa wala haijawahi kuwa na njaa , karibu sana!Utapeleka ndizi zakuwalisha? Iwe karibu ya uhakika
Ndaga fijo! UgonileeeeMbeya haina njaa wala haijawahi kuwa na njaa , karibu sana !
hujakoseaNdaga fijo! Ugonileeee
Nimepatia?
Karibu sana mkuuAisee!!
Yupi huyoWamafukuze na yule mbunge fake wa Sumbawanga
Ndaga fijoMbeya haina njaa wala haijawahi kuwa na njaa , karibu sana !
Mwisho wao umefika rasmiCovid -19 haya jiandaeni kujitetea..au na awamu hii mtasema mlitishwa kupigwa ngwara ha ha ha
Kaboyoka na umri wake huo unaingizwa cha kiume na mabinti ambao hata ndoa hawana kweli....kambi popote...Mwisho wao umefika rasmi
Ndagha mwisule bhakamu bhitu bha CHADEMA.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , leo kimetangaza siku ya kufanyika kwa mkutano mkubwa kabisa wa chama hicho ambao ni Baraza Kuu la Chama , uliopangwa kufanyika Jijini Mbeya July 31 2021 . Taarifa hii imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho , Freeman Mbowe , Jijini Mwanza .
Kikao hiki kikubwa hufanyika mara moja tu kwa mwaka , ambapo imetangazwa kwamba ajenda kadhaa zitajadiliwa , ikiwemo ile iliyouliziwa sana na wanaccm akina Petro E. Mselewa na wenzake ya kutimuliwa kwa Wasaliti akiwemo Halima Mdee
======
Mimi nikiwa mtu wa Kyela ambayo imo ndani ya Mkoa wa Mbeya nachukua nafasi hii kuwakaribisha Wajumbe wote Mkoani Mbeya