Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Habari?

Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenzi. Yaani bila kupepesa macho huna imani tena kiasi kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa kama si wangu ewalaaa. Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)

Mwenyezi Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.

Amina

1648621221354.png
 
Maandiko yako humu JF inaonyesha ni kiasi gani moyo wako unabubujikwa chozi, Pole jitahidi kujiepusha na mada za mmu maana angalau itakufariji.

Note; Mwanaume atakayekuweka ndani namuonea huruma sana maana wewe mpaka sasa ni simba jike aliyejeruhiwa, jamaa ajiandae kupata taste ya makucha.
 
Maandiko yako humu JF inaonyesha ni kiasi gani moyo wako unabubujikwa chozi, Pole jitahidi kujiepusha na mada za mmu maana angalau itakufariji.

Note; Mwanaume atakayekuweka ndani namuonea huruma sana maana wewe mpaka sasa ni simba jike aliyejeruhiwa, jamaa ajiandae kupata taste ya makucha.
Sure yaan,ataumia
 
Pole mno, katika vitu nashukuru ni kwamba hakuna x aliwahi nijeruhi kiasi nikachukia mapenzi,

Najua kupenda bhana, nikipenda napenda km ndo naanza mapenzi siwezi kujibana bana ktk hilo nikimuelewa mtoto wa mtu nampenda bila kuhofia kitu yani
 
Kuna binti tunapendana toka secondary na ni first love Ila nipo attention Moyo wangu staki ufe nipo hai

Kuna matukio mtu mnagombana unaumia unasema namuacha Ila unajua kabisa anakupenda

Penzi likikolea unaona mapenzi hayawezi kukusumbua kosa tu mgombane aisee mapenzi sometimes ni u...
 
Kuna binti tunapendana toka secondary na ni first love Ila nipo attention Moyo wangu staki ufe nipo hai

Kuna matukio mtu mnagombana unaumia unasema namuacha Ila unajua kabisa anakupenda

Penzi likikolea unaona mapenzi hayawezi kukusumbua kosa tu mgombane aisee mapenzi sometimes ni u...
U ..sanaaa
 
Back
Top Bottom