Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Ila ulipopenda sasa itakua hakuna stress...Ndo ninapoumia zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ulipopenda sasa itakua hakuna stress...Ndo ninapoumia zaidi
Tatizo mnampenda kichwa kichwa mwili mzima ndio maana mnaumia .Habari? Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenz.
Yaan bila kupepesa macho huna imani tena kias kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa...kama si wangu ewalaaa.
Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyez Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.Amina
NB;Tusiumie tena.EASY
Ndiyo ushadondokea... Unasubiri miongozo...Sijui nitumie mbinu gani...maana hata sielewi...au nijifanye kama sielewi kumbe nimeelewa mazima?
Tungekua na watu kadhaa wenye mtazamo wako, nakuhakikishia tungekua mbali sana kuburidishana ki akili na moyo pia 🤔🤔Ndio shida ya kuwa na mpenzi mmoja[emoji23][emoji23].
Ukiwa na wawili watatu hivi mapenzi hayasumbui.
ShindwaaaaIla poa, mtaachana tu.....😪
Tatizo liko hapo "You can't Sleep without .....Tumependana 8 months .. ile kinazi I can't sleep till I see you au till nisikie sauti au Tuchat till usiku wa manane ..
Alivyopata admission mambo yakachange damn ila nn fresh
Exactly bro , ila naendelea vizuri kiasi .Tatizo liko hapo "You can't Sleep without .....
Kuachwa hata sio tatizo.
Hivi mkuu umefikiria nin kuanzisha hii mada?Hujakosea
Mnajiendekeza tu kama vi last bornMoyo