Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Tatizo ni kwamba hata ukiwa na pesa afu huna unayefurahia naye zinakuwa hazina maana, labda ubadili furaha ya hisia iende kwenye mifuko ya cement na matofali, uishie kujenga tu!
Kuna kaukweli
 
Mimi nishafika stage ambayo hata aje mfano wa malaika kwa umbo la mwanamke akasema yeye ametumwa kwa ajili yangu basi sitaki hata anisogelee.

Kitu nillichojifunza kwenye maisha ni kwamba sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu,Kuna vingine ni kwa ajili ya waliochaguliwa tu.

Katika moja ya vitu ambavyo nilishaamua kuwa havinihusu kabisa basi ni mapenzi.

Nishapitia hii shida mara tatu kubwa na mara mbili kati ya hizo wanawake waliolewa wakati bado tuko kwenye mahusiano,binadamu wakatili sana nikaalikwa na shughuli kabisa yani.

Mtu asinambie habari za ntampata wa kunipenda wala nisisikie habari za Mimi kuoa,TAFADHALI.
 
Mimi nishafika stage ambayo hata aje mfano wa malaika kwa umbo la mwanamke akasema yeye ametumwa kwa ajili yangu basi sitaki hata anisogelee.
Kitu nillichojifunza kwenye maisha ni kwamba sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu,Kuna vingine ni kwa ajili ya waliochaguliwa tu.katika moja ya vitu ambavyo nilishaamua kuwa havinihusu kabisa basi ni mapenzi.
Nishapitia hii shida mara tatu kubwa na mara mbili kati ya hizo wanawake waliolewa wakati bado tuko kwenye mahusiano,binadamu wakatili sana nikaalikwa na shughuli kabisa yani.Mtu asinambie habari za ntampata wa kunipenda wala nisisikie habari za Mimi kuoa,TAFADHALI.
Ha ha haa
 
Habari? Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenz.
Yaan bila kupepesa macho huna imani tena kias kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa...kama si wangu ewalaaa.

Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyez Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.Amina

NB;Tusiumie tena.EASY
Sasa mbususu itakuwa inakaa bila matumizi jamani
 
Mimi nishafika stage ambayo hata aje mfano wa malaika kwa umbo la mwanamke akasema yeye ametumwa kwa ajili yangu basi sitaki hata anisogelee.
Kitu nillichojifunza kwenye maisha ni kwamba sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu,Kuna vingine ni kwa ajili ya waliochaguliwa tu.katika moja ya vitu ambavyo nilishaamua kuwa havinihusu kabisa basi ni mapenzi.
Nishapitia hii shida mara tatu kubwa na mara mbili kati ya hizo wanawake waliolewa wakati bado tuko kwenye mahusiano,binadamu wakatili sana nikaalikwa na shughuli kabisa yani.Mtu asinambie habari za ntampata wa kunipenda wala nisisikie habari za Mimi kuoa,TAFADHALI.
Tuanze na hiyo avatar hapo boss ...au basi tuendelee na mada husika
 
Acha usitutishe bhnaa.....unatka nambia nliempata leo baada ya kukaa kwa muda bila mahusiano nae atatekeleza mission kama ya kwako ya kuniangushia kitu kizito?
 
Mimi nishafika stage ambayo hata aje mfano wa malaika kwa umbo la mwanamke akasema yeye ametumwa kwa ajili yangu basi sitaki hata anisogelee.
Kitu nillichojifunza kwenye maisha ni kwamba sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu,Kuna vingine ni kwa ajili ya waliochaguliwa tu.katika moja ya vitu ambavyo nilishaamua kuwa havinihusu kabisa basi ni mapenzi.
Nishapitia hii shida mara tatu kubwa na mara mbili kati ya hizo wanawake waliolewa wakati bado tuko kwenye mahusiano,binadamu wakatili sana nikaalikwa na shughuli kabisa yani.Mtu asinambie habari za ntampata wa kunipenda wala nisisikie habari za Mimi kuoa,TAFADHALI.
Hahah Mimi ningeenda kuangukia keki aisee
 
Acha usitutishe bhnaa.....unatka nambia nliempata leo baada ya kukaa kwa muda bila mahusiano nae atatekeleza mission kama ya kwako ya kuniangushia kitu kizito?
We tulia tu
 
Halafu mabinti mnaolialia juu ya mapenzi ndio kutwa mnakutana na vifaruhande...

Usiwekeze furaha yako kwa mtu, hii ni kanuni namba moja ya ubinafsi...
Asante
 
Back
Top Bottom