Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha niforce tu hakuna namnaaWe tulia tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Wamelenga kichwa kuna kufurukuta tena
Navyojua atarudi tu..😂Ashapata yule mwenye saut ya kokoto ndo maana huku humuoni sanaa
Sasa kama umeshajua nini tatizo weka emotions aside alafu enjoy kupelekewa motoSana,...ndicho kinachonicost
[emoji23][emoji23]Hivi nyie mnao umizwa na hii kitu mapenzi, hua mnaumia wapi?
Yaani nikikuuliza unaweza ukanionyesha panapo una kwasababu ya mapenzi?
Kuna mtu kaniambia eti anaumia kwasababu ya mapenzi, sasa nimemuuliza anionyeshe mahali panapo muuma
Haha!atakuja atupe tu muongozo manaa hatak kumfariji hata huyu mwenzi TYNavyojua atarudi tu..😂
Hakika mkuuCha msingi ni kutokuwa na expectations tu. Ukianza kutegemea lolote kutoka kwa ulienae, utapata stress na kuumia. Ubaya ukionesha kuumia kwako, wanawake wengi wanakushusha katika status ya umbwaa. Kwisha habari yako na depression baada ya hapo
Pole mkuu, hivi upo mkoa gani !?Maana ndicho kilichonileta dunian
Forest au Uyole hapo?Karibu mbeya
Kwa kweli u ajitambua kama mwanamke. Kongole kwakoMaana ndicho kilichonileta dunian
😀Haha!atakuja atupe tu muongozo manaa hatak kumfariji hata huyu mwenzi TY
Kikubwa mungu alichokiweka kwa binadamu ni KUSAHAU. Mapenzi yanauma, unazoea inabaki story tuuHabari?
Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenz.
Yaan bila kupepesa macho huna imani tena kias kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa...kama si wangu ewalaaa.
Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyez Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.
Amina
NB;Tusiumie tena.EASY