Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweliTubarikiwe sote mpenzi!ukiona nyani kazeeka jua kakwepa mishale mingi sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]kaka mmepona kabisaa now life linasonga ukisamehe mambo yanaenda vzr kabisaaKwani kaachwa?
Kipindi kile na wewe ulivurugwa...
Lakini ndio maisha.
hahahahahaha! kitu kizito kimetua dadadek!Wamelenga kichwa kuna kufurukuta tena
Umetisha..Najua kupenda bhana, nikipenda napenda km ndo naanza mapenzi siwezi kujibana bana ktk hilo nikimuelewa mtoto wa mtu nampenda bila kuhofia kitu yani
Wachaaa wewe....Nimekupenda bure.Pole mno, katika vitu nashukuru ni kwamba hakuna x aliwahi nijeruhi kiasi nikachukia mapenzi,
Najua kupenda bhana, nikipenda napenda km ndo naanza mapenzi siwezi kujibana bana ktk hilo nikimuelewa mtoto wa mtu nampenda bila kuhofia kitu yani
😍😍Wachaaa wewe....Nimekupenda bure.
Tatizo mnayafanya kokote.Mapenzi Yana sehemu zake special.Yan mm mapenzi mshayaona adui kwangu
Hicho ndio kitu naishi Mimi,yakiwepo sawa yasipokuwepo narelax zanguTujifunze kuyachukulia mapenzi kama sehemu ya maisha tu na sio lazima kuipa headlines kivile.
Njia bora ya kufurahia maisha hii.Hicho ndio kitu naishi Mimi,yakiwepo sawa yasipokuwepo narelax zangu
Hii comments inaendana na avatar yako!Bado nipo kwenye tutorial ya "minding my own bussiness" na "no expectations" alafu ntajaribu
😂😂😂😂😂😂eti kengeNiliumia mara moja tu, tena mpenz wangu alikufa kwny ajali ya meli ile Mv Spice Islander iliyotokea Nungwi.
Ila hawa kenge wengine huwa nakuwa na tahadhari nao sana na wala siumiagi. Na sidhani kama itatokea.
Sana,unakubali matokeo unatulia.Njia bora ya kufurahia maisha hii.