perky
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 286
- 459
Sijamaanisha tendoTatizo mnayafanya kokote.Mapenzi Yana sehemu zake special.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamaanisha tendoTatizo mnayafanya kokote.Mapenzi Yana sehemu zake special.
Big up sana kwa hloKuna bwege mmoja alinikoroga mtima wangu mpaka sio poa, yani ni kama movie hivi. Nilipojaribu kurudi tena katika mahusiano huyo ndie alinivuruga kabisaaa,picha la kutisha nilokutana nalo kwa yule wa kwanza ni nafuu.
Kwasasa natafuta sana pesa,nakua bize muda mwingi,sina weekend,yani mimi ni kazi tu. Nikirudi kulala nakua nimechoka sana hivyo nalala kama ubao nakuamka kama ubao. Siwezi kuvuruga ratiba yangu kisa mtoto wa mtu.
Utavuruga tuKuna bwege mmoja alinikoroga mtima wangu mpaka sio poa, yani ni kama movie hivi. Nilipojaribu kurudi tena katika mahusiano huyo ndie alinivuruga kabisaaa,picha la kutisha nilokutana nalo kwa yule wa kwanza ni nafuu.
Kwasasa natafuta sana pesa,nakua bize muda mwingi,sina weekend,yani mimi ni kazi tu. Nikirudi kulala nakua nimechoka sana hivyo nalala kama ubao nakuamka kama ubao. Siwezi kuvuruga ratiba yangu kisa mtoto wa mtu.
Asante sanaTatizo expectations ndiyo yanaumiza moyo Sana. Ukipenda ww penda, Yani Mpende mpaka ajione peke yake apa duniani. Lkn acha expectations pembeni, acha kuangalia ya baadae, wala ya zamani, ww angalia ya sasa. Hakika utadumu kwa mahusiano yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee dea khaaah.Ndio shida ya kuwa na mpenzi mmoja[emoji23][emoji23].
Ukiwa na wawili watatu hivi mapenzi hayasumbui.
Pole bibiye, nashindwa nikushauri nini au niseme nini? Maana mapenzi mapenzi yaache tu ila kwanini unapenda na wewe???..Habari?
Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenzi. Yaani bila kupepesa macho huna imani tena kiasi kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa kama si wangu ewalaaa. Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyezi Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.
Amina
karibu nikupoze, mwakata, nyinza, Vavene, kamwene, Wangaluka, ausindile, ushindidachi, kusinda vihi, namnaani, mbukweni, wakashina, kwabwina, masipota, shimboni, saitaa, amang'ana, Mwaghona, mwaluka bwanji, walindauli, ughonile, ausindile, mashine mtambuka ipo imejaa teleTania tu
😃😃😃haya mapenzi mda mwingi ukiyachukulia serious sana mwisho huwa ni mbovuHii comments inaendana na avatar yako!
Ughonilekaribu nikupoze, mwakata, nyinza, Vavene, kamwene, Wangaluka, ausindile, ushindidachi, kusinda vihi, namnaani, mbukweni, wakashina, kwabwina, masipota, shimboni, saitaa, amang'ana, Mwaghona, mwaluka bwanji, walindauli, ughonile, ausindile, mashine mtambuka ipo imejaa tele
Sio kweli kabisaNishapoa
Ukiacha kujiumiza na punyere utaelewa mkuuMapenzi yanawapigaje watu?
Mbona sielewi?
Mwanaume unapigwaje ama unaumizwaje na mapenzi?
Nimeandika mapenzi,We umeona tendo hapo?Sijamaanisha tendo