cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kabisaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Sure yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Sure yaan
ena mwalongeza bwanji enyae, habari jaliulo?Ughonile
Mapenzi ni nyo....Sijui nitumie mbinu gani...maana hata sielewi...au nijifanye kama sielewi kumbe nimeelewa mazima?
Hehe wanakula muda sana na wengi hawana imani na watu kirahisi. So vitu kama sex vinaweza kuchukua muda. Ukutane na awe na kiburi pia kinachofuata ni kupewa character development.Natamani sana kudate na alochanika moyo kimapenzi ili nimshone na sindano ya gunia
Pole sana, lakini ukija kwangu sitakuumiza laazizi utafaid mahaba yangu adi utakapozeeka.Habari?
Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenzi. Yaani bila kupepesa macho huna imani tena kiasi kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa kama si wangu ewalaaa. Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyezi Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.
Amina
Pole sana, lakini ukija kwangu sitakuumiza laazizi utafaid mahaba yangu adi utakapozeeka.
Safi mzee... kuchezea za uso kulikupa akiliKuna bwege mmoja alinikoroga mtima wangu mpaka sio poa, yani ni kama movie hivi. Nilipojaribu kurudi tena katika mahusiano huyo ndie alinivuruga kabisaaa,picha la kutisha nilokutana nalo kwa yule wa kwanza ni nafuu.
Kwasasa natafuta sana pesa,nakua bize muda mwingi,sina weekend,yani mimi ni kazi tu. Nikirudi kulala nakua nimechoka sana hivyo nalala kama ubao nakuamka kama ubao. Siwezi kuvuruga ratiba yangu kisa mtoto wa mtu.
Sema shida ya haya makitu huwa hayatabirikiUtavuruga tu
We jamaa comments zako [emoji23]Mapenzi yanaumizaje hivi? Mi hata sielewi,Umekutana na Limtu huko lilikotoka Sijui limelelewa vipi kisa Kugusanisha Vikojoleo ndio Liniumize,Tupa kule!!
Unaingiaje nusu nusu...au ndio kusema we unaingia kwenye makubaliano ya kugegedana tuuMapenzi ni nyo....
Sasa hivi ukimpenda mtu ingia nusu nusu...ukiingia mzima aisee ukipigwa tukuo utaona dunia chungu....
Kuna mijitu haina shukuran aiseee.....
Mi nilishajifunzaga[emoji38]
Tamu!We jamaa comments zako [emoji23]
Nimekuja kwa speed zote kwenye hiki kikao, maana toka alivyoniacha sina nyota wala mweziHabari?
Embu tukutane tuliopigwa sana na hizi mambo zinaitwa mapenzi mpaka tumekiri kuwa pesa ni furaha kuliko mapenzi. Yaani bila kupepesa macho huna imani tena kiasi kwamba hata ukipata MTU unajisemea'nakuachia wewe Mola kama wangu ewalaaa kama si wangu ewalaaa. Na umeazimia hata ukifa huna MTU ni poa tu kikubwa nisipate tabu hata kwenye kupata msosi.(ndalama)
Mwenyezi Mungu abariki na kuponya mioyo yetu maisha yasonge.
Amina
[emoji23][emoji23][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti kenge
Wahi sasa nafasi ni chache.😂😂😂Hakika naamin