Sure yaan,ataumiaMaandiko yako humu JF inaonyesha ni kiasi gani moyo wako unabubujikwa chozi, Pole jitahidi kujiepusha na mada za mmu maana angalau itakufariji.
Note; Mwanaume atakayekuweka ndani namuonea huruma sana maana wewe mpaka sasa ni simba jike aliyejeruhiwa, jamaa ajiandae kupata taste ya makucha.
MoyoHivi nyie mnao umizwa na hii kitu mapenzi, hua mnaumia wapi??
Yaani nikikuuliza unaweza ukanionyesha panapo una kwasababu ya mapenzi??
Kuna mtu kaniambia eti anaumia kwasababu ya mapenzi, sasa nimemuuliza anionyeshe mahali panapo muuma
Hongera cute...mwenzio nitazikwa naliaPole mno, katika vitu nashukuru ni kwamba hakuna x aliwahi nijeruhi kiasi nikachukia mapenzi, najua kupenda bhana, nikipenda napenda km ndo naanza mapenzi siwezi kujibana bana ktk hilo nikimuelewa mtoto wa mtu nampenda bila kuhofia kitu yani
Dahhhh....Pole mno, katika vitu nashukuru ni kwamba hakuna x aliwahi nijeruhi kiasi nikachukia mapenzi, najua kupenda bhana, nikipenda napenda km ndo naanza mapenzi siwezi kujibana bana ktk hilo nikimuelewa mtoto wa mtu nampenda bila kuhofia kitu yani
Ni maumivu ya feeling,kama ujuavyo mapenzi ni hisia "Feeling"Hivi nyie mnao umizwa na hii kitu mapenzi, hua mnaumia wapi??
Yaani nikikuuliza unaweza ukanionyesha panapo una kwasababu ya mapenzi??
Kuna mtu kaniambia eti anaumia kwasababu ya mapenzi, sasa nimemuuliza anionyeshe mahali panapo muuma
U ..sanaaaKuna binti tunapendana toka secondary na ni first love Ila nipo attention Moyo wangu staki ufe nipo hai
Kuna matukio mtu mnagombana unaumia unasema namuacha Ila unajua kabisa anakupenda
Penzi likikolea unaona mapenzi hayawezi kukusumbua kosa tu mgombane aisee mapenzi sometimes ni u...