Kikao cha dharura: Kwa wanaume tulio kwenye ndoa mbinu za kukabiliana na wanaowataka wake zetu

Kikao cha dharura: Kwa wanaume tulio kwenye ndoa mbinu za kukabiliana na wanaowataka wake zetu

Shida iko kwa mkeo ndio malaya

Hata ukimpiga huyo mkeo atatafuta mwingine...
 
Habar zenu wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa natumaini mko salama

Nimeleta kikao hiki ili tupeane ushuhuda jinsi ya kukabiliana na hawa ndinjii ambao wamekuwa hatari sana kwenye ndoa zetu hawa ndinjii wakishakula wake zetu huwa wanajisifu na kujiona wameyapatia maisha
Mkuu, hata huu uzi umeuandika kwa hasira baada tu ya kufungua simu ya mke wako! Hakuna cha maana hapa zaidi ya kutisha watu!

Mke ni mali ya jamii nzima! Kwani tukiichakata hiyo mbususu tunaondoka nayo? Au inaisha utamu?

Cool down mkuu!

Ila eti nikamkamata nikaenda kum.. hakuna kitu kama hicho! All in all hii ni chai!
 
Huo muda wa kufuatilia simu za wake zenu huwa mnaupata wapi?
Mwenye papuchi kaamua kugawa kwa ridhaa yake Mimi niumie kwa lipi? Kuwa mke...
Na ndivyo waume bora tunavyotakiwa kuwa, sio kujivika u C.I.A kwenye ndoa zetu! Kwa jinsi mimi ninavyochakata wake za watu, acha mke wangu naye achakatwe! Ni kubadilishana ladha tu!
Tukaeni kwa kutulia!
 
Mwanaume mwenye akili akigundua mkewe ni mzinzi huachana naye kimya kimya, sasa wewe Umegundua mkeo anagegedwa na mjuba halafu unakuja kutusimulia hapa wanavyofanyana, kisha unajisifu kuwa ulimsaka mjuba ukampata ukampa onyo kisha ukamchora na spoku kwenye upaja 😳.

Bwashee nikikuweka ktk kundi la wanaume wajinga nitakuwa nimekuonea?
 
Habari zenu wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa natumaini mko salama

Nimeleta kikao hiki ili tupeane ushuhuda jinsi ya kukabiliana na hawa ndinjii ambao wamekuwa hatari sana kwenye ndoa zetu hawa ndinjii wakishakula wake zetu huwa wanajisifu na kujiona wameyapatia maisha.
Ukiona mkeo anachepuka;
  • Jiulize wewe una mapungufu gani??
  • Jiulize nini anakikosa nyumbani?
  • Jiulize tabia hiyo kaianza lini?
 
Tabia Ni Kama ngozi,haibadiliki kamwe.Mkeo Kama Ni mchepukaji lazima atachepukia kwingine tu.

Usikute Ana michepuko zaidi ya 5 afu wewe umezima mmoja tu.Kazi bado unayo Yaani.
Habari zenu wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa natumaini mko salama

Nimeleta kikao hiki ili tupeane ushuhuda jinsi ya kukabiliana na hawa ndinjii ambao wamekuwa hatari sana kwenye ndoa zetu hawa ndinjii wakishakula wake zetu huwa wanajisifu na kujiona wameyapatia maisha.

USHUHUDA
Mwenzi uliopita niliona dalili za wife kubadilika kitabia ile kwa gafla ukimwambia hiki anakujibu hivi, mzigo napewa hadi atake yeye, na mambo kedekede,nikasema hapa kuna namna.

Nikaanza kufanya upelelezi wa chini kwa chini nikawa naamka usiku wa manane nachukua simu yake tayari kwa uchunguzi
Siku ya kwanza sikuona kitu

Ya pili hivyo hivyo,
Ya tatu nikaingia kwenye mitandao yake ya kijamii ile naingia wasapu. Asee meseji na picha nilizokutana nazo nilichoka.

Usiku ule ule hasira ikanipanda,ile kuwaza nifanyeje malaika akanitokea akasema tulia dogo walianza wenzako,fanya moja mbili tatu basi nikapoa hapo wife sikumwambia kitu asubuh nimeamka na furaha ajabu basi kila nikiongea na wife katkt ya maneno nachomeka sentes ,kuchepuka raha sana, akawa anahoji unamaanisha nini,nikasema tulia ww

Siku ya kibano ikafika nikapanga mashambulizi saa 12 jana nimerudi hom mapema kwa kuwa tayari nimeshafanya upelelez wa kutosha pasipo wife kujua.

Nikachukua simu yake ye alikuwa anaoga nikamtext huyu jamaa nikijifanya kama wife jamaa akapiga simu nikampa binti mmoja hivi akamjibu short cut usipige ila chukua boda njoo sehem fulan hivi tukutane ndinjii mwitu akaingia ling nikachukua pila fasta eneo la tukio kilichofata text ndinjii mwitu ananitumia beib nimefika na kweli nikamuona ila ni usiju huez jua kinachoendelea lile eneo nikamjibu nisubir hapo hapo nakuja nika mtaget mara jamaa ana roba nilikuja na wana asee nilipigaaa nilivyo kumbuka zile text na mke wangu hasira zilizid nikamfunga tupia kwenye gari.

Nikarudi hom nikamwita wife nikamwonyesha vidio za tukio. Nikamchora maneno fulani hivi kwa spoku za moto kwenye upaja wake na kumpiga Mkwara mimi ndio kidume hapa ukijikoroga na kupika mwanaume huyoooo
Imeisha hiyooooop

Ndio hivyo wakuu tuzidi peana mbinu
 
Kuna baadh ya nyuzi unatamani kama kungekuwa na kitufe cha kudelete
 
Back
Top Bottom