Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Hii kitu niliiwaza kabisa na nilisema hapa. Huyu Perez atakuja tengeneza pesa ndefu sana kwenye hivi vilabu vilivyo jifanya kujiondoa Super League. Vilabu vilikurupuka kusaini mkataba wa Super League kwa tamaa za kifedha, sasa kibao kitageuka kwao. Perez anadai hakuna alie lipa fidia ya kujitoa, Hahahahahaaa. Yaani lazima walipe fidia za kuvunja mkataba, Perez ni nyoko sana