UEFA wana hali ngumu sana kwa sababu vilabu vikubwa vya dunia tayari wameshaunga mkono jambo hili bila kupepesa nadhan UEFA na FIFA bora waje matao ya chini kuwe na league 3 ukitoa zile za ndani, hiyo Champion League, Super league na Europa hapa issue kubwa ni biashara kama UEFA wameona ni changamoto basi waongeze mapato kwa hivyo vilabu na kuwa wawazi zaidi ili clubs wanachama wavunje mkataba na Super League.,
Kwa mara ya kwanza soccer linapata mtikisiko wa aina yake, na nadhan hii UEFA hawakuilalia wala kuiamkia imekuja kufumuka tu tayari watu washaingia sokoni kushawishi vilabu.,
UEFA mimi nawachukia sana mwaka 2011 Arsenal ikichecha na Barcalona ikiwa tayari Arsenal wanaitoa barcalona basi walimpa kadi nyekundu Van Parsie kwa mipango tu ili fainali lazima akacheze Barcalona na team nyengine ili wake make more money.,