Fixture ya Arsenal FC katika hii European Super League kwa mwaka huu 2021 ilikua;UEFA wana hali ngumu sana kwa sababu vilabu vikubwa vya dunia tayari wameshaunga mkono jambo hili bila kupepesa nadhan UEFA na FIFA bora waje matao ya chini kuwe na league 3 ukitoa zile za ndani, hiyo Champion League, Super league na Europa hapa issue kubwa ni biashara kama UEFA wameona ni changamoto basi waongeze mapato kwa hivyo vilabu na kuwa wawazi zaidi ili clubs wanachama wavunje mkataba na Super League.,
Kwa mara ya kwanza soccer linapata mtikisiko wa aina yake, na nadhan hii UEFA hawakuilalia wala kuiamkia imekuja kufumuka tu tayari watu washaingia sokoni kushawishi vilabu.,
UEFA mimi nawachukia sana mwaka 2011 Arsenal ikichecha na Barcalona ikiwa tayari Arsenal wanaitoa barcalona basi walimpa kadi nyekundu Van Parsie kwa mipango tu ili fainali lazima akacheze Barcalona na team nyengine ili wake make more money.,
Hizi fixture mkuu hazina athari kwa Arsenal tu ata rais wa madrid club bora ulimwenguni amelalamikia kuanza kupangiwa na team kubwa pia ni changamotoFixture ya Arsenal FC katika hii European Super League kwa mwaka huu 2021 ilikua;
1) Arsenal FC VS Juventus.
2) Arsenal FC VS Real Madrid.
3) Arsenal FC VS Barcelona.
4) Arsenal FC VS Inter Milan.
5) Arsenal FC VS Atletico Madrid.
Arteta skin tight ingempwaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila week timu zingekua zinamlia mingo Arsenal FC namna hii.
View attachment 1760862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nimecheka kwa sauti!!!Fixture ya Arsenal FC katika hii European Super League kwa mwaka huu 2021 ilikua;
1) Arsenal FC VS Juventus.
2) Arsenal FC VS Real Madrid.
3) Arsenal FC VS Barcelona.
4) Arsenal FC VS Inter Milan.
5) Arsenal FC VS Atletico Madrid.
Arteta skin tight ingempwaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila week timu zingekua zinamlia mingo Arsenal FC namna hii.
View attachment 1760862
Bila shaka wewe ni diehard fan wa Arsenal!UEFA wana hali ngumu sana kwa sababu vilabu vikubwa vya dunia tayari wameshaunga mkono jambo hili bila kupepesa nadhan UEFA na FIFA bora waje matao ya chini kuwe na league 3 ukitoa zile za ndani, hiyo Champion League, Super league na Europa hapa issue kubwa ni biashara kama UEFA wameona ni changamoto basi waongeze mapato kwa hivyo vilabu na kuwa wawazi zaidi ili clubs wanachama wavunje mkataba na Super League.,
Kwa mara ya kwanza soccer linapata mtikisiko wa aina yake, na nadhan hii UEFA hawakuilalia wala kuiamkia imekuja kufumuka tu tayari watu washaingia sokoni kushawishi vilabu.,
UEFA mimi nawachukia sana mwaka 2011 Arsenal ikichecha na Barcalona ikiwa tayari Arsenal wanaitoa barcalona basi walimpa kadi nyekundu Van Parsie kwa mipango tu ili fainali lazima akacheze Barcalona na team nyengine ili wake make more money.,
Spurs na aseno wangeshuka daraja....Fixture ya Arsenal FC katika hii European Super League kwa mwaka huu 2021 ilikua;
1) Arsenal FC VS Juventus.
2) Arsenal FC VS Real Madrid.
3) Arsenal FC VS Barcelona.
4) Arsenal FC VS Inter Milan.
5) Arsenal FC VS Atletico Madrid.
Arteta skin tight ingempwaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila week timu zingekua zinamlia mingo Arsenal FC namna hii.
View attachment 1760862
Perez ameongea juzi na kusema hakuna team iliojitoa mpaka sasa hivi, hao wameonesha nia ya kutaka kujitoa ila hawajajitoa.Perez na genge lake wanajiandaa kupokea fidia kwa klabu zilizo vunja mkataba
Archenali akichimama nchale, akikimbia nchale, akichutama nchale. [emoji1733][emoji573] [emoji38][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nimecheka kwa sauti!!!
Mimi siongelei ukali wa Barca ninachokwambia ile mechi 2011 Arsenal waliweza ku-dominate barcalona mpaka kufikia kiwango cha Arsenal sasa wanasubiri mpira uishe tukacheze finali., ndipo walipompa nyekungu Van Persie bila sababu na kuwapa barcalona penalt ya makusudi ili tu barca waende wao, dunia iliona na alijua kila mtu kwa uwazi kabisa kwamba mpang wa UEFA ni ule.Bila shaka wewe ni diehard fan wa Arsenal!
Barca ile ya 2010/11 iliyoidhalilisha Man Utd kwenye fainali, Ferguson akitetemeka kama katolewa kwenye friji, akina Rooney machozi yanawalenga kwa lile soka lililokuwa likipigwa, van Persie ndo angeokoa jahazi la Gunners? Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Arsenal alifurushwa kwa aggregate ya mabao 7-1 (3-1/4-0). Hizo bao 4-0 za second leg zote zilipigwa na Messi, akiigeuza kituko defence ya Gunners[emoji16]
Kumbuka pia ni msimu huo Real Madrid aliogeshwa 5-0!