Kikao cha faragha baina ya rais Uhuru na rais Putin wa Urusi

Kikao cha faragha baina ya rais Uhuru na rais Putin wa Urusi

KUHUSU KUONANA na RAIS wa URUSI hapo napo ametumia akili kubwa mana anajua Mrusi alichokifanya Ktk uchaguzi wa USA.Ndicho anaomba kitokee now in Kenya ktk next election.

Enyewe....

Naona uko na point.
 
Fool baba yako na mama yako.
Fool baba yako na mama yako.
makende ww na familia yako nzima...ongea mambo yanayoeleweka...idiot

uhuru-kenyatta-laughs.jpg
 
Duh! Yaani mada ni nyingine kabisa, ila kuna watu wameshaanza kupost mabomu sijui if iroshima, sijui Father Of All Bombs, dah! Kweli akiwazacho Mwafrica ni _________________ malizia mwenyewe.

Hauwezi ukajadili kuhusu Mrusi ukamaliza bila kuhusisha zana za kivita, ndio zake yule jamaa..... Afrika hii inatawaliwa kwa kutumia kifaa chake kinaitwa AK47
 
Wewe humjui Uhuru ndio maana.

Kumjua vipi? I can see vividly what he does in Kenya. Hana maneno mengi ila we all can see how he is turning Kenya. Sio kama wa kwetu huku nchi imeshanyooshwa hadi inaanza kupinda tena.
 
Russia anataka kupenya Africa ataweza?

Africa kuanzia viongozi hadi raia wanalala wakiiota new York

Sijawahi kutana na black race ikiwa nampango wa kuzamia windows of Moscow

Hapo intelligence ya USA inafatilia baada ya maongezi tu atapigiwa simu ya warning
 
Kumjua vipi? I can see vividly what he does in Kenya. Hana maneno mengi ila we all can see how he is turning Kenya. Sio kama wa kwetu huku nchi imeshanyooshwa hadi inaanza kupinda tena.

Amefanya nini cha maana? Nadhani unavyomuona kila siku mitandaoni unadata.
 
Bora umehitimisha kwa kusema ni your personal view, ni muhimu sana uelewe rais Uhuru alichaguliwa na Wakenya kwenye platform ya kuboresha Kenya kabla hajawaza mataifa ya jirani. Hapo unapomlaumu kwa masaibu ya EAC unakosea maana wakati anaingia uongozini, yeye ndiye alikua junior ukilinganisha na wazee wote kama Museveni, Kikwete na Kagame. Amewakuta wanasuasua na huu mzigo wa EAC bila kupiga hatua, wanazunguka mbuyu kila siku, akawapa wazo lake na baadhi yao wakalipokea.

EAC haiwezi kuishi kwenye incubation miaka yote, lazima tufikie kwenye hatua za kuthubutu mapya, maana ulimwengu wa sasa upo kwenye kasi isiyo ya kawaida. Ukiwa rais wa Kenya lazima ujiandae kuwaza mambo ya kisasa kwa mifumo ya kisasa maana kizazi cha leo kinakwenda kwa kasi. Raia baina ya hizi nchi wanashirikiana tayari kwa mambo mengi ambayo hata serikali hazifahamu.

Nikirejelea kwa hilo la Raila kuwaza kupunguza kodi za nyumba, mimi binafsi sio shabiki wake lakini kwa hili namuunga mkono Raila na nipo radhi kukinzana na ndugu yangu Sammuel999 Tunahitaji rais mwenye mipango endelevu inayoeleweka na kuonakana kwa sasa hivi. Mbinu zipo nyingi za kupunguza kodi ya nyimbo, ikiwemo upunguzaji wa taxes zinazohusiana na ujenzi na umilikaji wa properties.

Hayo ya vita dhidi ya ufisadi, asikudanganye mtu, sio rahisi kama unavyofikiria maana kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine ni mfisadi na ukithubutu kulipuka lipuka kama anavyofanya Magufuli utaishia kupoteza na kurudisha nchi nyuma sana. Juzi hapa Wakenya wamejitokeza laki kadhaa kumpa kura fisadi mkuu Waiguru. Raila mwenyewe ameshindwa kuwathibiti magavana wake mafisadi kama akina Kidero maana wanamlea.

Halafu huko namwona Magu anavyofanya kwenu, analea na kujenga visasi na majungu kila uchao, haonekani kuwa na mikakati na ni vigumu kutabiri anakoipeleka nchi, vita dhidi ya ufisadi vinataka mikakati endelevu na taasisi huru. Namwona akiwakimbiza watumishi wa chini kwa ajili ya vyeti feki huku akiwaacha wakuu wa mikoa akina Bashite.

Nikirudi kwenye haya ya Raila na Uhuru, binafsi mimi nataka kiongozi anayeongea na kutaja vitu vinavyoeleweka na kuonekana, sio hayo mambo ya nadharia, watu wajiulize kwanini Peter Keneth amepigwa chini na nadharia zake. Hivyo ni muhimu sana kwa viongozi kufuata mfano wa Raila na kutaja moja kwa moja vitu vinavyofahamika na kueleweka na mwananchi wa kawaida.

Umezungumzia mambo mengi lakini mimi nitajikita kwenye swala la EAC, mengine nimuachie Sammuel999 akujibu.

Ni kweli, Kenyatta alichaguliwa na wakenya kuangalia mustakabali wa waKenya, lakini Kenya hiyo hiyo ilifunga ndoa na nchi zingine zilizo EAC. Na EAC ni munganuko wa kipekee hapa barani Africa kutokana na ukaribu wa nchi na wananchi wake. Leo hii Kenya akiacha kufanyabiashara na nchi za EAC, kuna watu watapata kipigo cha kimaslai nchini Kenya. Hivyo hivyo kipigo kitawafikiwa wenzao walio ndani ya jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwahiyo maamuzi ya rais yoyote wa Kenya yana weza kuboresha au kuangamiza maisha ya mwananchi yoyote wa nchi zikizo kwenye EAC.

Wakati Kenyatta anachaguliwa alikuta kuna utaratibu ulio kwisha wekwa na viongozi waliopita. Kuanzia kwenye kuunganisha jamii ya EAC, kuja kwenye umoja wa forodha, sarafu moja, mpaka kwenye muunganuko wa kisiasa. Japo unasema Kenyatta alikuja kuchangamsha lakini kikubwa alichofanya ni kutenganisha nchi zilizoko kwenye jumuiya, upande mmoja ni nchi zinazo kubaliana na yeye, upande mwingine nchi zinazo pingana na yeye. Mbona Mzee Kibaki pamoja na vikwazo vyote vilivyo kuwepo haku wahi kutenganisha nchi yoyote kwenye jumuiya. Sasa niulize pamoja na figisu figisu alizozifanya Kenyatta, amevuna nini ndani ya EAC katika kipindi chake cha miaka mitano? Nacho kuona hivi sana tumerudi kule kule kwenye kutafuta suluhisho mezani? EAC ina potential kubwa sana ukiachikia miundo mbinu ya reli baranara na anga. Rasilimali watu ni mtaji mikubwa sana ambao mataifa kama ya bara la Ulaya inautegemea kwa aslimia 60%. Sio kukimbizana na wawekezazi wa mbali ambao mara nyingi wanakuja kuchuma huku lakini wanakulia kwako walikotoka. Lakini ili EAC iendelee, lazima viongozi na wananchi wawe kwenye ukurasa mmoja. Ukijenga matabaka, ya nchi moja iko juu ya nyingine, hakuna kitakacho fanyika. Afrika ya kusini ilijengwa kwa hisani ya bara la Ulaya, kuanzia mitaji mpaka masoko mpaka utaalamu. Wazungu weupe waliokuwa Afrika ya kusini hawakujuwa kama itatokea siku mchezo utabadilika na masoko waliyokuwa wanayategemea kuyeyuka. Kitu kilicho washinda ni kuona umuhimu wa soko lililo jirani na wao ambalo ni nchi zote zilizoko kusini mwa Afrika pamoja na Afrika nzima. Leo hii wanapata shida ya wazamiaji kutokana na kushidwa kuziendeleza au kuzishirikisha nchi zilozo karibu na wao. Walizarau wakati wanahela, sasa wataweza wakati na wao wako taabani? Na huku ndio Kenyatta anako wapeleka, mwisho wa siku mtajikuta mko peke yenu na hakuna wa kufanya nae biashara.
 
Umezungumzia mambo mengi lakini mimi nitajikita kwenye swala la EAC, mengine nimuachie Sammuel999 akujibu.

Ni kweli, Kenyatta alichaguliwa na wakenya kuangalia mustakabali wa waKenya, lakini Kenya hiyo hiyo ilifunga ndoa na nchi zingine zilizo EAC. Na EAC ni munganuko wa kipekee hapa barani Africa kutokana na ukaribu wa nchi na wananchi wake. Leo hii Kenya akiacha kufanyabiashara na nchi za EAC, kuna watu watapata kipigo cha kimaslai nchini Kenya. Hivyo hivyo kipigo kitawafikiwa wenzao walio ndani ya jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwahiyo maamuzi ya rais yoyote wa Kenya yana weza kuboresha au kuangamiza maisha ya mwananchi yoyote wa nchi zikizo kwenye EAC.

Wakati Kenyatta anachaguliwa alikuta kuna utaratibu ulio kwisha wekwa na viongozi waliopita. Kuanzia kwenye kuunganisha jamii ya EAC, kuja kwenye umoja wa forodha, sarafu moja, mpaka kwenye muunganuko wa kisiasa. Japo unasema Kenyatta alikuja kuchangamsha lakini kikubwa alichofanya ni kutenganisha nchi zilizoko kwenye jumuiya, upande mmoja ni nchi zinazo kubaliana na yeye, upande mwingine nchi zinazo pingana na yeye. Mbona Mzee Kibaki pamoja na vikwazo vyote vilivyo kuwepo haku wahi kutenganisha nchi yoyote kwenye jumuiya. Sasa niulize pamoja na figisu figisu alizozifanya Kenyatta, amevuna nini ndani ya EAC katika kipindi chake cha miaka mitano? Nacho kuona hivi sana tumerudi kule kule kwenye kutafuta suluhisho mezani? EAC ina potential kubwa sana ukiachikia miundo mbinu ya reli baranara na anga. Rasilimali watu ni mtaji mikubwa sana ambao mataifa kama ya bara la Ulaya inautegemea kwa aslimia 60%. Sio kukimbizana na wawekezazi wa mbali ambao mara nyingi wanakuja kuchuma huku lakini wanakulia kwako walikotoka. Lakini ili EAC iendelee, lazima viongozi na wananchi wawe kwenye ukurasa mmoja. Ukijenga matabaka, ya nchi moja iko juu ya nyingine, hakuna kitakacho fanyika. Afrika ya kusini ilijengwa kwa hisani ya bara la Ulaya, kuanzia mitaji mpaka masoko mpaka utaalamu. Wazungu weupe waliokuwa Afrika ya kusini hawakujuwa kama itatokea siku mchezo utabadilika na masoko waliyokuwa wanayategemea kuyeyuka. Kitu kilicho washinda ni kuona umuhimu wa soko lililo jirani na wao ambalo ni nchi zote zilizoko kusini mwa Afrika pamoja na Afrika nzima. Leo hii wanapata shida ya wazamiaji kutokana na kushidwa kuziendeleza au kuzishirikisha nchi zilozo karibu na wao. Walizarau wakati wanahela, sasa wataweza wakati na wao wako taabani? Na huku ndio Kenyatta anako wapeleka, mwisho wa siku mtajikuta mko peke yenu na hakuna wa kufanya nae biashara.

Utakua hujanielewa, rais Uhuru alichaguliwa na Wakenya ili kufanikisha matakwa ya Wakenya kwanza, kama nchi tuna ruwaza ya 2030 ambayo ipo wazi na inaeleweka. Yote anayoyafanya na kutenda yapo yaliandaliwa na wataalam wa Kenya waliokusanyika tangu enzi za Kibaki na Raila.

Tukija kwenye suala la EAC, ni muungano ambao tunauheshimu na kujua umuhimu wake na kunufaika ndani yake, ieleweke Kenya ndio inanufaika na muungano huu zaidi ya washirika wengine wote, hivyo hatuwezi kuwa wa kwanza kuunvunja na hamna chochote alichovunja rais wetu, yote yaliyokuwepo kabla ujio wake bado yapo na alichofanya ni kuongeza mengine ambayo hayakuwemo na kuwaomba walio tayari waungane naye katika kuyafanikisha. Tanzania na mdogo wake Burundi wakasema wao watabaki tu kwenye machache yaliyokuwepo tangu awali na wakaheshimiwa kwenye maamuzi yao.

Haya mambo hata yale Uhuru alianzisha, yote ni kuthubutu na yana changamoto, lakini cha msingi ni kuwa na uwezo wa kuwaza nje ya sanduku na kujaribu na kuthubutu. Huo ndio uongozi bora.
 
Utakua hujanielewa, rais Uhuru alichaguliwa na Wakenya ili kufanikisha matakwa ya Wakenya kwanza, kama nchi tuna ruwaza ya 2030 ambayo ipo wazi na inaeleweka. Yote anayoyafanya na kutenda yapo yaliandaliwa na wataalam wa Kenya waliokusanyika tangu enzi za Kibaki na Raila.

Tukija kwenye suala la EAC, ni muungano ambao tunauheshimu na kujua umuhimu wake na kunufaika ndani yake, ieleweke Kenya ndio inanufaika na muungano huu zaidi ya washirika wengine wote, hivyo hatuwezi kuwa wa kwanza kuunvunja na hamna chochote alichovunja rais wetu, yote yaliyokuwepo kabla ujio wake bado yapo na alichofanya ni kuongeza mengine ambayo hayakuwemo na kuwaomba walio tayari waungane naye katika kuyafanikisha. Tanzania na mdogo wake Burundi wakasema wao watabaki tu kwenye machache yaliyokuwepo tangu awali na wakaheshimiwa kwenye maamuzi yao.

Haya mambo hata yale Uhuru alianzisha, yote ni kuthubutu na yana changamoto, lakini cha msingi ni kuwa na uwezo wa kuwaza nje ya sanduku na kujaribu na kuthubutu. Huo ndio uongozi bora.
Uko sawa, kila nchi ina muongozo wake. Na ni kweli kwamba rais wa nchi anakazi ya kusimamia huo muongozo na kuona unafanikiwa. Lakini rais ana jukimu zaidi ya moja, huwezi kukwepa jukumu la kuendeleza jumuiya ambayo ni soko kubwa na lakaribu na juu ya yote, ni soko la uhakika. Pamoja na changamoto zake, jumuiya sio chombo kitakacho kupa swali moja, lakini ni chombo kinachozalisha jibu moja maana hakuna matabaka au njia mbili. Hii inamaanisha kama kuna kina kwama kutokana na kutoelwana basi kitu hicho kitabaki hapo hapo mpaka suluisho litakapo patikana. Hili sio swala la EAC tuu, hata EU wana matatizo hayo hayo ukiangalia kwenye swala zima la wakimbizi, swala la matatizo ya kifedha za nchi ya Ugiriki nk. swala la tabia-nchi na mengine mengi. Msimamo lazima ukubaliwe na nchi zote 28.
 
Uko sawa, kila nchi ina muongozo wake. Na ni kweli kwamba rais wa nchi anakazi ya kusimamia huo muongozo na kuona unafanikiwa. Lakini rais ana jukimu zaidi ya moja, huwezi kukwepa jukumu la kuendeleza jumuiya ambayo ni soko kubwa na lakaribu na juu ya yote, ni soko la uhakika. Pamoja na changamoto zake, jumuiya sio chombo kitakacho kupa swali moja, lakini ni chombo kinachozalisha jibu moja maana hakuna matabaka au njia mbili. Hii inamaanisha kama kuna kina kwama kutokana na kutoelwana basi kitu hicho kitabaki hapo hapo mpaka suluisho litakapo patikana. Hili sio swala la EAC tuu, hata EU wana matatizo hayo hayo ukiangalia kwenye swala zima la wakimbizi, swala la matatizo ya kifedha za nchi ya Ugiriki nk. swala la tabia-nchi na mengine mengi. Msimamo lazima ukubaliwe na nchi zote 28.

Nafikiri kufikia hapo tutakua tunaelewana au tumesomana, haya mambo yako wazi na yanaeleweka. Kenya inahitaji pakubwa jumuiya ya EAC zaidi ya jinsi jumuiya yenyewe inahitaji Kenya. Leo hii ukiondoa mataifa ya nje ya ya jumuiya kama vile Afrika Kusini na Ulaya
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania, amewazidi Uganda, Rwanda, na Burundi
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Uganda, amewazidi Burundi, Rwanda, na Tanzania
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Rwanda, amewazidi Uganda, Burundi, na Tanzania
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Burundi, amewazidi Uganda, Rwanda, na Tanzania

Hivyo ni wazi Kenya ndiye ananufaika pakubwa kwenye muungano, hii yote ni kwa ajili ya asili yetu ya kuthubutu bila kusuasua na kuwa uwoga kwenye uwekezaji au kujaribisha mambo mapya. Hivyo alichokifanya rais Uhuru ni kulinda aliyoyakuta kwenye muungano halafu akaomba yaongezwe mengne, washirika wawili Tanzania na mdogo wake Burundi wakaomba waachwe kwanza watafakari na kutathmini, na wakaruhusu hayo mapya yafanyiwe majaribio na mataifa yenye ubavu wa kuthubutu na kwamba wakiona yana tija, ipo siku watakuja kujiunga.

Hamna matabaka, kifupi ni kwamba kuna mambo yanajaribiwa na hayo mataifa machache, wengine wanatizama kwa mbali na watajiunga pale itabainika tija yake. Tunaheshimu maamuzi ya Tanzania na Burundi, kila hatua lazima marais wenu wawaze umuhimu wake kwa watu wake kwanza.
 
Nafikiri kufikia hapo tutakua tunaelewana au tumesomana, haya mambo yako wazi na yanaeleweka. Kenya inahitaji pakubwa jumuiya ya EAC zaidi ya jinsi jumuiya yenyewe inahitaji Kenya. Leo hii ukiondoa mataifa ya nje ya ya jumuiya kama vile Afrika Kusini na Ulaya
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Tanzania, amewazidi Uganda, Rwanda, na Burundi
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Uganda, amewazidi Burundi, Rwanda, na Tanzania
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Rwanda, amewazidi Uganda, Burundi, na Tanzania
- Kenya ndiye mwekezaji mkubwa Burundi, amewazidi Uganda, Rwanda, na Tanzania

Hivyo ni wazi Kenya ndiye ananufaika pakubwa kwenye muungano, hii yote ni kwa ajili ya asili yetu ya kuthubutu bila kusuasua na kuwa uwoga kwenye uwekezaji au kujaribisha mambo mapya. Hivyo alichokifanya rais Uhuru ni kulinda aliyoyakuta kwenye muungano halafu akaomba yaongezwe mengne, washirika wawili Tanzania na mdogo wake Burundi wakaomba waachwe kwanza watafakari na kutathmini, na wakaruhusu hayo mapya yafanyiwe majaribio na mataifa yenye ubavu wa kuthubutu na kwamba wakiona yana tija, ipo siku watakuja kujiunga.

Hamna matabaka, kifupi ni kwamba kuna mambo yanajaribiwa na hayo mataifa machache, wengine wanatizama kwa mbali na watajiunga pale itabainika tija yake. Tunaheshimu maamuzi ya Tanzania na Burundi, kila hatua lazima marais wenu wawaze umuhimu wake kwa watu wake kwanza.
Kinacho shangaza ni kwamba, kama Kenya inatambuwa umuhimu wa soko la pamoja la Afrika mashariki, kwanini inatumia nguvu nyingi kuliuwa. Unaposema kuwa Kenya ndio inafaidika zaidi ya nchi zote zilizo kwenye jumuiya hii, na Kenyatta alitaka kuboresha soko, kwanini harakati zake zinaelekeza kulivunja au kuliuwa soko hilo? Unaposema kwamba tutashirikiana na hawa wachache kwanza, halafu wengine watatufuata baadae watakapo kuwa tayari, hapo unajenga au unabomoa. Kwa lugha ya wenzetu wanasema “divided and rule”.


Umesema Kenya ni wawekezaji wakubwa kwenye nchi za jumuiya kwasababu ya uthubutu wao, lakini haujiulizi kwanini nchi zingine zilizo kwenye jumuiya haziwekezi Kenya. Ni kwasababu soko la Kenya lina vikwazo visivyo onekana kwa macho. Sio kweli kwamba wafanyabiashara wakenya wanauthubutu wa kujiingiza kwenye masoko mengine ndio maana wanafanikiwa. Hapana, wanafanikiwa kwasababu, masoko wanayokwenda yanawapokea kwa mikono miwili na kuwapa ushirikiano mzuri. Kitu ambacho huwezi kukitarajia ukija kwenye soko la Kenya. Miaka ya 90 na 2000, kampuni nyingi za Afrika kusini zilikimbilia kufungua biashara Kenya, lakini biashara hizi nyingi zimeshindwa na kufungwa. Zingine zimekimbika nchi jirani za Uganda na Tanzania, huku wakishindwa kujuwa ni nini kilichowapata. Kama nilivyo sema hapo juu, vikwazo visivyo onekana ndio tatizo kubwa linalo waogopesha wafanya biashara wakutoka Tanzania kuja Kenya.

Huu ni mfano mdogo unaonyesha picha halisi.
96a6e7024b01e1a3717e9195dc49f9de.jpg

http://mobile.nation.co.ke/blogs/Ke...949942-2840508-format-xhtml-sfe1w5/index.html

Tabia kama hizo hapo juu ndio Kenyatta ametuletea EAC, kampeni za chini chini ambazo zinajenya makundi ndani ya jumuiya na kuidhohofisha. Miradi kama reli, kulitakiwa kuwa na mchoro mmoja unao onyesha Afrika Mashariki yote na reli zikiwa zimeungana kutoka nchi moja kwenda nyingine Lakini leo hii kila mmoja ana mchoro wake na hakuna dalili ya hizi reli kuja kuungana katika kipindi kifupu kijacho.
 
Kinacho shangaza ni kwamba, kama Kenya inatambuwa umuhimu wa soko la pamoja la Afrika mashariki, kwanini inatumia nguvu nyingi kuliuwa. Unaposema kuwa Kenya ndio inafaidika zaidi ya nchi zote zilizo kwenye jumuiya hii, na Kenyatta alitaka kuboresha soko, kwanini harakati zake zinaelekeza kulivunja au kuliuwa soko hilo? Unaposema kwamba tutashirikiana na hawa wachache kwanza, halafu wengine watatufuata baadae watakapo kuwa tayari, hapo unajenga au unabomoa. Kwa lugha ya wenzetu wanasema “divided and rule”.


Umesema Kenya ni wawekezaji wakubwa kwenye nchi za jumuiya kwasababu ya uthubutu wao, lakini haujiulizi kwanini nchi zingine zilizo kwenye jumuiya haziwekezi Kenya. Ni kwasababu soko la Kenya lina vikwazo visivyo onekana kwa macho. Sio kweli kwamba wafanyabiashara wakenya wanauthubutu wa kujiingiza kwenye masoko mengine ndio maana wanafanikiwa. Hapana, wanafanikiwa kwasababu, masoko wanayokwenda yanawapokea kwa mikono miwili na kuwapa ushirikiano mzuri. Kitu ambacho huwezi kukitarajia ukija kwenye soko la Kenya. Miaka ya 90 na 2000, kampuni nyingi za Afrika kusini zilikimbilia kufungua biashara Kenya, lakini biashara hizi nyingi zimeshindwa na kufungwa. Zingine zimekimbika nchi jirani za Uganda na Tanzania, huku wakishindwa kujuwa ni nini kilichowapata. Kama nilivyo sema hapo juu, vikwazo visivyo onekana ndio tatizo kubwa linalo waogopesha wafanya biashara wakutoka Tanzania kuja Kenya.

Huu ni mfano mdogo unaonyesha picha halisi.
96a6e7024b01e1a3717e9195dc49f9de.jpg

http://mobile.nation.co.ke/blogs/Ke...949942-2840508-format-xhtml-sfe1w5/index.html

Tabia kama hizo hapo juu ndio Kenyatta ametuletea EAC, kampeni za chini chini ambazo zinajenya makundi ndani ya jumuiya na kuidhohofisha. Miradi kama reli, kulitakiwa kuwa na mchoro mmoja unao onyesha Afrika Mashariki yote na reli zikiwa zimeungana kutoka nchi moja kwenda nyingine Lakini leo hii kila mmoja ana mchoro wake na hakuna dalili ya hizi reli kuja kuungana katika kipindi kifupu kijacho.

Naona tunazunguka mbuyu mimi na wewe na hapa hatutofika, itabidi nikuache, maana nimerudia mara kadhaa lakini haikuingii, kwamba Kenya haiwezi kuvunja muungano wa EAC. Huu muungano upo umewekwa imara na wananchi wake, sisi ndio tumeufanya na kusababisha uwe imara. Viongozi wao wanaboresha sera tu basi, in fact viongozi wengi wanachelewesha kwa huko kusuasua, hususan Tanzania.

Watanzania wengi wanaofanya cross-border business watakuambia wanavyohangaika na na huo urasimu unaosababishwa na kusuasua kwa serikali yenu katika kila hatua.

Kuhusu reli, Uhuru alikuta mpango umeandaliwa kwenye ruwaza ya 2030, nmekuambia hamna chochote anachokifanya nje ya yale tumeridhia kama taifa.

Hayo ya nyie kushindwa kuja kuwekeza Kenya wenyewe mnajifungia ndani miaka yote, hamtoki. Kunao Watanzania wachache wamethubutu, hususan wale wa kutokea Kilimanjaro tupo nao huku wengine hata wapo kwenye real estates Nairobi.
Kenya ilitajwa na Benki Kuu as the most reformed country World Bank ranks Kenya third most reformed country in starting business
Hapo hapo ikawa ranked 5th in ease of doing business in Africa https://citizentv.co.ke/business/kenya-ranks-5th-in-ease-of-doing-business-in-africa-146558/

Wawekezaj wanatiririka kuja Kenya kutokea mataifa ya mbali, nyie hapa majirani mumejifungia ndani kazi kutoa lawama. Uwekezaji ni kuthubutu, kufaya maamuzi magumu na ya busara.

Anyway kwaheri maana tutazunguka mbuyu mimi na wewe hadi asubuhi na utaendelea kurudia rudia yale huwa mnakaririshwa huko kwenu kwamba Kenya ndio mbaya wenu na ndiye tatizo kwa nyie kushindwa.
 
Naona tunazunguka mbuyu mimi na wewe na hapa hatutofika, itabidi nikuache, maana nimerudia mara kadhaa lakini haikuingii, kwamba Kenya haiwezi kuvunja muungano wa EAC. Huu muungano upo umewekwa imara na wananchi wake, sisi ndio tumeufanya na kusababisha uwe imara. Viongozi wao wanaboresha sera tu basi, in fact viongozi wengi wanachelewesha kwa huko kusuasua, hususan Tanzania.

Watanzania wengi wanaofanya cross-border business watakuambia wanavyohangaika na na huo urasimu unaosababishwa na kusuasua kwa serikali yenu katika kila hatua.

Kuhusu reli, Uhuru alikuta mpango umeandaliwa kwenye ruwaza ya 2030, nmekuambia hamna chochote anachokifanya nje ya yale tumeridhia kama taifa.

Hayo ya nyie kushindwa kuja kuwekeza Kenya wenyewe mnajifungia ndani miaka yote, hamtoki. Kunao Watanzania wachache wamethubutu, hususan wale wa kutokea Kilimanjaro tupo nao huku wengine hata wapo kwenye real estates Nairobi.
Kenya ilitajwa na Benki Kuu as the most reformed country World Bank ranks Kenya third most reformed country in starting business
Hapo hapo ikawa ranked 5th in ease of doing business in Africa https://citizentv.co.ke/business/kenya-ranks-5th-in-ease-of-doing-business-in-africa-146558/

Wawekezaj wanatiririka kuja Kenya kutokea mataifa ya mbali, nyie hapa majirani mumejifungia ndani kazi kutoa lawama. Uwekezaji ni kuthubutu, kufaya maamuzi magumu na ya busara.

Anyway kwaheri maana tutazunguka mbuyu mimi na wewe hadi asubuhi na utaendelea kurudia rudia yale huwa mnakaririshwa huko kwenu kwamba Kenya ndio mbaya wenu na ndiye tatizo kwa nyie kushindwa.
Haha wala sikushangai, nilitegemea utachukuwa uwamuzi huu kama ilivyo jadi yako. Mdahalo ukiwa wamoto unakimbilia “Mlango Wa Dharula”.

Maswali mengi yamewekwa mezani lakini yamekosa majibu, je pamoja na tikisa tikisa aliyoileta Kenyatta kwenye EAC zimezaa matumda gani? Ukisema EAC ni muhimu kwa Kenya, mbona jitiada za nguvu zinatumika kuidhofisha ikiwa pamoja na kugawa nchi katika makundi? Umeshindwa kutoa maelezo yanayoweza kutushawishi kama Kenya inatowa fursa sawa kwa makampuni ya Rwanda, Uganda, Tanzania. Ulichokifanya ni kutuonyesha ripoti za nje makampuni ya mbali yenye mitaji mikubwa kuliko makampuni ya Kenya. Lakini sio kampuni zilizo na mitaji iliyo sawa na kampuni za Kenya. Makampuni yaliyo na mitaji iliyo sawa na ya waKenya yanapata shida sana kuhimili misuko suko wanayokutana nayo wakiwa Kenya.

Pitia alichokisema Museveni juzi kwenye mkutano wa EAC, ulinganishe na nilichokuwa nakisema muda wote kuhusu umoja unaohitajika EAC. Kenyatta anasafiri masafa ya mbali bila hata kukubeba hoja moja ya Afrika Mashariki, je hii EAC ni ya kutengeneza pesa tuu na sio ya kuitetea au kuiendeleza?

Now EAC dares EU on trade deal
 
So rahisi kufanya biashara Kenya. Competition iko juu. Pili makampuni unayogusia in ya kutoka SA. Take it from me, hao mabeberu was kiafrican in wajeuri kupindukia. Hapa Kenya, kazi haufanywi kwa jeuri. Hao uthani soka LA Kenya no kama LA SA. Kenyans are very sophisticated shoppers.
Kwa mfano, they have trusted labels e.g omo. We we ukija na sabuni yako inabei ya juu, nani atanunua. These are brands that are trusted. And they have been with us for ages

Ukitazama sector ya simu, as we speak, while safcom is the lead telco company, how many handset manufacturers are represented in the market and doing well ? Samsung, techno, huawei, oppo etc. Its a level playing ground.
So hio story ya eti interference etc is not true. Also watch out and seek for mainstream media not some blog of some bigoted writing that only has only one perspective
 
Tunaomba ushahidi, lakini mpaka sasa ushahidi uliopo ni marekani, uingereza na. Israel ndio zilichangia namna mmoja au nyingine.
Wameingilia sehemu nyingi sana. Hata zanzibar revolution ukizama kwa ndani baadhi ya lecture zinasema pale kulikuwa na mkono wa communists kupitia kwa maagent wa russia. ndio maana waliita African Cuba.
 
Back
Top Bottom