- Well...according to more dataz ni kwamba:-
1. Muungwana aliitisha kikao cha leo CC, lakini kusikia hivyo Karume naye akaitisha kikao maalum leo huko Zanzibar kwa makusudi akijua kwamba leo pia ni siku ya CC DSM.
2. Wajumbe wa CC leo walikuwa wakifahamishwa kwa simu kwamba kikao kimeahirishwa mpaka baadaye watakapojulishwa, as opposed na katiba ambapo wajumbe huarifiwa rasmi kwa maandishi.
3. The dataz ni kwamba "muafaka wa siri" Seif na Karume, una kipengele kinachomtaka Karume kutohudhuria kikao cha ina yoyote kiwe cha CCM, au serikali upande wa bara!
(......itaendeelea.......stay...tuned...! ..tabia yetu ni ile ile kuwawahi hawa CCM na habari zao nyeti maana bila hivi huwa hawazisemi.....)
Respect.
FMes!
Strange! Kumbe mwenyekiti hapa aliitisha kikao bila kumshirikisha makamu wake ama? Kama ni hivyo, harufu mbaya!
Au makamu alishirikishwa kabla kikao hakijaitishwa, na bado akakaidi akaamua kuitisha cha kwake huko Zenj! Harufu mbaya zaidi!