Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

Tetesi: Kikao cha siri cha CCM juu ya Jimbo la Singida Kaskazini

Mkuu umeongea saana lakini bado unabaki kule kule katika ushabiki na hisia kuliko uhalisia! hayo unayosema yoote ni katika kutafuta huruma kwa wanananchi bila ya kuleta suluhu! Suluhu ni wapinzani kuacha maneno kufanya kazi kwa vitendo ionekane dhahiri kwa wananchi sijui kama kuna tawala itaweza kuzuia nguvu ya umma inayokubalika kwa wananchi wote bila kujali tofauti zao mfano kwa utendaji wa mbunge joseph haule jimboni kwake sioni kama kuna mtu anaewaza kuwa atatoka leo au kesho jamaa anakubalika kwa asilimia nyingi hata na hao wanaccm japo bado wenye uchu wa madaraka wanampinga kimtindo kwa kuwa jamaa yupo karibu na wananchi wake na anafanya kazi zao kwa kadri ya uwezo wake kama alivyokuwa yule late filikunjombe na ludewa hii ni miongoni mwa suluhu kwa upinzani kushika dola ila kama wapinzani wataendelea na siasa za kiharakati za kina lijualikali,lema kelele yingi majungu na kutia hamasa za fujo na chuki hakika vipigo kwa wafuasi wa upinzani havitawaacha salama sababu tz ukiwa mbwatukaji watu watajaa kukusikiliza kwa kuwa ni nchi yenye raia wanaopenda kusikia umbea, majungu, fulani kamsema fulani, but hawako tayari kukussuport katika mambo ya hovyo japo kuna watakaonaswa kutokana na sababu mbalimbali mfano kutokuwa na umri wa busara na mob psychology! Ukiangalia nchi za kiafrika ambazo upinzani umeweza kuwaondoa watawala mostly watu hao walijenga imani kwa wananchi kupitia kazi zilizonekana na sio maneno ya kelele mfano mfuatilie late michael satta wa zambia mfuatilie macky sally wa senegal ambae ni mkristo anaetawala taifa lenye 90% ya waislamu,adama barrow gambia kupitia Majum Real Estate aliweza kutoa ajira nyingi kwa vijana wa kigambia mwisho wa siku kaja kumng"oa kigogo yahya jameh. Wapinzani wa nchi hii kama wana dhamira ya kushika dola na si kula ruzuku kwa vyama vya familia zao, lazima waache usanii kwa kuwapumbaza watu na kutafuta huruma kwa wananchi wafanye kazi kweli kwani na wawe karibu na wananchi sidhani kama kuna mtu atakubali kupewa t shirt na kanga sijui na chumvi aunge mkono watu wasio karibu nao wala kuwajali. Nina hakika kupitia tume hiyo hiyo ndio iliyowaptia hao wabunge na madiwani sasa iweje sehemu upinzani ukishindwa tume hiyo iwe mbaya?? Mzee lowasa alitoa wosia mzuri sana kwa mameya walipoenda kumtembelea ofisini kwake pale mikocheni KUWA NENDENI MKAFANYE KAZI WATU WAONE TOFAUTI YA SISI NA WAO nadhani hii ndio silaha pekee ya upinzani kuwin the situation pia akongeza kule arusha katika mkutano wa madiwani wa Ukawa TUACHE SIASA ZA KIHANAHARAKATI TUJENGE CHAMA TOKEA KATIKA MASHINA YA CHINI KABISA nadhani wewe pia unaweza kuwa shahidi wanazi na mashabiki wa Ukawa walivyomponda mzee huyu. Mdau hamna shortcut katika maisha upinzani lazima ufanye kazi kubwa na si kubwata bwata, kuzungusha mikono,kumsema rais vibaya,kushadadia nyufa za hostel, kupaka watu rangi na kusema wamepigwa mapanga,(ushawahi kujiuliza hali zao zinaendeleaje baada ya uchaguzi) kuandaa vijana kuzuia kina mama kwenda kupiga kura,kuzungumzia sana mambo ya chama tawala kuliko ya chama chao,Kuhamisha magoli kuwa mtu akihama kanunuliwa basi kama ni hivyo hamna mtu mwenye akili timamu atakepigia kura mtu ambae baadae atanunuliwa.Upinzani Lazima ufanye kazi na uache usanii wa kihanaharakati

Naona unapanga nadharia nyingi bila uhalisia, kama utendaji ndio kigezo cha kuchaguliwa hivi leo ccm isingekuwa madarakani. Ni kweli kuna walioshinda uchaguzi kwa utendaji ila hao ni wachache sana. Wengi wao wameingia kwa sababu zilizo nje ya utendaji. Kwa taarifa yako 50% wameshinda nafasi zao kwa rushwa, wizi wa kura, hofu kwa wapiga kura na udhaifu wa tume ya uchaguzi. Kwenye washindi wa hivi kuna wengi wazuri wameachwa.

Kwa mujibu ya maelezo yako waliochaguliwa ni wale kazi zao zilizoonekana kwa jamii inayowazunguka. Nakuambia watu wameumizwa kisa madaraka, ww unaniambia eti wamepakawa rangi ili kupotosha ionekane ule ulikuwa uzushi kwakuwa hutujui wahanga wanaendeleje sasa. Hivi unadhani unaongea na mtoto hapa? Watu wangapi wamepata matatizo tena yaliyotambuliwa kitaifa umewahi kuona baada ya matukio hayo taifa likifuatilia kujua hali zao? Wahanga wa tetemeko la Kagera umewahi kusikia wanaendeleaje? Wanaopata ajali za barabarani na kutangazwa baada ya hapo huwa unajua hali zao zinaendekeaje? Huenda una hoja lakini unaziwakilisha kwa utetezi dhaifu.

Kuchaguliwa kwa nafasi za kisiasa sababu kubwa kabisa huwa ni hoja za ushawishi. Utendaji huwa ni sababu nyingine, mvuto pia huchangia mtu kuchaguliwa. Ila ushawishi wa kisiasa huwa ni sababu kubwa. Sasa ww kuja hapa na kuniambie eti cdm ili ichaguliwe ni lazima ifanye sana kazi ndio ikubalike ni kama unanifanya sijui sababu zinazochangia mgombea kuchaguliwa. Sababu ziko nyingi na sasa zimeingia za ukabila na ukanda bila kujali hilo la utendaji unalolazimisha kuwa ndio sababu pekee.
 
Kupiga kura kwenye masanduku bila katiba mpya, akishinda wa upinzani msimamizi atasubiri malekezo kutoka ngazi juu, baada ya dakika tano mnaletewa polisi walioja mabomu na kufurushwa atatangazwa wa sizonje kivyovyote vile, ndio maana watu hawana ishu tena na kitu kinachoitwa uchaguzi!
Mjumbe Katiba iliyopi inatisha, tulichokosa ni usimamizi thabit. Hiyo ya maelekezo ya juu juzi tuliisikua Mbowe akielekeza majumbo ya kwao yajitoe alipoona wameshindwa, hakuwashirikisha wahusika. Na yeye baadaye kapewa maelekezo toka kwa Lowassa juu wajitoe timu ya mpira ya wabunge.
 
Naona unapanga nadharia nyingi bila uhalisia, kama utendaji ndio kigezo cha kuchaguliwa hivi leo ccm isingekuwa madarakani. Ni kweli kuna walioshinda uchaguzi kwa utendaji ila hao ni wachache sana. Wengi wao wameingia kwa sababu zilizo nje ya utendaji. Kwa taarifa yako 50% wameshinda nafasi zao kwa rushwa, wizi wa kura, hofu kwa wapiga kura na udhaifu wa tume ya uchaguzi. Kwenye washindi wa hivi kuna wengi wazuri wameachwa.

Kwa mujibu ya maelezo yako waliochaguliwa ni wale kazi zao zilizoonekana kwa jamii inayowazunguka. Nakuambia watu wameumizwa kisa madaraka, ww unaniambia eti wamepakawa rangi ili kupotosha ionekane ule ulikuwa uzushi kwakuwa hutujui wahanga wanaendeleje sasa. Hivi unadhani unaongea na mtoto hapa? Watu wangapi wamepata matatizo tena yaliyotambuliwa kitaifa umewahi kuona baada ya matukio hayo taifa likifuatilia kujua hali zao? Wahanga wa tetemeko la Kagera umewahi kusikia wanaendeleaje? Wanaopata ajali za barabarani na kutangazwa baada ya hapo huwa unajua hali zao zinaendekeaje? Huenda una hoja lakini unaziwakilisha kwa utetezi dhaifu.

Kuchaguliwa kwa nafasi za kisiasa sababu kubwa kabisa huwa ni hoja za ushawishi. Utendaji huwa ni sababu nyingine, mvuto pia huchangia mtu kuchaguliwa. Ila ushawishi wa kisiasa huwa ni sababu kubwa. Sasa ww kuja hapa na kuniambie eti cdm ili ichaguliwe ni lazima ifanye sana kazi ndio ikubalike ni kama unanifanya sijui sababu zinazochangia mgombea kuchaguliwa. Sababu ziko nyingi na sasa zimeingia za ukabila na ukanda bila kujali hilo la utendaji unalolazimisha kuwa ndio sababu pekee.
Umejaribu kujibu vizuri kihoja japo bado mimi ni muumini wa utendaji zaidi kuliko mvuto na ushawishi mfano Kuna mtu anaitwa Bashite huyu kimvuto na ushawishi yupo chini sana lakini mtu makini akipewa nafasi ya kumchagua huyu jamaa na mtu mwingine mwenye maneno matamu saaana unafikiri nani atapata kura nyingi? (be honest kwa hili) 2015 ulisikia mara ngapi mtu akisema ccm siipendi ila huyu magufuli kwa utendaji wake nashawishika kdg! na kuna hao waliochaguliwa kwa ushawishi kama saeed kubenea nini amefanya ubungo mpk sasa?? John Mnyika pamoja na maneno yake na kujenga hoja utendaji wake pia umembeba sana! Halima mdee kelele nyiingi uliona alivyoponea chupu chupu kwa Kipi Warioba! Esther Bulaya mishe mishe zake za kuwa karibu na vijana kwa kuandaa mashindano na misaada je unadhani ilikua rahisi kumng"oa mzee wassira? umma ulimkataa wassira kafanya yoote but wapi, na mzee yule unajua nguvu yake unadhani kshindwa kufanya hizo rushwa na kuhonga ili apate lile jimbo? mdau we endelea kuamini hoja na ushawishi halafu utaona nni mwisho wake! Hizo drama za mapanga naomba nikupe muda uzifuatilie sio mitandaoni bali zifuatelie kweli kweli halafu urudi na jibu hapa! Ukisema utendaji ccm isingechaguliwa si kweli kaka wapiga kura wengi hutafakari sana kabla ya kuvote nakubaliana na wewe hisia za ukabila udini pia zinaathiri sana upigaji kura na wengi mwisho wa siku husema bora huyu huyu kuliko hao wapenda fujo so hapo inaonesha kuwa kuna sehemu wapinzani wanakosea kiutendaji wa sera na mienendo yao! Mdau tume inakuwaje huru kwa sugu mbeya isiwe huru kwa wenje mwanza? Bado naamini utendaji utawabeba zaidi wapinzani kuliko maneno na ushawishi maana ushwaishi pia unaweza jengwa kwa namna tofuti ikiwemo rushwa.....
 
Kitila Mkumbo bora akagombee Chato sio unyaturuni. CCM wakitaka kuleta upinzani wamsimamishe Joseph Monko Jr, mkurugenzi wa halmashauri mmoja hapa nchini then kazi itakuwepo. Jamaa yuko vizuri
 
Umejaribu kujibu vizuri kihoja japo bado mimi ni muumini wa utendaji zaidi kuliko mvuto na ushawishi mfano Kuna mtu anaitwa Bashite huyu kimvuto na ushawishi yupo chini sana lakini mtu makini akipewa nafasi ya kumchagua huyu jamaa na mtu mwingine mwenye maneno matamu saaana unafikiri nani atapata kura nyingi? (be honest kwa hili) 2015 ulisikia mara ngapi mtu akisema ccm siipendi ila huyu magufuli kwa utendaji wake nashawishika kdg! na kuna hao waliochaguliwa kwa ushawishi kama saeed kubenea nini amefanya ubungo mpk sasa?? John Mnyika pamoja na maneno yake na kujenga hoja utendaji wake pia umembeba sana! Halima mdee kelele nyiingi uliona alivyoponea chupu chupu kwa Kipi Warioba! Esther Bulaya mishe mishe zake za kuwa karibu na vijana kwa kuandaa mashindano na misaada je unadhani ilikua rahisi kumng"oa mzee wassira? umma ulimkataa wassira kafanya yoote but wapi, na mzee yule unajua nguvu yake unadhani kshindwa kufanya hizo rushwa na kuhonga ili apate lile jimbo? mdau we endelea kuamini hoja na ushawishi halafu utaona nni mwisho wake! Hizo drama za mapanga naomba nikupe muda uzifuatilie sio mitandaoni bali zifuatelie kweli kweli halafu urudi na jibu hapa! Ukisema utendaji ccm isingechaguliwa si kweli kaka wapiga kura wengi hutafakari sana kabla ya kuvote nakubaliana na wewe hisia za ukabila udini pia zinaathiri sana upigaji kura na wengi mwisho wa siku husema bora huyu huyu kuliko hao wapenda fujo so hapo inaonesha kuwa kuna sehemu wapinzani wanakosea kiutendaji wa sera na mienendo yao! Mdau tume inakuwaje huru kwa sugu mbeya isiwe huru kwa wenje mwanza? Bado naamini utendaji utawabeba zaidi wapinzani kuliko maneno na ushawishi maana ushwaishi pia unaweza jengwa kwa namna tofuti ikiwemo rushwa.....

Kwanza nikupongeze kwa kupoteza muda wako kuchangia nilichokiongea, nafurahi sana kwakuwa umeingai pale nilipokuwa napataka. Nataka nikudhihirishie kwamba ninaposema upinzani kushiriki na mtu anayepigia kura upinzani ni kupoteza muda sisemi kwa bahati mbaya bali najua ninachokisema bila kujali kama utaafiki ama la. Sipingi kabisa sababu unayoisema ya kwamba wewe ni muumini wa kuchagua mtendaji mzuri. Je ni wangapi wenye umakini kama huo wako? Katika nchi ambayo wapiga kura wengi wanasoma magazeti ya udaku kuliko vitabu, na wengine hawajahi kushika kitabu chochote cha maarifa baada ya kumaliza elimu yoyote iwe ya msingi, sekondari au chuo kikuu watu makini wanatoka wapi hapo?

Bila kuwa na takwimu sahihi napenda kabisa kukuambia wanaochagua kwa kujua sera wakati wa uchaguzi hawazidi 20% tena wengi wa hao wako mijini kwenye wasomi na wingi wa vyombo vya habari. 80% ya waliobaki wanatumia vigezo vingine kabisa kuweza kumpata mgombea wao. Mfano halisi, wakati wa mkutano wa uchaguzi unakuta mkutano wangalau ni wa masaa matatu. Masaa mawili yote ni burudani, Nusu saa ni ya utambulisho na wapambe kutamba kwa vijembe jukwaani, kisha unakuta mgombea anapewa dakika 20. Kati ya hizo 10 anapiga vijembe vya kisiasa halafu dk 10 ndio anauza sera. 10 zilizobakia ni maswali tena wakati mwingine ni kwa watu walioandaliwa. Anajibu ajuavyo na kumalizia kw kuaga. Hayo ndio mazingira ya wakati wa kampeni na ndiko wanaochaguliwa wanapotoka.

Unapokuwa upinzani ni kama mtoto wa kambo, unaweza kunyimwa chakula na vyombo utaosha. Jenga hoja upendavyo lakini uvae uso wa aibu kwani ukweli haujifichi hata kama hutoukiri. Nashangaa sana unapotaka kuonyesha hilo la wapinzani kufanyiwa ukatili ni uzushi. Naona uko hapa kuukataa ukweli kwa sababu unazozijua, mimi nimejionea siasa za upinzani na huo ukatili nimekuwa nikuushuhudia kwa macho yangu tena mbele ya vyombo vya dola. mfano wa tukio nililoliona ukiachia mengi mengine ni lile shambulio la bomu huko Arusha. Labda niliache lile maana unaweza kusema ilikuwa ni zamani. Huu uchaguzi wa juzi ambao nilitarajia kuwa kipimo halisi cha kukubalika kwa Magufuli kwa sasa, achia mbali taarifa na propaganda tunazopata, hapa ndio nilitaka nione ccm mpya. Hapa nilishuhudia kwa macho yangu wafuasi wa upinzani wakipigwa na vijana ambao ni dhahiri polisi walijua kikundi kile kinachofanya. Huu ninaosema ni ukweli wa rohoni. Unaweza kubisha maana huko tayari kukiri ukweli lakini hilo ni ukweli. Sikushangaa wapinzani kutendewa vile zamani, ila sio kwa ccm hii chini ya rais tunayeambiwa anakublalika. Kibaya zaidi ni hofu na upindishaji mkubwa wa sheria za uchaguzi toka kwa maafisa waliokabidhiwa jukumu hilo. Hii ni uthibitisho kwamba sasa tuko kwenye dhama hatari kabisa za demokrasia hapa nchini iwapo upo upinzani. Kwa kile nilichokiona nakuambia ukweli toka rohoni siko tayari kuunga mkono upinzani kushiriki au kupiga kura katika ushindani wa kipuuzi na kishenzi hivyo. Kama unaaminishwa kuna ccm mpya basi nakuhakikishia ni divai mpya kwenye kiriba cha zamani.
 
Nyiramba kugombea ubunge kwa wanyaturu haijawahi kutokea.
Nyalandu atalinda Ubunge wake bila shida kabisa.Itakuwa fundusho kwa Wabunge wengine ambao wanania ya kutoka ccm,ila wanaogopa kutorejesha majimbo yao.
Go Nyalandu,Goo
[HASHTAG]#Tunamwombea[/HASHTAG] Lissu apone
 
Kwani tanzania viongozi wanachaguliwa au wanateuliwa??
 
Mkuu umeongea saana lakini bado unabaki kule kule katika ushabiki na hisia kuliko uhalisia! hayo unayosema yoote ni katika kutafuta huruma kwa wanananchi bila ya kuleta suluhu! Suluhu ni wapinzani kuacha maneno kufanya kazi kwa vitendo ionekane dhahiri kwa wananchi sijui kama kuna tawala itaweza kuzuia nguvu ya umma inayokubalika kwa wananchi wote bila kujali tofauti zao mfano kwa utendaji wa mbunge joseph haule jimboni kwake sioni kama kuna mtu anaewaza kuwa atatoka leo au kesho jamaa anakubalika kwa asilimia nyingi hata na hao wanaccm japo bado wenye uchu wa madaraka wanampinga kimtindo kwa kuwa jamaa yupo karibu na wananchi wake na anafanya kazi zao kwa kadri ya uwezo wake kama alivyokuwa yule late filikunjombe na ludewa hii ni miongoni mwa suluhu kwa upinzani kushika dola ila kama wapinzani wataendelea na siasa za kiharakati za kina lijualikali,lema kelele yingi majungu na kutia hamasa za fujo na chuki hakika vipigo kwa wafuasi wa upinzani havitawaacha salama sababu tz ukiwa mbwatukaji watu watajaa kukusikiliza kwa kuwa ni nchi yenye raia wanaopenda kusikia umbea, majungu, fulani kamsema fulani, but hawako tayari kukussuport katika mambo ya hovyo japo kuna watakaonaswa kutokana na sababu mbalimbali mfano kutokuwa na umri wa busara na mob psychology! Ukiangalia nchi za kiafrika ambazo upinzani umeweza kuwaondoa watawala mostly watu hao walijenga imani kwa wananchi kupitia kazi zilizonekana na sio maneno ya kelele mfano mfuatilie late michael satta wa zambia mfuatilie macky sally wa senegal ambae ni mkristo anaetawala taifa lenye 90% ya waislamu,adama barrow gambia kupitia Majum Real Estate aliweza kutoa ajira nyingi kwa vijana wa kigambia mwisho wa siku kaja kumng"oa kigogo yahya jameh. Wapinzani wa nchi hii kama wana dhamira ya kushika dola na si kula ruzuku kwa vyama vya familia zao, lazima waache usanii kwa kuwapumbaza watu na kutafuta huruma kwa wananchi wafanye kazi kweli kwani na wawe karibu na wananchi sidhani kama kuna mtu atakubali kupewa t shirt na kanga sijui na chumvi aunge mkono watu wasio karibu nao wala kuwajali. Nina hakika kupitia tume hiyo hiyo ndio iliyowaptia hao wabunge na madiwani sasa iweje sehemu upinzani ukishindwa tume hiyo iwe mbaya?? Mzee lowasa alitoa wosia mzuri sana kwa mameya walipoenda kumtembelea ofisini kwake pale mikocheni KUWA NENDENI MKAFANYE KAZI WATU WAONE TOFAUTI YA SISI NA WAO nadhani hii ndio silaha pekee ya upinzani kuwin the situation pia akongeza kule arusha katika mkutano wa madiwani wa Ukawa TUACHE SIASA ZA KIHANAHARAKATI TUJENGE CHAMA TOKEA KATIKA MASHINA YA CHINI KABISA nadhani wewe pia unaweza kuwa shahidi wanazi na mashabiki wa Ukawa walivyomponda mzee huyu. Mdau hamna shortcut katika maisha upinzani lazima ufanye kazi kubwa na si kubwata bwata, kuzungusha mikono,kumsema rais vibaya,kushadadia nyufa za hostel, kupaka watu rangi na kusema wamepigwa mapanga,(ushawahi kujiuliza hali zao zinaendeleaje baada ya uchaguzi) kuandaa vijana kuzuia kina mama kwenda kupiga kura,kuzungumzia sana mambo ya chama tawala kuliko ya chama chao,Kuhamisha magoli kuwa mtu akihama kanunuliwa basi kama ni hivyo hamna mtu mwenye akili timamu atakepigia kura mtu ambae baadae atanunuliwa.Upinzani Lazima ufanye kazi na uache usanii wa kihanaharakati

Umechana jamvi, umeongea kweli na ukweli mtupu. Mwenye masikio na asikie bahati CDM wapo on denial stage.
 
Kwanza nikupongeze kwa kupoteza muda wako kuchangia nilichokiongea, nafurahi sana kwakuwa umeingai pale nilipokuwa napataka. Nataka nikudhihirishie kwamba ninaposema upinzani kushiriki na mtu anayepigia kura upinzani ni kupoteza muda sisemi kwa bahati mbaya bali najua ninachokisema bila kujali kama utaafiki ama la. Sipingi kabisa sababu unayoisema ya kwamba wewe ni muumini wa kuchagua mtendaji mzuri. Je ni wangapi wenye umakini kama huo wako? Katika nchi ambayo wapiga kura wengi wanasoma magazeti ya udaku kuliko vitabu, na wengine hawajahi kushika kitabu chochote cha maarifa baada ya kumaliza elimu yoyote iwe ya msingi, sekondari au chuo kikuu watu makini wanatoka wapi hapo?

Bila kuwa na takwimu sahihi napenda kabisa kukuambia wanaochagua kwa kujua sera wakati wa uchaguzi hawazidi 20% tena wengi wa hao wako mijini kwenye wasomi na wingi wa vyombo vya habari. 80% ya waliobaki wanatumia vigezo vingine kabisa kuweza kumpata mgombea wao. Mfano halisi, wakati wa mkutano wa uchaguzi unakuta mkutano wangalau ni wa masaa matatu. Masaa mawili yote ni burudani, Nusu saa ni ya utambulisho na wapambe kutamba kwa vijembe jukwaani, kisha unakuta mgombea anapewa dakika 20. Kati ya hizo 10 anapiga vijembe vya kisiasa halafu dk 10 ndio anauza sera. 10 zilizobakia ni maswali tena wakati mwingine ni kwa watu walioandaliwa. Anajibu ajuavyo na kumalizia kw kuaga. Hayo ndio mazingira ya wakati wa kampeni na ndiko wanaochaguliwa wanapotoka.

Unapokuwa upinzani ni kama mtoto wa kambo, unaweza kunyimwa chakula na vyombo utaosha. Jenga hoja upendavyo lakini uvae uso wa aibu kwani ukweli haujifichi hata kama hutoukiri. Nashangaa sana unapotaka kuonyesha hilo la wapinzani kufanyiwa ukatili ni uzushi. Naona uko hapa kuukataa ukweli kwa sababu unazozijua, mimi nimejionea siasa za upinzani na huo ukatili nimekuwa nikuushuhudia kwa macho yangu tena mbele ya vyombo vya dola. mfano wa tukio nililoliona ukiachia mengi mengine ni lile shambulio la bomu huko Arusha. Labda niliache lile maana unaweza kusema ilikuwa ni zamani. Huu uchaguzi wa juzi ambao nilitarajia kuwa kipimo halisi cha kukubalika kwa Magufuli kwa sasa, achia mbali taarifa na propaganda tunazopata, hapa ndio nilitaka nione ccm mpya. Hapa nilishuhudia kwa macho yangu wafuasi wa upinzani wakipigwa na vijana ambao ni dhahiri polisi walijua kikundi kile kinachofanya. Huu ninaosema ni ukweli wa rohoni. Unaweza kubisha maana huko tayari kukiri ukweli lakini hilo ni ukweli. Sikushangaa wapinzani kutendewa vile zamani, ila sio kwa ccm hii chini ya rais tunayeambiwa anakublalika. Kibaya zaidi ni hofu na upindishaji mkubwa wa sheria za uchaguzi toka kwa maafisa waliokabidhiwa jukumu hilo. Hii ni uthibitisho kwamba sasa tuko kwenye dhama hatari kabisa za demokrasia hapa nchini iwapo upo upinzani. Kwa kile nilichokiona nakuambia ukweli toka rohoni siko tayari kuunga mkono upinzani kushiriki au kupiga kura katika ushindani wa kipuuzi na kishenzi hivyo. Kama unaaminishwa kuna ccm mpya basi nakuhakikishia ni divai mpya kwenye kiriba cha zamani.
Umetisha mkuu na asante sana kwa kunipa ushuhuda wako kwa yale uliyojionea hakika nikiri wazi naheshimu sana mtu anapokiri juu ya mambo flani aliyoyashuhudia na ndio kwa hakika yanakupa msukumo ulio nao na mtazamo juu ya siasa za tz Much respect sana mdau! but mi ushauri wangu kwa upinzani kwanini wasijaribu mbinu mbadala ya utendaji uliotukuka mfano sa hv kuna zuio la mikutano ya hadhara nje ya jimbo la muhusika kwanini wahusika wa jimbo wasitumie mwanya huo ku organize mikutano yenye tija na lengo la kuwaletea maendeleo wananchi katika kero zinazowasibu? hali ni tofauti sana hata hao wabunge hawafanyi hio mikutano wanataka waalikwe nje ya jimbo wakapige zogo, hv mfano mbunge akaitisha mkutano kuwaambia wananchi wake wachangie juu ya ujenzi wa kituo cha afya au wachimbe visima vya maji yeye atatafuta wadhamini na kuchangia huo mradi hadharani halafu kesho aje mkuu wa mkoa kuzindua akajigamba kuwa ni wao ndio waliofanikisha watu watadanganyika kweli? sasa kwa aina ya siasa za sasa za upinzani za kutoa maneno makali ya kuichongea serikali kwa wananchi sidhani kama kuna mtawala afrika atakubali hili! actions speak louder than words ...
 
Umetisha mkuu na asante sana kwa kunipa ushuhuda wako kwa yale uliyojionea hakika nikiri wazi naheshimu sana mtu anapokiri juu ya mambo flani aliyoyashuhudia na ndio kwa hakika yanakupa msukumo ulio nao na mtazamo juu ya siasa za tz Much respect sana mdau! but mi ushauri wangu kwa upinzani kwanini wasijaribu mbinu mbadala ya utendaji uliotukuka mfano sa hv kuna zuio la mikutano ya hadhara nje ya jimbo la muhusika kwanini wahusika wa jimbo wasitumie mwanya huo ku organize mikutano yenye tija na lengo la kuwaletea maendeleo wananchi katika kero zinazowasibu? hali ni tofauti sana hata hao wabunge hawafanyi hio mikutano wanataka waalikwe nje ya jimbo wakapige zogo, hv mfano mbunge akaitisha mkutano kuwaambia wananchi wake wachangie juu ya ujenzi wa kituo cha afya au wachimbe visima vya maji yeye atatafuta wadhamini na kuchangia huo mradi hadharani halafu kesho aje mkuu wa mkoa kuzindua akajigamba kuwa ni wao ndio waliofanikisha watu watadanganyika kweli? sasa kwa aina ya siasa za sasa za upinzani za kutoa maneno makali ya kuichongea serikali kwa wananchi sidhani kama kuna mtawala afrika atakubali hili! actions speak louder than words ...

Mkuu nashukuru kwa kuappreciate mchango wangu. Nadhani ulifikiri unaongea na mtu mwenye ushabiki wa kijinga, bila kujua najua ninachozungumza na nimefanya utafiti na kwa kuangalia udhaifu wetu waafrika kwenye madaraka nikafikia hitimisho. Hilo la mikutano ni kweli, lakini nalo naliona unalizungumza kinadharia japo sio kwamba haliwezekani. Hivi unajua ukiitisha mkutano wa wananchi wa eneo husika ni nadra sana wengi kuhudhuria? Tuanze na wewe na ukiri ukweli ni lini mara ya mwisho kushiriki mkutano wa kata yako? Na rajiki ama majirani zako je? Huo ni udhaifu wa kwanza wa wananchi wenyewe. Halafu hata hao wanaokuja ukifikia mahali pa michango ndio huoni mtu kabisa na hata ukipata ni kiduchu sana. Kwenye hili nazungumza na ushahidi ninao.

Tatizo la itikadi nalo hili limekuwa changamoto iliyo wazi kabisa, ni nadra sana muwakilishi wa upinzani kupata ushirikiano kutoka kwa muwakilishi wa serekali. Sio kwamba hakuna lakini sehemu kubwa kuna shida. Nitakupa mfano mkubwa na wawazi. Mbunge Lema wa jimbo la Arusha alifanya jitihada kadiri awezavyo na kweli akafanikiwa kushawishi wafadhili ambao walikubali kutoa 9b kwa ajili ya hospitali ya mama na mtoto. Siku ya uzinduzi mkuu wa mkoa akaja kama mgeni rasmi, kama kawaida ninayokuambia ya viongozi wa kiafrika wakiwa madarakani, mkuu wa mkoa kwanza aligoma Lema kuwepo kwenye huo uzinduzi. Ila baada ya mvutano mkali ikabidi Lema awepo. Mkuu wa mkoa akaanza kutoa hotuba, dakika ya mwisho akaamua kuingiza siasa ya kutokutambua mchango wa mbunge aliyefanikisha. Lema kama unavyomjua sio mtu wa simile udhaifu hatari, hakungoja hafla ile iishe, akachukua kipaaza sauti akaanza kumshambulia mkuu wa mkoa kwamba anaingiza siasa. Ilikuwa ni aibu ya karne. Huu ni mfano halisi nataraji ulisikia hilo sakata na uzi wa jambo lile uko hapa jukwani. Please nielewe mimi sio mshabiki wala mtu wa kubahatisha naongea ninachokijua baada ya utafiti. Narudia tena, wapinzani kushiriki kwenye uchaguzi au kupiga kura ni upuuzi na ushenzi wa hali ya juu. Ila kama wanataka kushiriki watumie njia ya machafuko ambayo nadhani sio sahihi. Kwa hiyo ndugu yangu naomba ufute ile kauli yako eti wapinzani tumekata tamaa.
 
Mkuu nashukuru kwa kuappreciate mchango wangu. Nadhani ulifikiri unaongea na mtu mwenye ushabiki wa kijinga, bila kujua najua ninachozungumza na nimefanya utafiti na kwa kuangalia udhaifu wetu waafrika kwenye madaraka nikafikia hitimisho. Hilo la mikutano ni kweli, lakini nalo naliona unalizungumza kinadharia japo sio kwamba haliwezekani. Hivi unajua ukiitisha mkutano wa wananchi wa eneo husika ni nadra sana wengi kuhudhuria? Tuanze na wewe na ukiri ukweli ni lini mara ya mwisho kushiriki mkutano wa kata yako? Na rajiki ama majirani zako je? Huo ni udhaifu wa kwanza wa wananchi wenyewe. Halafu hata hao wanaokuja ukifikia mahali pa michango ndio huoni mtu kabisa na hata ukipata ni kiduchu sana. Kwenye hili nazungumza na ushahidi ninao.

Tatizo la itikadi nalo hili limekuwa changamoto iliyo wazi kabisa, ni nadra sana muwakilishi wa upinzani kupata ushirikiano kutoka kwa muwakilishi wa serekali. Sio kwamba hakuna lakini sehemu kubwa kuna shida. Nitakupa mfano mkubwa na wawazi. Mbunge Lema wa jimbo la Arusha alifanya jitihada kadiri awezavyo na kweli akafanikiwa kushawishi wafadhili ambao walikubali kutoa 9b kwa ajili ya hospitali ya mama na mtoto. Siku ya uzinduzi mkuu wa mkoa akaja kama mgeni rasmi, kama kawaida ninayokuambia ya viongozi wa kiafrika wakiwa madarakani, mkuu wa mkoa kwanza aligoma Lema kuwepo kwenye huo uzinduzi. Ila baada ya mvutano mkali ikabidi Lema awepo. Mkuu wa mkoa akaanza kutoa hotuba, dakika ya mwisho akaamua kuingiza siasa ya kutokutambua mchango wa mbunge aliyefanikisha. Lema kama unavyomjua sio mtu wa simile udhaifu hatari, hakungoja hafla ile iishe, akachukua kipaaza sauti akaanza kumshambulia mkuu wa mkoa kwamba anaingiza siasa. Ilikuwa ni aibu ya karne. Huu ni mfano halisi nataraji ulisikia hilo sakata na uzi wa jambo lile uko hapa jukwani. Please nielewe mimi sio mshabiki wala mtu wa kubahatisha naongea ninachokijua baada ya utafiti. Narudia tena, wapinzani kushiriki kwenye uchaguzi au kupiga kura ni upuuzi na ushenzi wa hali ya juu. Ila kama wanataka kushiriki watumie njia ya machafuko ambayo nadhani sio sahihi. Kwa hiyo ndugu yangu naomba ufute ile kauli yako eti wapinzani tumekata tamaa.
Kuhusu mimi kuhudhuria shughuli za jamii nashukuru najitahidi sana ninapokuwa na nafasi na hata kama sijafanikiwa basi lazima memba wa familia yangu atakuwepo hapo sasa ishu ya wananchi in general kuwa wazito kidogo ndugu yangu napata tabu kuamini maana katika moja ya sifa wanayojivunia wapinzani ni NYOMI au si ndio? au zile ni nyomi za kutengeneza kama rumors zinavyodai? sasa kama kuna nyomi kubwa si ndio nzuri kuitumia kuhamasihsa maendeleo au? Kuhusu kesi ya lema na gambo ndio maana katika uzi wangu uliopita nimesema mbunge afanye haya hadharani halafu mkuu wa mkoa aje kujigamba katika uzinduzi hakika atakaua anajidanganya mwenyewe na watawala wake maana kila mtu atakua anaujua ukweli! Pia upinzani utumie hiyo mikutano kuwaambaia wananchi mahitaji ya katiba mapya na tume huru vitaleta mabadiliko gani katika maisha yao yawe tofauti na sasa! maan nchi ya tz elimu ya utambuzi ni janga kubwa kwa raia mfumo upo kwa ajili ya kuitumikia system ili uishi Hizo mindset upinzani inawezaje kuzichange na kuwaunganisha raia pamoja bila kujali itikadi zao lazima wawe na msingi wanaousimamia mfano Enzi za sera ya Ufisadi uungwaji mkono ulikua mkubwa compare na sasa kwa style ya siasa za matukio mfano leo naona kuna wanaojisifu kuwa rais katekeleza sera yao kwa kumtoa babu seya sasa hapa kuna siasa serious kweli hapa?
 
Kuhusu mimi kuhudhuria shughuli za jamii nashukuru najitahidi sana ninapokuwa na nafasi na hata kama sijafanikiwa basi lazima memba wa familia yangu atakuwepo hapo sasa ishu ya wananchi in general kuwa wazito kidogo ndugu yangu napata tabu kuamini maana katika moja ya sifa wanayojivunia wapinzani ni NYOMI au si ndio? au zile ni nyomi za kutengeneza kama rumors zinavyodai? sasa kama kuna nyomi kubwa si ndio nzuri kuitumia kuhamasihsa maendeleo au? Kuhusu kesi ya lema na gambo ndio maana katika uzi wangu uliopita nimesema mbunge afanye haya hadharani halafu mkuu wa mkoa aje kujigamba katika uzinduzi hakika atakaua anajidanganya mwenyewe na watawala wake maana kila mtu atakua anaujua ukweli! Pia upinzani utumie hiyo mikutano kuwaambaia wananchi mahitaji ya katiba mapya na tume huru vitaleta mabadiliko gani katika maisha yao yawe tofauti na sasa! maan nchi ya tz elimu ya utambuzi ni janga kubwa kwa raia mfumo upo kwa ajili ya kuitumikia system ili uishi Hizo mindset upinzani inawezaje kuzichange na kuwaunganisha raia pamoja bila kujali itikadi zao lazima wawe na msingi wanaousimamia mfano Enzi za sera ya Ufisadi uungwaji mkono ulikua mkubwa compare na sasa kwa style ya siasa za matukio mfano leo naona kuna wanaojisifu kuwa rais katekeleza sera yao kwa kumtoa babu seya sasa hapa kuna siasa serious kweli hapa?

Mkuu naona bado unarudi palepale ninapokiluambia upo kinadharia zaidi. Watu wengi wanaendekeza siasa kuliko maendeleo. Kwenye siasa kuna nyomi maana hata ambao sio wa eneo husika huweza kufika. Ww ni mgeni kuona malori yakipeleka watu ili kupata nyomi? Ila maendeleo hayana chama wahusika ni wakazi halisi wa eneo husika, hapo huwezi kutumia sifa yako ya kisiasa kuunganisha wote.

Hilo suala la babu seya hata kulijadili kwangu naona ni upuuzi. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, lile nililokuambia watu kusoma magazeti ya udaku kuliko vitabu vya maarifa watu makini watoke wapi?
 
Kwa wenye busara hakuna haja ya kupiga hiyo kura hii dunia tunapita tu acha watawale hata watoto wao wawarithishe its all good
 
Mkuu naona bado unarudi palepale ninapokiluambia upo kinadharia zaidi. Watu wengi wanaendekeza siasa kuliko maendeleo. Kwenye siasa kuna nyomi maana hata ambao sio wa eneo husika huweza kufika. Ww ni mgeni kuona malori yakipeleka watu ili kupata nyomi? Ila maendeleo hayana chama wahusika ni wakazi halisi wa eneo husika, hapo huwezi kutumia sifa yako ya kisiasa kuunganisha wote.

Hilo suala la babu seya hata kulijadili kwangu naona ni upuuzi. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, lile nililokuambia watu kusoma magazeti ya udaku kuliko vitabu vya maarifa watu makini watoke wapi?
nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
 
Mkuu naona bado unarudi palepale ninapokiluambia upo kinadharia zaidi. Watu wengi wanaendekeza siasa kuliko maendeleo. Kwenye siasa kuna nyomi maana hata ambao sio wa eneo husika huweza kufika. Ww ni mgeni kuona malori yakipeleka watu ili kupata nyomi? Ila maendeleo hayana chama wahusika ni wakazi halisi wa eneo husika, hapo huwezi kutumia sifa yako ya kisiasa kuunganisha wote.

Hilo suala la babu seya hata kulijadili kwangu naona ni upuuzi. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, lile nililokuambia watu kusoma magazeti ya udaku kuliko vitabu vya maarifa watu makini watoke wapi?
nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
 
Mkuu naona bado unarudi palepale ninapokiluambia upo kinadharia zaidi. Watu wengi wanaendekeza siasa kuliko maendeleo. Kwenye siasa kuna nyomi maana hata ambao sio wa eneo husika huweza kufika. Ww ni mgeni kuona malori yakipeleka watu ili kupata nyomi? Ila maendeleo hayana chama wahusika ni wakazi halisi wa eneo husika, hapo huwezi kutumia sifa yako ya kisiasa kuunganisha wote.

Hilo suala la babu seya hata kulijadili kwangu naona ni upuuzi. Na hilo ndio tatizo la nchi yetu, lile nililokuambia watu kusoma magazeti ya udaku kuliko vitabu vya maarifa watu makini watoke wapi?
nice to meet you great thinker..have a nice mkuu tumeshare vizuri mawazo
 
Kwanini abembelezwe ilihali hakujitokeza kutia nia miongoni mwa makada 23?. Wale waliojitokeza watajisikiaje?
 
Back
Top Bottom