Kikao cha wanaume: Njooni mnipe ushauri


Tutake radhi, Yani umetuita faragha kutuambia haya kweli?
 
Kuna tofauti gani?ni bora uingie chimbo ukijua unaingia chimbo, hata gharama zinapungua kuliko kula malaya pasipo kujua huku ukigharamikia extraordinarily
Mkuu malaya wa chimbo sio binadamu, ukimaliza kuko..jo a sio rafiki tena, huwezi linganisha na mke uliyemweka ndani.
Kama huoni tofauti ya malaya na mpenzi wako wewe huna utu
 
kitaalamu tunasema unamatatizo miship ya fahamu haipeleki taarifa kwa haraka kwenye ubongo wako unapo kutan na pisi kalikali
 
Ukiweza kununua tayari ni kwamba huna tatizo. Nazungumzia mtu ambaye anaamua kutoenda shamba na kuamua kulala sababu jembe lake halipo vizuri. Ukitaka kulima lima na kila kinachoweza kulima.

Na nunua jipya mkuu, uking'ang'ania bovu ufanisi utakuwa mbovu
 
Ukiweza kununua tayari ni kwamba huna tatizo. Nazungumzia mtu ambaye anaamua kutoenda shamba na kuamua kulala sababu jembe lake halipo vizuri. Ukitaka kulima lima na kila kinachoweza kulima.
Kulima nalima sana lakini nachagua jembe mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…