Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Kikao gani kilikuamlia mme wa mama yako umuite "baba"?
 
kikao gani kilikaa mpaka baba yako akaamua kukuzaa kichwa maji kama wewe??


wanasemaga eti?
Ukiwa unaoga mwenda wazim akichukuwa nguo zako usimkimbize na wewe utakuwa mwenda wazim kama siyo kichaa. Me ninapita tu simo
 
POA TU KWANI NINI BWANA KUNA UBAYA GANI NGOJA NA MIMI NI MWIETE MKAPA MKURUGEZI WA TAIFA ,MZALENDO, MTOTO WA TANZANIA, Namuongezea na Sir B Mkapa. NIMALIZIYE MUTU YA WATU PAPAA MKAPA MUZEE YA CHAIN GR 1,000
 
i believe the function of education is to teach one to think intensively and to think critically.
Intelligence plus character that is the goal of true educational .sikujuwi ila wazazi wako hawakupoteza pesa kukupeka shule 100% wengi wame fail.
Ingekuwa ni mtihani basi wame fail kama ndugu zetu wa darasa 7 ila elimu haina mwisho kesho wana weza kufaulu
 
Tukiacha udini mleta uzi ana hoja nzuri sana... kwanin karume hakumbukwi kama baba wa Zanzibar? amewajengea zanzibar nzuri yenye kupendeza mpka vijijini... Kikao kilichompitisha Nyerere kuitwa baba wa Taifa ndicho kilicho bariki Mwinyi kuitwa baba wa Demokrasia? same kikao kiliamua Kawawa kuitwa Simba wa Vita? ...
 
Mkuu ilboru 1995, 1998...ulikuwepo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…