Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Hakuna cha wivu hapa! Kikubwa ni kuwa wakristo mmeshindwa kuleta noja za msingi za kuutetea huo ubaba wa taifawa mchonga. Bado sijaona hoja za msingi za kumwita Nyerere kuwa baba wa taifa.

kwani suala la nyerere kuitwa baba wataifa ni la wakristo au watz. Mbna hujielewi sheikh!
 
Hata namimi nashangaa ni nani kampa yule mzee u baba wa taifa,hii nchi ina vioja sana kwa kwelii,,

Sasa mama wa taifa ndiye yule Maria nyerere au??

Kaazi kweli kweli..
Kwa style hizi za kumwangalia mtu kwa jina la dhehebu ndo tumjadili kamwe hatutakaa tueshimiane wakristo na waislam.,hoja hap si nyerere bali ni iman ya nyerere..HAHAHAAAAAA SMALL MIND BHANA..
 
Nyerere ataendelea kuwa Baba wa Taifa.......! Muungano ukivunjika Zanzibar nao watangaze Baba yao wa Taifa!
 
Nyerere ataendelea kuwa Baba wa Taifa.......! Muungano ukivunjika Zanzibar nao watangaze Baba yao wa Taifa!
Weka hisia pembeni!

Tunajadiliana kutaka kujua ni sababu au vigezo vipi vinavyomfanya nyerere aitwe baba wa Taifa.

Je,una sababu zozote (ukiachilia zilizotajwa) za kumuita nyerere baba wa Taifa?
 
Hapa inaonesha ni jinsi gani watu wa JF walivyo mabogus katika kujibu hoja.Namshukuru CEMENT kwa kujitahidi kupanga hoja za msingi! Lakini kati ya wale wote walio comment hapojuu kumuondoa cement ni mabogus na hawafai kuwa GTs bali hao ni GSs.
acha watu watoe maoni yao usiwaite bogus maana kutakuwa na kujibizana na hivo bogas halisi haajulikana bali nyie wote.
nikijibu swali lako ni kuwa sidhani kama kulikuwa na kikao au hata kulikuwa na haja. Nyerere alianza kuitwa baba muda mrefu sana hata kabla ya uhuru. Wakati fulani alirudi kutoka UNO wananchi wa dar wakawa wanasema "BABA KABWELA UNO" wakiwa na maana baba karudi toka UNO. basi mti mwema hujulikana kwa matunda yake kadiri maisha yalivyoendelea na hadi alipostaafu hilo jina la baba wa taifa lilimfaa zaidi kuliko rais mstaafu kwa heshima hiyo hadi leo twamwita baba wa taifa. watu wengi tu hupata majina kwa jinsi hii mfano Kawawa aliitwa simba wa vita, Mwinyi Mzee wa ruksa nk. hakuna kikao kilichokaa kuwapa majina hayo tofauti na ya kwao halisi.
 
Nyerere alianza kuitwa baba muda mrefu sana hata kabla ya uhuru. Wakati fulani alirudi kutoka UNO wananchi wa dar wakawa wanasema "BABA KABWELA UNO" wakiwa na maana baba karudi toka UNO. basi mti mwema hujulikana kwa matunda yake kadiri maisha yalivyoendelea na hadi alipostaafu hilo jina la baba wa taifa lilimfaa zaidi kuliko rais mstaafu kwa heshima hiyo hadi leo twamwita baba wa taifa.
hii ndiyo sababu ya kuitwa baba wa Taifa!

Una rejeo lolote kuhusu "wananchi wa Dar" kumuita nyerere baba?
 
Hakuna cha wivu hapa! Kikubwa ni kuwa wakristo mmeshindwa kuleta noja za msingi za kuutetea huo ubaba wa taifawa mchonga. Bado sijaona hoja za msingi za kumwita Nyerere kuwa baba wa taifa.

Wakati yupo kwa nini hamkumuuliza yeye mwenyewe?
 
Hakuna cha wivu hapa! Kikubwa ni kuwa wakristo mmeshindwa kuleta noja za msingi za kuutetea huo ubaba wa taifawa mchonga. Bado sijaona hoja za msingi za kumwita Nyerere kuwa baba wa taifa.
unaposema Wakristo una maana ndiyo wanakuambia kuwa Nyerere ni Baba wa taifa ama una maana gani ingine
 
Kikao gani kilikaa mpaka baba yako akaamua kukuzaa kichwa maji kama wewe??

knachokuchkza nini? nafikri hadi hapo umeshapata jibu kotka kwa wanajamvi kwa nini anaitwa baba wa taifa,na kwa nini wa catholic waliaamua kumwita mwenye kheri.acha wivu wa kike

ushauri wangu kwako:

fanya vitu vya maana na vya msingi then watz watakuenzi kwa mchango wako katika taifa hili na hata kimataifa pia na wala usihoji mambo ambayo hayahitaji kuhojiwa,by the way you are too late/young to question on that issue.na unapoingiza maswala ya kidini unaonyesha kiasi gani uelewa wako ulivyo mdogo katika maswala ya kitaifa na kimataifa.
 
Hii hoja umeibua ni nzito lakini kimsingi hata mataifa mengine kiongozi mkuu wa nchi hasa Rais wa kwanza wengi huamua kumpa heshima hy like marekani George washngton na kwingineko hvy kwa kigezo hicho hata Tanzania tukaamua kumpa Mwl Nyerere heshima hy si mbaya na wala haina tija yoyote!na ni kweli alichukia kuchanganya dini na siasa plus ukabila na ndivyo vitu vivyavyopelekea mataifa mengi katika vita vya wenyewe kwa wenyewe alitambua hilo lakini pamoja na mapungufu yaliyojitokeza katika uongozi wake si vyema kumdhihaki au kejeli Tumpe heshima yake coz viongozi wengi sana wa nchi hii wamesoma kupitia maarifa yake aliyoyaweka kwa sababu wengi wetu hatukuwa na uono huo mwisho wa siku Mwl Nyerer atabaki kuwa Baba wa Taifa.

Nyerere ni baba wa taifa la Tanzania,Tanzania ni mungano wa nchi mbili zilizokuwa huru Tanganyika na Zanzibar

Je aliekuwa raisi wa nchi ya pili yaani Zanzibar apewe cheo gani "Mama wa Taifa" au Tanzania iwe na baba wa wawili Yaani Nyerere na Karume au nyerere ni baba wa Tanganyika tu,au karume ni baba wa Taifa la Zanzibar

Its so complicated......waswahili waliwahi kusema "Kwenye ukweli uongo hujetenga"
 
hii ndiyo sababu ya kuitwa baba wa Taifa!

Una rejeo lolote kuhusu "wananchi wa Dar" kumuita nyerere baba?
Naam, ndiyo sababu hata wewe ukiiona ndogo! sababu ndogo tu yaweza kuzua jambo kuu! unataka rejeo gani zaidi. taifa hili lilipata uhuru akiwa kiongozi mkuu kama baba! Lugha hukua na watu. pale wanapomheshimu humpa mtu jina zuri kwenye upungufu jina haliwi zuri. mfano wakati fulani walimwitaa Nyerere mchonga meno wakati huo hali ya maisha ilikuwa mbaya na yeye alikuwa mtawala. sijui wewe unataka mjadala ili asiitwe baba wa taifa! kwa sasa hilo haliwezekani hadi historia yake itakapoelezwa vinginevyo na watu wajue hivo wakatae. kupinda ukweli huu ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. bora kuleta mjadala tofauti
 
unataka rejeo gani zaidi. taifa hili lilipata uhuru akiwa kiongozi mkuu kama baba! Lugha hukua na watu.
funguka zaidi!

Kwanza kuna mataifa mawili tofauti ndani ya Tanzania! hivyo utakuwa unamaanisha Tanganyika nchi ambayo mnaiua kimyakimya kama haijakufa kabisa.

Pili, je kiongozi mkuu huitwa baba? au ni mambo ya Kanisani mnayotaka kutuingiza wote?
 
Weka hisia pembeni!

Tunajadiliana kutaka kujua ni sababu au vigezo vipi vinavyomfanya nyerere aitwe baba wa Taifa.

Je,una sababu zozote (ukiachilia zilizotajwa) za kumuita nyerere baba wa Taifa?

Ok! Sababu kuu ya nyerere kuwa baba wa Taifa la Tanzania kwa mawazo yangu ni kwamba, Ndiye Rais wa kwanza wa Tanganyika huru na baadaye akawa rais wa kwanza wa JMT,Hivyo baada ya kustaafu alitakiwa kuenziwa na kuendelea kuheshimiwa,ili aendelee kuheshimiwa na watanzania alistahili kupewa heshima ya Baba wa Taifa la Tanzania kama Jamhuri ya Muungano......,
 
Ok! Sababu kuu ya nyerere kuwa baba wa Taifa la Tanzania kwa mawazo yangu ni kwamba, Ndiye Rais wa kwanza wa Tanganyika huru na baadaye akawa rais wa kwanza wa JMT,
Kwa hiyo ni baba wa Taifa la Tanganyika (sijui kama hii nchi bado ipo)! maanake ukiitaja Tanzania tu utakuwa umeshaiingiza Zanzibar ambayo ilikuwa na rais wake hivyo kumfanya nyerere si muasisi pekee.

Hoja ya kuwa rais wa kwanza wa JMT imeshajadiliwa! peruzi huu uzi vizuri.
 
Udini uliopo nchini umeasisiwa na nyerere (hili limeshajadiliwa sana hapa)Ni sehemu gani ya Tanganyika ambayo nyerere aliikuta katika ubaguzi wa kikabila na kuufuta?

Kusema kuwa nyerere amefuta ubaguzi wa kikabila,ameleta amani Tanganyika ni kuwadharau na kuwakejeli mababu zetu ambao walikuwa wakiishi bila ya vita na ubaguzi wa kikabila kabla hata wahamiaji kama wazazi wa nyerere hawajahamia katika nchi hii.Orodha ya ufisadi wakati wa nyerere ni ndefu! unazitaja Epa,richmond n.k kutokana na Dunia ya leo (ya uwazi),lakini yote haya yalifanyika wakati wa nyerere...inakutosha tu kuwa mafisadi tulio nao ni product ya nyerere.

...Kwa mara nyingine tena tunaona hoja za nyerere kuwa baba wa Taifa zikifeli!

Huwezi paka rang kwenye chuma chenye Kutu, bali nilazima uikwangue kutu kwanza ndipo upake.
Yawezekana ulivyomezeshwa haviwez kutapikwa hata kama vinasumu. Nakupa pole sana.
Wewe ulitaka nan apewe huu ubaba wa Taifa?
Kubishana si suruhu bali tunahitaji kutoa suruhisho bora.
Njøo Mbeya kuna migodi Ming {mf: 1.kwenye ml.Iwambi, 2.kwenye gereza la Songwe.n.k} alisimamisha uchmbaj wa madin akitaka watz tusome kwanza ndpo tuanze kuneemeka, Je! Wangekuwa mafis wa sasawanao sign mikataba kwa sir ingekuwaje?
Mf. Ges ya mtwara umesikia kimbembe chake au unajifanya uozo huu huuoni?
Ebu mtofautishe na mafis wa sasa kwa namna unayoijua basi.
 
Weka hisia pembeni!

Tunajadiliana kutaka kujua ni sababu au vigezo vipi vinavyomfanya nyerere aitwe baba wa Taifa.

Je,una sababu zozote (ukiachilia zilizotajwa) za kumuita nyerere baba wa Taifa?

mimi nashauri Mohamed said au mmoja wa wazee wake 'ateuliwe na Rais' kuwa Baba wa taifa! Au una wazo gani mkuu?
 
AWE PONDA? Mimi nashangaa kikao kipi kiliwapa waislam idhini ya kuchinja? Au imeandikwa kwenye katiba ya wapi wachinje
 
Back
Top Bottom