Udini uliopo nchini umeasisiwa na nyerere (hili limeshajadiliwa sana hapa)Ni sehemu gani ya Tanganyika ambayo nyerere aliikuta katika ubaguzi wa kikabila na kuufuta?
Kusema kuwa nyerere amefuta ubaguzi wa kikabila,ameleta amani Tanganyika ni kuwadharau na kuwakejeli mababu zetu ambao walikuwa wakiishi bila ya vita na ubaguzi wa kikabila kabla hata wahamiaji kama wazazi wa nyerere hawajahamia katika nchi hii.Orodha ya ufisadi wakati wa nyerere ni ndefu! unazitaja Epa,richmond n.k kutokana na Dunia ya leo (ya uwazi),lakini yote haya yalifanyika wakati wa nyerere...inakutosha tu kuwa mafisadi tulio nao ni product ya nyerere.
...Kwa mara nyingine tena tunaona hoja za nyerere kuwa baba wa Taifa zikifeli!