troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,551
- 2,573
Lembeli aliyekuwa mbunge wa kahamaKwa hakika nami ningependa kujuwa huyo mwenye kichwa cheupe kama unga ni nani.
Tukianzia hapo mengine yatajiweka mahala pake sawia.
Halafu ni kama hiki kikao kilifanyika porini; au kwenye shamba la mizabibu! Kwa nini?
Hivi Mwakyembe kilimtokea nini?