Kikao kifupi barazani; namtokeaje bosi wangu?!!!

Kikao kifupi barazani; namtokeaje bosi wangu?!!!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
kwa jina la jmt, mnasalimiwa mno!

Kwenye mada:
Jamani ni mbinu gani, ni namna gani, ni kivipi naweza kumtokea huyu mwanadada ambaye ni bosi wangu wa kati?!!! Nimejikuta namuelewa mno, ananivutia haswaa!

● Mkali na ukali wake wageuka kivutio kwangu kiajabu kabisa. Anagoma kweli pale kazi inapokwama, iwe kidogo au sana. Nimejikuta napenda mpaka ukali wake,.....wakati ananigomea kwa kutotenda vema kazi nakuwa katika dilemma; sipendi kuharibu kazi na wakati huo huo napenda kumsikia na kumuona akigoma.
● Mjasiriamali mzuri,
● Very serious na chap katika kazi n.k

Naombeni mbinu wadau maana hali imefikia hatua mbaya, jicho langu limekuwa halibanduki kwake katika vikao mpaka nahisi atakuja kunistukia.

Karibuni!
 
Muombe umtoe dinner akishakubali mkaenda dinner, tengeneza mazingira ya kumfahamu zaidi personal alafu umchane kwamba "katika maua yote duniani wewe ndo ua pekee limenivutia, sio kwa nia mbaya ningependa tufahamiane zaidi ya hivi tunavyofahamiana" ukishafikia hapo kuna mawili atakupiga maswali au atakubali. Lakini hii njia unatakiwa awe singo ndo itawork [emoji817].
 
kwa jina la jmt, mnasalimiwa mno!

Kwenye mada:
Jamani ni mbinu gani, ni namna gani, ni kivipi naweza kumtokea huyu mwanadada ambaye ni bosi wangu wa kati?!!! Nimejikuta namuelewa mno, ananivutia haswaa!

● Mkali na ukali wake wageuka kivutio kwangu kiajabu kabisa. Anagoma kweli pale kazi inapokwama, iwe kidogo au sana. Nimejikuta napenda mpaka ukali wake,.....wakati ananigomea kwa kutotenda vema kazi nakuwa katika dilemma; sipendi kuharibu kazi na wakati huo huo napenda kumsikia na kumuona akigoma.
● Mjasiriamali mzuri,
● Very serious na chap katika kazi n.k

Naombeni mbinu wadau maana hali imefikia hatua mbaya, jicho langu limekuwa halibanduki kwake katika vikao mpaka nahisi atakuja kunistukia.

Karibuni!

Kama una namba yake jaribu kwanza urefu wa maji. Mchungulie wakati yupo online WhatsApp, mtumie ujumbe wa kumsifia ili asome hisia zako.

Ukiona amesoma tu ujumbe, delete for everyone mara moja. Subiri matokeo.

Hapo ndo utakuwa umeanza safari ya aidha kumvua pichu au ya kujieleza kwamba ulikosea namba. Hii ni kutokana na majibu utakayopewa.
 
kwa jina la jmt, mnasalimiwa mno!

Kwenye mada:
Jamani ni mbinu gani, ni namna gani, ni kivipi naweza kumtokea huyu mwanadada ambaye ni bosi wangu wa kati?!!! Nimejikuta namuelewa mno, ananivutia haswaa!

● Mkali na ukali wake wageuka kivutio kwangu kiajabu kabisa. Anagoma kweli pale kazi inapokwama, iwe kidogo au sana. Nimejikuta napenda mpaka ukali wake,.....wakati ananigomea kwa kutotenda vema kazi nakuwa katika dilemma; sipendi kuharibu kazi na wakati huo huo napenda kumsikia na kumuona akigoma.
● Mjasiriamali mzuri,
● Very serious na chap katika kazi n.k

Naombeni mbinu wadau maana hali imefikia hatua mbaya, jicho langu limekuwa halibanduki kwake katika vikao mpaka nahisi atakuja kunistukia.

Karibuni!

Kaolewa?
 
Usijali mkuu upo vizuri, ushauri wangu mwache akufume mara kadhaa unamtazama, usizizuie hizo hisia.

Lkn fanya kitaalam
 
J tatu kamshike tako.. usiongee chochote we fika mpapase tako ..simple tu usha mpata afu uta niambia ukiwa una tembeza bahasha upya
 
kwa jina la jmt, mnasalimiwa mno!

Kwenye mada:
Jamani ni mbinu gani, ni namna gani, ni kivipi naweza kumtokea huyu mwanadada ambaye ni bosi wangu wa kati?!!! Nimejikuta namuelewa mno, ananivutia haswaa!

● Mkali na ukali wake wageuka kivutio kwangu kiajabu kabisa. Anagoma kweli pale kazi inapokwama, iwe kidogo au sana. Nimejikuta napenda mpaka ukali wake,.....wakati ananigomea kwa kutotenda vema kazi nakuwa katika dilemma; sipendi kuharibu kazi na wakati huo huo napenda kumsikia na kumuona akigoma.
● Mjasiriamali mzuri,
● Very serious na chap katika kazi n.k

Naombeni mbinu wadau maana hali imefikia hatua mbaya, jicho langu limekuwa halibanduki kwake katika vikao mpaka nahisi atakuja kunistukia.

Karibuni!
Unafeli wapi? Utakuwa mwanaume wa Dar wewe. Huku bara huwa tunasema tu, samahani bosi leo nije nikusaidie kazi za nyumbani? Akisema ndiyo unakwenda mbio, unazifanya halafu akikupa hela unakataa.

Basi unakuwa umeeleweka.

Iga hiyo mbinu, jioni leo lazima akupe chimpumu.
 
Maisha bila kazi ni magumu Sana,Usisaliti future yako kisa hisia za mda mfupi, mwanaume kuendeshwa na hisia ni udhaifu mkubwa mno,watoto wako,ndugu zako watateseka kwa sababu ya hisia zako za kipuuzi.

Mara Mia Bora huyo mwanamke angekupenda mwenyewe,sio uanze wewe,ingawa na yenyewe ilibidi ukatae,hakuna kazi na mapenzi vikawahi kudum kamwe.

Ushauri wangu puuzia huo ujinga unao uwaza,chapa kazi uisaidie jamii yako,maisha sio masiara.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta kazi nyingine, ukishapata mtongoze akimaindi akakupiga chini unajua una fall back plan.

Ila kwa shortcut mfuate Mshana Jr inbox, umroge akupende yeye.
 
Wewe ndio upo karibi na una mjua vizuri huyo boss wako kama kaolewa au hajaolewa. Kama singo maza au au binti tu. Wewe ndio unajijua kama unataka kuoa au kumchezea. Wew ndio unajua kama unatabia ya umalaya au hina hapo ofisini. Tunaweza kukupa ushauri kumbe weww mme wa mtu na yeye mke wa mtu tukawa tunaangaika kuvunjisha ndoa zenu au kumbe weww nimtu wa mademu hadi huyo boss anajua na hizo kaz unagombezwa kwa kuendekeza mapenz hawez kukukubali. Kifupi wewe na boss wako ndio mnajuana vizuri. Labda kama boss wako yupp JF na anaijua account yako hivyo umemweleza kijanja
 
Back
Top Bottom