Kikao kifupi barazani; namtokeaje bosi wangu?!!!

Kikao kifupi barazani; namtokeaje bosi wangu?!!!

Unajichimbia kaburi katika career yako mwenyewe, ipo hivi hata kama atakukubali sidhani kama ni sahihi kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mfanyakazi mwenzako, utakosa uhuru na amani eneo la kazi
 
Kwanza nikuulize kitu unataka kumwoa au kumchezea? Pili kama unamtaka kwa ajili ya future nakuunga mkono jilipue but kama unamtaka kwa ajili ya kula mzigo na kusepa basi tafakali kwanza uone coz usije aribu kazi kwa tamaa za kingoni
 
Maisha bila kazi ni magumu Sana,Usisaliti future yako kisa hisia za mda mfupi, mwanaume kuendeshwa na hisia ni udhaifu mkubwa mno,watoto wako,ndugu zako watateseka kwa sababu ya hisia zako za kipuuzi.

Mara Mia Bora huyo mwanamke angekupenda mwenyewe,sio uanze wewe,ingawa na yenyewe ilibidi ukatae,hakuna kazi na mapenzi vikawahi kudum kamwe.

Ushauri wangu puuzia huo ujinga unao uwaza,chapa kazi uisaidie jamii yako,maisha sio masiara.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Hakunaga mwanamke mgumu kwa mwanaume, hata angekua kiongozi mkubwa vipi, nje ya kazi/ubosi wake, yeye pia ni MTU, ana HISIA kama wengine tu. Nchi fulani hivi, mawaziri wa kike wanaliwa na madereva wao, hiyo imekaaje?
 
Dah umenikumbusha supervisor wangu mhindi(ke) from Bombay nilimpiga vocal akachomoa. Ila maisha ya kazi yaliendelea kama kawa.
 
Back
Top Bottom