Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Orait, samaki wa pale nanihii, roja!!Big mi naomba tuanze kwa samaki si unajua tena jj kunakitimoto nami sili.... natamani kichwa tuu
Roger this and the rest.Wapendwa baadae..
Love The Finance the only
Bigrita, GY, MJ1, Athipilini, Rose
RR, Askofu, and others tutaonana kwa kikao baadae
Kwa kawaida huwa tunakutana katika vikao kama wataka mpe the finest namba yako kwa PM then atakujulisha zaidi
roger this and the rest.
huyu ni mkwe wangu labda kama kuna assistant wake ..nambie Mama Big
Nimekuona duh!!mwambi huyo dada mweupe akulete mchemsho!!mimi nacheza kidogo pool!!au wakuletee nyingine??kama ndiyo kaambie hako kaka kashoga kakuletee bili kwangu!!Mhh nipo bana angalia vizuri kuna mama yupo busy na simu mezani nakunywa Vice roy:smile-big:
huyu ni mkwe wangu labda kama kuna assistant wake ..nambie Mama Big
Mwoga FP!!!mambo ya "Fuata nyuki upate manundu" shauri yako!
Mwoga FP!!!
Mwenzngu; nani yupo tayari kwa manundu kwa usawa huu? bora kujikalia nyumbani
Ulishawahi kutoka manundu FP?
Ulishawahi kutoka manundu FP?
haya baaaana. sehemu zinazotoka manundu!!Hivi manundu huwa yanatokea sehemu gani?
B Bar parking shida tupu......sogea JJtukutane B bar
haya baaaana. sehemu zinazotoka manundu!!
Sijawah. ila kama KakaKiiza alivyosema, mimi ni mwoga sana, na uoga wangu unanisaidia sana kutokupata manundu