Duh brother umeua msitiri basi jamaa kha.....Hiyo ndio tabia halisi ya Mbowe, nakumbuka mimi na yeye wakati tunapiga mziki pamoja enzi ya ujana wetu alikuwa hataki kuachia maDJ wenzake mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh brother umeua msitiri basi jamaa kha.....Hiyo ndio tabia halisi ya Mbowe, nakumbuka mimi na yeye wakati tunapiga mziki pamoja enzi ya ujana wetu alikuwa hataki kuachia maDJ wenzake mashine
Naona umeamua kumsagia sumu kweli kweli !!!Hiyo ndio tabia halisi ya Mbowe, nakumbuka mimi na yeye wakati tunapiga mziki pamoja enzi ya ujana wetu alikuwa hataki kuachia maDJ wenzake mashine
Kisheria,View attachment 3192052
Mwandishi nguli wa habari wa Kimataifa Salim KIKEKE amempiga Mbowe nyundo ya kichwa na akapatoza fahamu palepale.
******
Salim Kikeke: "Unasemaje kuhusu UKOMO wa MADARAKA"
Freeman Mbowe: "Katiba yetu haizuii that means UKOMO sio tatizo kwenye DEMOKRASIA"
Salim Kikeke: "Kuna kitu kinaitwa TERM LIMIT"
Freeman Mbowe: "Tuachane na biashara ya TERM LIMIT, kwetu hakuna term limit"
Salim Kikeke: "Ukiwa RAIS hautatoka MADARAKANI kwa sababu utakuwa unachaguliwa"
Freeman Mbowe: "Jhhjdkdhhdhdjskebehehdhdndhdhdbbdjdjjfkfkrkdkrnnrndnrnregeyejbgwgjjke
HUYU MWAMBA AKIINGIA IKULU ATATOKA KWELI KWANI HAONESHI DALILI NJEMA KABISA.
Mjanja sana ni DJ yuleFreeman Anaonekana ni mjanja mjanja, miaka yote akigombea huwa hapati upinzani, this time hakujiandaa kwa upinzani wa Lisu, sasa amebaki anabwabwaja.
Nimecheka sana mkuu dahHiyo ndio tabia halisi ya Mbowe, nakumbuka mimi na yeye wakati tunapiga mziki pamoja enzi ya ujana wetu alikuwa hataki kuachia maDJ wenzake mashine
Wakina mbowe na matapeli wenzake ndani ya chadema walitaka kuget rid ya ile timu yote cream ya wakina Lema, Msigwa, na Heche wote wasipate uenyekiti wa Kanda. Hilo likafanikiwa. Mission ikawa tunamtoaje Lissu. Wakaona ingiza Wenje ambae muda wote ni "Yes Sir". Lissu nae akachapa "ambush" ya maana. Nakufuata hukohuko juu 😅😅😅Mjanja sana ni DJ yule
Hata yeye Mbowe anajua hofu yetu sio relevant, kwa sababu hana ujanja wa kuingia Ikulu!😅View attachment 3192052
Mwandishi nguli wa habari wa Kimataifa Salim KIKEKE amempiga Mbowe nyundo ya kichwa na akapatoza fahamu palepale.
******
Salim Kikeke: "Unasemaje kuhusu UKOMO wa MADARAKA"
Freeman Mbowe: "Katiba yetu haizuii that means UKOMO sio tatizo kwenye DEMOKRASIA"
Salim Kikeke: "Kuna kitu kinaitwa TERM LIMIT"
Freeman Mbowe: "Tuachane na biashara ya TERM LIMIT, kwetu hakuna term limit"
Salim Kikeke: "Ukiwa RAIS hautatoka MADARAKANI kwa sababu utakuwa unachaguliwa"
Freeman Mbowe: "Jhhjdkdhhdhdjskebehehdhdndhdhdbbdjdjjfkfkrkdkrnnrndnrnregeyejbgwgjjke
HUYU MWAMBA AKIINGIA IKULU ATATOKA KWELI KWANI HAONESHI DALILI NJEMA KABISA.
Kwl na akili zako unawaza mchaga kuingia Ikulu? Be seroius, ikulu ni mahali patakatifuView attachment 3192052
Mwandishi nguli wa habari wa Kimataifa Salim KIKEKE amempiga Mbowe nyundo ya kichwa na akapatoza fahamu palepale.
******
Salim Kikeke: "Unasemaje kuhusu UKOMO wa MADARAKA"
Freeman Mbowe: "Katiba yetu haizuii that means UKOMO sio tatizo kwenye DEMOKRASIA"
Salim Kikeke: "Kuna kitu kinaitwa TERM LIMIT"
Freeman Mbowe: "Tuachane na biashara ya TERM LIMIT, kwetu hakuna term limit"
Salim Kikeke: "Ukiwa RAIS hautatoka MADARAKANI kwa sababu utakuwa unachaguliwa"
Freeman Mbowe: "Jhhjdkdhhdhdjskebehehdhdndhdhdbbdjdjjfkfkrkdkrnnrndnrnregeyejbgwgjjke
HUYU MWAMBA AKIINGIA IKULU ATATOKA KWELI KWANI HAONESHI DALILI NJEMA KABISA.
🤣🤣 Msaga Sumu,, utakufa vibaya sana weweHiyo ndio tabia halisi ya Mbowe, nakumbuka mimi na yeye wakati tunapiga mziki pamoja enzi ya ujana wetu alikuwa hataki kuachia maDJ wenzake mashine