Kikeke: Unasemaje kuhusu ukomo wa madaraka, Mbowe ang'aka

Kisheria,
hata ukomo wa madarka ukiwekwa chadema, chairman Mbowe bado atakua na haki na uhuru wa kikatiba kugombea uenyekiti kulingana sasa na huo ukomo wenyewe utakao wekwa πŸ’
 
Mjanja sana ni DJ yule
Wakina mbowe na matapeli wenzake ndani ya chadema walitaka kuget rid ya ile timu yote cream ya wakina Lema, Msigwa, na Heche wote wasipate uenyekiti wa Kanda. Hilo likafanikiwa. Mission ikawa tunamtoaje Lissu. Wakaona ingiza Wenje ambae muda wote ni "Yes Sir". Lissu nae akachapa "ambush" ya maana. Nakufuata hukohuko juu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hata yeye Mbowe anajua hofu yetu sio relevant, kwa sababu hana ujanja wa kuingia Ikulu!πŸ˜…
 
Kwl na akili zako unawaza mchaga kuingia Ikulu? Be seroius, ikulu ni mahali patakatifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…