Kiko wapi? Yanga yamtambulisha Moalin kuwa Mkurugenzi wa Ufundi

Kiko wapi? Yanga yamtambulisha Moalin kuwa Mkurugenzi wa Ufundi

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
140
FB_IMG_1731952463319.jpg



Tulipoandika tulitukanwa sanaaaa wengine wakaenda mbali mpaka kuwatukana wazazi wetu kisa habari za Moalin

Wengine wakatukataza kuandika habari za Yanga et tunaipa kashfa...🤣

Kiko waaaapi?

Kwanini Moalin sio Kocha Msaidizi?

Yanga walimwambia Sead aje yeye tu msaidizi yupo,Sead Ramovic akawaambia viongozi wa Yanga anakuja na msaidizi wake waliekuwa nae Ts Galaxy

Ikawaje?

Ikabidi Moalin awe TD.

✍️Sospeter Ilagila
 
View attachment 3155601


...Tulipoandika tulitukanwa sanaaaa wengine wakaenda mbali mpaka kuwatukana wazazi wetu kisa habari za Moalin

Wengine wakatukataza kuandika habari za Yanga et tunaipa kashfa...🤣

Kiko waaaapi?

Kwanini Moalin sio Kocha Msaidizi?

Yanga walimwambia Sead aje yeye tu msaidizi yupo,Sead Ramovic akawaambia viongozi wa Yanga anakuja na msaidizi wake waliekuwa nae Ts Galaxy

Ikawaje?

Ikabidi Moalin awe TD.

✍️Sospeter Ilagila
Na bado, al-shabab yote itahamia hapo jangwani. Makafir out.
 
Wamemchezea karata mbaya sana ila nadhani atafanya kazi zaidi kule under 20 au kwa wasichana ila huku hata ushauri TU hataombwa
Ila pengine huyu ustadhi Rama asidumu sana moalin akawa caretaker (huu mwaka mwaka tunalala na ngao ya hisani)
 
Sijaelewa sana lakini ata mimi naona itakuwa hi hivyo hivyo kama wadau mlivyochingia hapo juu.
 
Wamemchezea karata mbaya sana ila nadhani atafanya kazi zaidi kule under 20 au kwa wasichana ila huku hata ushauri TU hataombwa
Ila pengine huyu ustadhi Rama asidumu sana moalin akawa caretaker (huu mwaka mwaka tunalala na ngao ya hisani)
Asidumu kwa nini? Kocha hata michezo mitatu ajacheza tayari mmeshamkatia tamaa. Wakati aliyemleta huyu kocha ndiye aliyemleta Nabi na Gamondi ambao mlikuwa hata hamuwajui lakini wakaondoka na cv kubwa Yanga. Acheni ujuaji mapema.
 
Asidumu kwa nini? Kocha hata michezo mitatu ajacheza tayari mmeshamkatia tamaa. Wakati aliyemleta huyu kocha ndiye aliyemleta Nabi na Gamondi ambao mlikuwa hata hamuwajui lakini wakaondoka na cv kubwa Yanga. Acheni ujuaji mapema.
Nabii yanga wamemjua baada ya Simba kukutana na El merekh, sio Nabii hata Azizi k, Pacome, Yao , wote yanga wamewakua baada ya Simba kukutana na Asec hapo sijawataja wachezaji waliotoka As Vita na wale waliokuwa Simba
 
Nabii yanga wamemjua baada ya Simba kukutana na El merekh, sio Nabii hata Azizi k, Pacome, Yao , wote yanga wamewakua baada ya Simba kukutana na Asec hapo sijawataja wachezaji waliotoka As Vita na wale waliokuwa Simba
Wewe Unazungumzia kumjua kwa namna nyingine mimi nazungumzia kumjua ubora wake. Kama kumjua kwa namna hiyo basi hata huyo kocha mpya Yanga wamemjua baada ya kucheza nao kwenye mashindano ya Mpumalanga cup
 
Asidumu kwa nini? Kocha hata michezo mitatu ajacheza tayari mmeshamkatia tamaa. Wakati aliyemleta huyu kocha ndiye aliyemleta Nabi na Gamondi ambao mlikuwa hata hamuwajui lakini wakaondoka na cv kubwa Yanga. Acheni ujuaji mapema.
Hapo sio kocha tena huyo, ingawa aliposhawishiwa alielezwa kuwa atakuja kuwa kocha. Yanga wamelazimika kumtengenezea nafasi hewa kwa kuwa walishamuachisha kazi kule KMC, na kurudi haiwezekani tena hivi karibuni. Sasa yaani Moalin awe boss wa kocha kutoka South Africa, atasikilizwa kweli?
 
Hapo sio kocha tena huyo, ingawa aliposhawishiwa alielezwa kuwa atakuja kuwa kocha. Yanga wamelazimika kumtengenezea nafasi hewa kwa kuwa walishamuachisha kazi kule KMC, na kurudi haiwezekani tena hivi karibuni. Sasa yaani Moalin awe boss wa kocha kutoka South Africa, atasikilizwa kweli?
Umedandia gari kwa mbele, pitia maelezo vizuri. Jamaa kasema kuwa kocha mkuu hatodumu na kisha huyo Moalin ndiye atachukua nafasi yake.
 
Back
Top Bottom