Kiko wapi? Yanga yamtambulisha Moalin kuwa Mkurugenzi wa Ufundi

Kiko wapi? Yanga yamtambulisha Moalin kuwa Mkurugenzi wa Ufundi

Umedandia gari kwa mbele, pitia maelezo vizuri. Jamaa kasema kuwa kocha mkuu hatodumu na kisha huyo Moalin ndiye atachukua nafasi yake.
Kuzunguka kote huko kwa kazi gani? Ni kwamba walikuwa na tamaa ya kocha, wakawahamasisha kwa nyakati tofauti hao makocha waziache timu zao, wakajikuta kweli wameziacha na wanasubiri ajira ya nafasi moja!
 
Nabii yanga wamemjua baada ya Simba kukutana na El merekh, sio Nabii hata Azizi k, Pacome, Yao , wote yanga wamewakua baada ya Simba kukutana na Asec hapo sijawataja wachezaji waliotoka As Vita na wale waliokuwa Simba
Duh aisee kweli mpira umevamiwa
 
Ni muda wa kubana matumizi ili ipatikane hela. Tetesi ni kuwa Hersi anatafuta hela ya kampeni/wajumbe mwakani anataka ubunge wa Kongwa Dodoma.
YOUNG SOMALI AFRICAN SPORTS CLUB (YANGA)🤣🤣🤣🤣
 
Hapo sio kocha tena huyo, ingawa aliposhawishiwa alielezwa kuwa atakuja kuwa kocha. Yanga wamelazimika kumtengenezea nafasi hewa kwa kuwa walishamuachisha kazi kule KMC, na kurudi haiwezekani tena hivi karibuni. Sasa yaani Moalin awe boss wa kocha kutoka South Africa, atasikilizwa kweli?
Kocha mpya itakuwa amewaambia nakuja na msaidizi wangu.
 
Back
Top Bottom