Kuzunguka kote huko kwa kazi gani? Ni kwamba walikuwa na tamaa ya kocha, wakawahamasisha kwa nyakati tofauti hao makocha waziache timu zao, wakajikuta kweli wameziacha na wanasubiri ajira ya nafasi moja!Umedandia gari kwa mbele, pitia maelezo vizuri. Jamaa kasema kuwa kocha mkuu hatodumu na kisha huyo Moalin ndiye atachukua nafasi yake.
Ni kweli unahitajika umakini Kama ulivyokatumika kumleta pa omar jobeYanga ni watu wa kukurupuka ukiangalia mfano wa okrah na baleke unajua kabisa yanga kuna watu hawapo makini!
Duh aisee kweli mpira umevamiwaNabii yanga wamemjua baada ya Simba kukutana na El merekh, sio Nabii hata Azizi k, Pacome, Yao , wote yanga wamewakua baada ya Simba kukutana na Asec hapo sijawataja wachezaji waliotoka As Vita na wale waliokuwa Simba
Weeeekundu la wapi magomeni au msimbazi?Hakika Mwiko lazima uwe nyuma
YOUNG SOMALI AFRICAN SPORTS CLUB (YANGA)🤣🤣🤣🤣
Aingie mara ngapi sasa? Huyo mzoefu mbna. LolMkurugenzi wa ufundi bongo?!!! Namuonea huruma sana msomali kaingia mkenge
Kocha mpya itakuwa amewaambia nakuja na msaidizi wangu.Hapo sio kocha tena huyo, ingawa aliposhawishiwa alielezwa kuwa atakuja kuwa kocha. Yanga wamelazimika kumtengenezea nafasi hewa kwa kuwa walishamuachisha kazi kule KMC, na kurudi haiwezekani tena hivi karibuni. Sasa yaani Moalin awe boss wa kocha kutoka South Africa, atasikilizwa kweli?