Kikokotoo kilivyomtenda mstaafu Jeshi la Magereza

Kikokotoo kilivyomtenda mstaafu Jeshi la Magereza

Ni rahisi sana kulisemea jambo hasa kama hujui uhalisia wake.
Mkuu,hivi unadhani huyu hakuwa anawekeza??au hana kabisa savings kama wewe??
Unafikiri kama wakiruhusiwa waandamane,waliowekeza na kuweka akiba hawataingia barabarani kwa sababu wana akiba zao???

Embu tafuta mwalimu,mwanajeshi,au afisa mwingine wa serkali aliyefanya kazi miaka 30 tujue mshahara wake wa mwisho,na alicholipwa kama kiinua mgongo,utamuelewa huyu jamaa.

Kujiwekea akiba,kuwa na miradi,sio tiketi ya mtumishi kutapeliwa na serikali aliyoitumikia kwa moyo wote.mbaya zaidi CGP naye anajibu kama kiazi.
Wizara ya MN imejaza mabumunda sana.
Huyo jamaa ana madeni , ukweli usemwe huko majeshini hakuna mishahara ya kiivyo wana stress na hasira kinoma ..Wengi wanastaafu na vimeo vya mikopo .

Miaka yote pesa alikuwa anahudumia familia , familia sio mchezo kama una watato zaidi ya watatu jiandae.
 
Mm sio mtumishi wa serikali, ila kama una familia inakutegemea, na labda ndugh, kwa mshahara wa 700k utasave nn hapo? Hebu kuwa realistic mzee, haya ni maisha ya watu na viumbe wanaomtegemea
Familia ndio inaumiza unajikuta pesa yote pata potea , wanaokopa kukimbilia kujenga ni shinikizo la familia.. Ukweli ambao hausemwi usikimbilie familia na kuwa na watoto weng.
 
Huyo jamaa ana madeni , ukweli usemwe huko majeshini hakuna mishahara ya kiivyo wana stress na hasira kinoma ..Wengi wanastaafu na vimeo vya mikopo .

Miaka yote pesa alikuwa anahudumia familia , familia sio mchezo kama una watato zaidi ya watatu jiandae.
Familia sio ya kwako iliyotoka kiunoni kwako pekee,kuna watoto wa marehem kaka,dada,mdogo wako,na ndugu wengine,tunajitahidi kuhakikisha nao wanakuwa watu mwisho wa siku,wakati mwingine changamoto ya maradhi kwa mhusika,mwenzi au hata mwanafamilia inamfanya mtumishi huyu kuishi maisha yenye msoto sana na kushindwa kujitetea ktk chnagamoto za kipato hafifu.

Hawa wengine wanaojibu hivi ndio unakuta ni ndugu wa nape,mpwa wa samia,shemeji wa januari,mdogo wa tulia.
Hawajui kabisa aina ya maisha watu wanayolalamikia,wao kwa mwezi kuwekewa milion 2 za matumizi tu ktk acc.
 
Familia sio ya kwako iliyotoka kiunoni kwako pekee,kuna watoto wa marehem kaka,dada,mdogo wako,na ndugu wengine,tunajitahidi kuhakikisha nao wanakuwa watu mwisho wa siku,wakati mwingine changamoto ya maradhi kwa mhusika,mwenzi au hata mwanafamilia inamfanya mtumishi huyu kuishi maisha yenye msoto sana na kushindwa kujitetea ktk chnagamoto za kipato hafifu.

Hawa wengine wanaojibu hivi ndio unakuta ni ndugu wa nape,mpwa wa samia,shemeji wa januari,mdogo wa tulia.
Hawajui kabisa aina ya maisha watu wanayolalamikia,wao kwa mwezi kuwekewa milion 2 za matumizi tu ktk acc.
😀 😀Wnaume tunaleta familia mazima hatujali kuvaa kwa miaka hata 30 na zaidi ukiwa na nguvu ila huwezi kupata wa kukuthamini , ukute sasa watoto nao hawana kazi mpaka unastaafu uliwekeza pesa kibao.
 
hao umbwa waonege hivyohivyo wanakomaa kula rushwa wakiwa kwenye uniforms zao wakitolewa huko kwenye vikazi vya laki nne nne kwa mwezi wanakuwa wapoleee sasa huyu angekua baunsa wa ukumbi flani wa starehe si angekuwa na afadhali ya maisha kuliko huko kwenye majeshi uchwara, sasa mimi najiuliza vihela kiduchu wanavyopata wanaona ugumu gani kutumia silaha wanazobeba kufanya kweli? daaadekii wanakuja kulalama tu kuomba public sympathy wapigwe tu maana wamejitakia.
 
😀 😀Wnaume tunaleta familia mazima hatujali kuvaa kwa miaka hata 30 na zaidi ukiwa na nguvu ila huwezi kupata wa kukuthamini , ukute sasa watoto nao hawana kazi mpaka unastaafu uliwekeza pesa kibao.
Ukimsilikiza nape au madelu anavyoongea bungeni,unajiskia kuzimia.

Uviccm hawajui hili hustle wao wamekuwa na maisha ya broiler toka wameweza kwenda wenyewe chooni.
 
"Najiona mfungwa mtarajiwa, kwa sababu Sh10 milioni zilizobakia kuna baadhi ya watu niliwakopa muda wote wanazengeazengea nyumbani kwangu wakihitaji niwape chao,” anasema.
Maneno mazito sana hayaaa komandoo mstaafu.....
 
Vijana msitegemee au kungoja hizo hela za pension na kuzipangia bajeti
Ona sasa hawa ndio huwa wanajitia kitanzi
Miaka 33 kazini anawaza pension imtoe
Vijana akiba ya miaka 33 ni hela nyingi unaweza kujiwekea kama una mipango na kuwaza kuwa je nikistaafu nitakuwa na nini?

Mimi msaafu mtarajiwa ila nina savings ziko sehemu 3 na pension 2 shauri zenu mtanikumbuka

Kusema ni rahisi kuliko matendo, imagine basic salary amesema TZS 745,000 kama sijakosea, hapo take home yaweza kuwa laki 5 na ushee. Hebu tufanye ana familia ya watoto watatu tuu na mkewe tusaidie kuweka matumizi yake kuanzia kodi ya nyumba, chakula, matibabu, elimu, bili mbaliimbali nk ...nina uhakika hiyo pesa hata nusu mwezi haikatizi anaanza madeni dukani, gengeni nk. Si umemsikia hapo kachukua mkopo wa 10M ili akamilishe nyumba yake??
 
Mkuu nisamehe bure, sikuwa na maana ya kuwabeza hao watumishi wa serikali, ila system ya serikali kuhusu pension ni mbovu sana na ni laana tu
Unakuta hela zinachukuliwa na kufanyiwa miradi isiyokuwa na tija na je kwanini hela za watumishi zitumike badala ya kuweka na mtu apewe stahiki zake pindi anapohitaji?

Wizi mwingi sana kila sekta na watu ni wapole mno
Naelewa madhila ya wastaafu mkuu ila nilikuwa nashauri tu vijana wajiwekee akiba pia

Sio kwa ubaya wala nia mbaya bali ni ushauri tu
Kama serikali inawafanyia watu kwa hela zao halali je ni ngapi zinapigwa huko

Unachosema ni sahihi, hata majuzi bungeni Mhe Easter Bulaya amelizungumza sana hili suala la serikali kwanza inadaiwa fedha nyingi na hii mifuko, lakini pili ni uwekezaji mbaya wa hizi fedha. Ametoa mfano uwekezaji uliofanywa kiwanda cha sukari Mbigiri ambao umeleta hasara tuu.

Tatizo kubwa mimi naona ni wafanyakazi wenyewe kutolivalia njuga suala hili kwa kuliishikia bango mwanzo mwisho, badala yake wamewaachia wanasiasa wawasemee wakati tunajua wanasiasa hawaguswi na hii kitu. Ndiyo maana juzi RC mmoja amesikika akiwakejeli wafanyakazi kwamba eti wanalalamikia kikokototoo wakati anatarajia kustaafu miaka 20 -30 ijayo daah. Ukisubiri mpaka ugongwe na nyoka siku ya kustaafu matokeo yake ndiyo kama huyu komandoo/FFU wa Magereza yaani unalalamika wakati maji tayari yamemwagika.
 
Unachosema ni sahihi, hata majuzi bungeni Mhe Easter Bulaya amelizungumza sana hili suala la serikali kwanza inadaiwa fedha nyingi na hii mifuko, lakini pili ni uwekezaji mbaya wa hizi fedha. Ametoa mfano uwekezaji uliofanywa kiwanda cha sukari Mbigiri ambao umeleta hasara tuu.

Tatizo kubwa mimi naona ni wafanyakazi wenyewe kutolivalia njuga suala hili kwa kuliishikia bango mwanzo mwisho, badala yake wamewaachia wanasiasa wawasemee wakati tunajua wanasiasa hawaguswi na hii kitu. Ndiyo maana juzi RC mmoja amesikika akiwakejeli wafanyakazi kwamba eti wanalalamikia kikokototoo wakati anatarajia kustaafu miaka 20 -30 ijayo daah. Ukisubiri mpaka ugongwe na nyoka siku ya kustaafu matokeo yake ndiyo kama huyu komandoo/FFU wa Magereza yaani unalalamika wakati maji tayari yamemwagika.
Mkuu inasikitisha sana kwa kweli
Halafu hizo hela unaweza kuambiwa zimepelekwa kufanya hiki huku 75% wameiba wao
Hawa watu hawana uchungu na wananchi ila likija suala la kufyekwa kodi na hela zao za uzeeni wanapiga haswa
Na kweli hawa washamba wanaojifanya tunaandamana nchi nzima mbona hawawatetei hawa wastaafu
Kweli unapewa robo ya hela zako tena huna pa kushtaki
Ila lazima waamke na kudai haki zao ndio maana unaona wengi wanaamua bora akalime au afungue kiduka
 
Familia ndio inaumiza unajikuta pesa yote pata potea , wanaokopa kukimbilia kujenga ni shinikizo la familia.. Ukweli ambao hausemwi usikimbilie familia na kuwa na watoto weng.
Umesema la maana kabisaaàa actually kwa mambo yanayokuja dunian kwa mtu ambaye hana familia na umri mdogo angepause kwanza
 
😂😂😂😂😂 sasa kaka toka tisini mpk 2023 mshahara ni laki7 daah kuna muda unasema umasikini tunautaka sisi kwel miaka 33 unalipwa laki saba aaahah mamaee
Tatizo wabonge salarÿ hiyohiyo ya lak7 ana watoto 3, shule english medium, anahudumia mke, wazaz, wakwe, na ndugu kuna nini tena hapo kama si kuupalilià kuumwagilia na kuuwekea mbolea umaskini
 
Vijana msitegemee au kungoja hizo hela za pension na kuzipangia bajeti
Ona sasa hawa ndio huwa wanajitia kitanzi
Miaka 33 kazini anawaza pension imtoe
Vijana akiba ya miaka 33 ni hela nyingi unaweza kujiwekea kama una mipango na kuwaza kuwa je nikistaafu nitakuwa na nini?

Mimi msaafu mtarajiwa ila nina savings ziko sehemu 3 na pension 2 shauri zenu mtanikumbuka
Kwa mshahara upi uweke akiba ujenge na usomeshe watoto?
 
Issue ni kutoa taarifa kabla na zinazoeleweka ili mtu ajue atapata nini na vipi kuanzia mwanzo na sio kubadilisha badilisha mambo katikati; kuna nchi hazitoi lumpsum lakini kama ulitoa ahadi kwa mtu wakati anaanza kazi atapata kiasi fulani au wenzake walipata kiasi fulani alafu kiasi kikawa pungufu lazima patachimbika..., ila kila siku nasema bora hawa....

 
Hii mifuko ya pension ilitakiwa iwe inatumika kuwekeza kama mitaji itengeneze faida ili pesa za hawa pensioners ziongezeke thamani.

Umekatwa labda milioni 100 kwa miaka 33 ikiwekezwa kwa faida inaweza kuwa million 400 au 500.

Sasa milioni 500 wakikupa hata million 400 unakuwa vibaya mzee.

Shida hii inchi inaendeshwa na majitu yenye tamaa na manyakuzi kama mapaka ndio maana pesa haziendi mahala kwenye tija.
Imekaa poa hii shida kusikilizwa
 
Back
Top Bottom