kikombe atumiacho babu Alikiokota nyumbani kwake!!!!!!!

kikombe atumiacho babu Alikiokota nyumbani kwake!!!!!!!

Miss Judith Kwanza nakupa pole kila unacho dadisi kuhusu Babu kila mtu anakupinga na kukuona MJINGA Tuliokunywa tumepona Kama wewe huumwi shida yako nini?
mkuu rekebisha hapo... ni baadhi tu wanampinga! baadhi wanamuunga mkono... baadhi hawasemi chochote wanasubiri matokeo!

Ninachoogopa isijekuwa "babu" anatengeneza ma-zombie wake miaka kadhaa ijayo! Kwa kweli ikiwa babu amekimbiliwa hivi ole wao hao waliokuwa na maradhi yao akawaambia "chaguo la Mungu wake" ni yule wasiempenda ITAKUWAJE!??
 
Umefunuliwa hivyo na Mungu au ni ujuzi wako tu?
Unataka na yeye aseme AMEOTESHWA NA MUNGU!?

Tumepewa AKILI, ili TUFIKIRI na KUAMUA...

Tumepewa MACHO ili KUONA....

Tumeumbiwa JUA ili LIMULIKE...

Tumepewa MAAMUZI, ili TUCHAGUE...

KUMSHUKURU MUUMBA ama KUMKUFURU.. basi!
 
Je, mmegundua sababu za babu kuzuiwa kutolea tiba zaka nje ya Samunge? Ni kwa sababu kuna wengine weengi wa aina yake wangefuata, hivyo kuwa confined kwenye maeneo yao tu. Waliopo mpaka sasa:

1. Loliondo
2. Mbeya
3. Tabora
4. Mtwara
5. Magu
6. Mwanza
7. Morogoro
8. Pwani
9. ..........

Still more to come. Just wait and see. Yule wa Tabora amekuwa endorsed na maaskofu kiaina kama mzee wa Samunge. Wa Morogoro kuna kila dalili maimamu wamemkubali kwani sehemu ya mapato yake yanapelekwa misikitini.

Mbeya nako kaibuka mchungaji mwingine ambaye ameoteshwa dawa na kwamba yeye ni tawi la babu. People open your eyes and see.

Mathew 7 : 13-14
"Enter by the narrow gate. For the gate is wide and the way is easy that leads to destruction, and those who enter by it are many.
For the gate is narrow and the way is hard that leads to life, and those who find it are few."
 
i love those people my dear,

naumia kuona wanakimbilia kikombe kama vipofu bila kujua ni roho gani wanayoikimbilia
sasa dada utajuaje kama wakimbiliacho ni KAZI YA MIKONO YA MUNGU? ama NI KAZI YA SHETANI?
 
i love those people my dear,

naumia kuona wanakimbilia kikombe kama vipofu bila kujua ni roho gani wanayoikimbilia

Is that So? How do you know that God loves them even more than you and that is why HE has showed them the Way to Loliondo??
Accidentaly have you read today's Guardian on Sunday? There is a certain satire writer by the name of Chesi Mpilipili who is asking the same question:
Why is it that everyody seems to believe that anyone claiming to have a healing power is a fake?
Why, if we read the same Holy Books there still are the likes of Miss Judy who THINK they know more than everbody else to the extent of making themselves self-righteous, hollier-than-thou guardian of other Believers against faith healers the likes of Babu wa Loliondo?
What makes the likes of Miss Judy think that they know a faith healer Impostor when they see one...and warns us against him/her??
Where in the Bible it is written tha Faith Healers ended with the last Chapter of the Bible and anyone else coming foward in the 21st Century is but a fake??

Umesema Unawapenda sana wanaomiminika kwa Babu ndio maana you are getting so worked up about Babu and his Kikombe, isnt it? Do you know that adage about 'If you really LOVE somebody let him/her Go"??
Well, need I say it.........?
 
Unataka na yeye aseme AMEOTESHWA NA MUNGU!?

Tumepewa AKILI, ili TUFIKIRI na KUAMUA...

Tumepewa MACHO ili KUONA....

Tumeumbiwa JUA ili LIMULIKE...

Tumepewa MAAMUZI, ili TUCHAGUE...

KUMSHUKURU MUUMBA ama KUMKUFURU.. basi!

Hapana, kwa mazingira ya tiba hii ya babu, kama ni kwa akili na ujuzi wetu tu, tunahitaji hadhari kubwa sana abla ya kuthubutu kusema/ama kuashiria kuwa ametumwa na shetani au kufikia kuzuia watu wasiende kwake. Tunahitaji neema na uongozi ya Mungu kufanya maamuzi. Hivi hivi tu ni rahisi sana kufanya maamuzi/kufikia conclusions ambazo zinakuwa influenced zaidi na maslahi yetu binafsi ama ya taasisi zetu.

Kupatikana kwa tiba ya ukimwi (kama imepatikana kama Babu anavyodai) tena kwa single dozi ya shilingi mia tano ni revolution kubwa kubwa sana na obviously inagusa maslahi ya wengi positively na negatively. Binafsi nikiona mtu povu linamtoka kukazania eti babu katumwa na shetani....inanipa shida kidogo! Najiuliza huyo shetani ana nguvu kubwa kumshinda Mungu?
 
sasa dada utajuaje kama wakimbiliacho ni KAZI YA MIKONO YA MUNGU? ama NI KAZI YA SHETANI?

Soma Isaiah 8: 19, 20 (19And when they shall say unto you, Seek unto them that have familiar spirits, and unto wizards that peep, and that mutter: should not a people seek unto their God? for the living to the dead? 20To the law and to the testimony: if they speak not according to this word, it is because there is no light in them)
Jitaidi uelewe maana ya Fungu la 20, otherwise watakuja wengi sana kama Babu, na wapime kwa fungu hilo.
 
tatizo ni pale tunapojaribu kuoanisha uelewa wetu wa biblia na jinsi Mungu anavyotenda kazi zake. tusikariri. Mungu anaweza kufanya kazi yake kwa namna yoyote atakavyo, si lazima atumie njia ile ile iliyotumika wakati wa Musa au Yesu. He is not a predictable God, get it.
 
Mimi naona jambo hili lina mitazamo mchanganyiko wa masuala ya kimwili na ya kiroho.
Imekuwa ni mazoea kuona watu wakinywa dawa kwenye kikombe. Sikumbuki siku gani niliona picha ya babu na mtu mmoja mwenye asili ya ki asia. Katika hiyo picha kulikuwa na caption inayosema "Babu akimwombea mgonjwa". Nikajifunza kumbe siyo kikombe peke yake na kuna maombezi pia. Lakini kwa kuwa masuala ya imani ni ya rohoni, dawa na maombezi bado kwangu siwezi kutamka kama ni nguvu ya Mungu ama shetani inatumika. Babu anakiri kwamba Mungu kampa hiyo huduma. Bado kukiri huko kunachukuliwa na mitazamo tofauti kulingana na imani za watu mbali mbali ambao ni Wakristo.
Ndipo utaona watu wengine wanakaa kimya kwa hofu ya kumkosea Mungu. Pengine mim naomba wale waliokwisha kwenda Loliondo, watumegee yanayojili huko kwamba babu anafanya fanya mambo yapi labda.

Kuokotwa kwa kikombe is not an issue kwa Mkristo. Elisha na wanafunzi katika mto Jordan, shoka la kuazima lilipozama, walitumia mti shoka likaelea. Wanafunzi wa Yesu walipokosa hela ya kulipa kodi ya Kaizari, walikwenda kuvua samaki ndani ya tumbo la samaki wakakuta hela wakalipa kodi. Sijui kama fimbo ya Musa alikuwa kaiipata wapi hadi ikatumika katika kufanya maajabu mengi vile. Pengine wajuzi mnisaidie.

Nisiwachoshe. Ninachoona mimi ni vigumu kujudge uwepo wa Mungu katika huduma kwa kuangalia source ya nyenzo inayotumika kwa kuwa Mungu amekuwa akitumia vitu mbali mbali kufanikisha malengo yake na mara nyingi vikiwa vitu na watu dhaifu sana katika macho ya binadamu. Hivyo tuendelee kumwomba Mungu aponye taifa letu.

Kuhusu Babu wa Loliondo, nashauri kwamba tusinajisike kwa jambo hili. Wanaoenda kupata tiba huko, waende kama vile wanavyokwenda ama walivyohangaika kutafuta tiba mahospitalini na wengine kwenye dawa za wachina, wakorea n.k ambazo nazo ni miti shamba. Lakini tuwakumbushe kwamba "Kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu hivyo wanapaswa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu hata kama maradhi yote yatatibika".

Nawaomba wahubiri endeleeni kuhubiri habari ya toba, msamaha wa dhambi na ufufuo wa wafu, Yesu Yu karibu.

Sasa hivi nimepata taarifa kua mwingine kaibuka Iringa - Makambako. Yeye anachoma sindano kwa namna ya tofauti na tulivyozoea!.

Tumwacheni babu kama vile tusivyoingilia tiba zinginezo lakini tuhubirini injili ya Yesu Kristo tukijua tutato hesabu zetu mbele za Mungu.

Nawasilisha
 
haya mambo ya babu haya kuna familia jana imezika mama yao mzazi,alikuwa siku zote anaumwa sukari na alikuwa mzima wa afya ni il tu kuna kipindi inashuka,fuata mkumbo kaenda kunywa kikombe kama wiki 2 zilizopita na juzi usiku kafa ghafla chumbani kwake nafikiri mpaka yakishakukuta ndio utaamini babu ni upuuzio tu wa shetani
 
Unajua Shost,
Ndiyo maana nikasema, tuyaache kama vile watu wanvyokwenda kutafuta tiba katika mahospital na kwingineko. Kwa kuwa hata katika tiba za kawaida wapo wanaopona na wapo wasiopona. Pengine tungepata shuhuda pia za watu wanaofariki ama kuzidiwa ghafla baada ya kupata dawa ya babu, tusikie pia wale wanaopona, pia report ya wataalam ambao wamekuwa waki track sampuli za wagonjwa kabla na baada ya kutoka kwa babu. Angalau tutapata mwelekeo wa tiba hii katika mwili wa binadamu. Lakini bado hii haitoshi kutupa hitimisho kwamba katumwa na shetani ama Mungu. Suala la Mungu linanamna yake tofauti sana na haliwezi kupimwa kwa vipimo vya kibidanamu. Sie tupime tu uwezo wa dawa hiyo katika kuponya ama kuangamiza.
 
haya mambo ya babu haya kuna familia jana imezika mama yao mzazi,alikuwa siku zote anaumwa sukari na alikuwa mzima wa afya ni il tu kuna kipindi inashuka,fuata mkumbo kaenda kunywa kikombe kama wiki 2 zilizopita na juzi usiku kafa ghafla chumbani kwake nafikiri mpaka yakishakukuta ndio utaamini babu ni upuuzio tu wa shetani

Unachekesha. Babu hajasema anywaye kikombe chake hafi. Fuata kikombe upate nafuu ya maradhi yako lakini Kifo kipo pale pale. Kwa hiyo inapotokea mgonjwa akafariki siku moja tu baada ya kunywa kikombe cha Babu ni siku yake imefika na sio kwa sababu kanywa kikombe cha Babu. Babu hajaahidi Uzima wa Milele.

 
Bado mnatoka Povu na miss loliondo?
 
mkuu rekebisha hapo... ni baadhi tu wanampinga! baadhi wanamuunga mkono... baadhi hawasemi chochote wanasubiri matokeo!

Ninachoogopa isijekuwa "babu" anatengeneza ma-zombie wake miaka kadhaa ijayo! Kwa kweli ikiwa babu amekimbiliwa hivi ole wao hao waliokuwa na maradhi yao akawaambia "chaguo la Mungu wake" ni yule wasiempenda ITAKUWAJE!??

Unataka na yeye aseme AMEOTESHWA NA MUNGU!?

Tumepewa AKILI, ili TUFIKIRI na KUAMUA...

Tumepewa MACHO ili KUONA....

Tumeumbiwa JUA ili LIMULIKE...

Tumepewa MAAMUZI, ili TUCHAGUE...

KUMSHUKURU MUUMBA ama KUMKUFURU.. basi!

nina neno matano tu kwako kuwa "asante sana na ubarikiwe sana"
 
Hapana, kwa mazingira ya tiba hii ya babu, kama ni kwa akili na ujuzi wetu tu, tunahitaji hadhari kubwa sana abla ya kuthubutu kusema/ama kuashiria kuwa ametumwa na shetani au kufikia kuzuia watu wasiende kwake. Tunahitaji neema na uongozi ya Mungu kufanya maamuzi. Hivi hivi tu ni rahisi sana kufanya maamuzi/kufikia conclusions ambazo zinakuwa influenced zaidi na maslahi yetu binafsi ama ya taasisi zetu.

Kupatikana kwa tiba ya ukimwi (kama imepatikana kama Babu anavyodai) tena kwa single dozi ya shilingi mia tano ni revolution kubwa kubwa sana na obviously inagusa maslahi ya wengi positively na negatively. Binafsi nikiona mtu povu linamtoka kukazania eti babu katumwa na shetani....inanipa shida kidogo! Najiuliza huyo shetani ana nguvu kubwa kumshinda Mungu?
mkuu!! Shetani amepata kuponya! amepata kufufua! amepata kutenda miujiza mingi sana! Tazama wakati wa Mussa na Firauni pata picha... (nami simhukumu babu) ila kuna mambo mengi ya kujiuliza hapo! Je ni Mungu huyuhuyu Muumba au ni ile miungu ya mababu zetu? kwa sababu Samunge!? miundo mbinu mibaya, watu wanapata shida... unakwenda kupona kisukari unakufa kwa homa ya matumbo na kipindupindu au Mungu huyo anahitaji WAHANGA?
 
mimi ningekuwa miss judith ningeachana na habari za babu kwasababu kama ambavyo watu hawawezi kunibadilisha imani yangu maana nina msimamo mkali na ninachoamini ni sahihi ndivyo hivyo hivyo ambavyo mimi siwezi kubadilisha imani za watu.
 
Oh Yes ... nothing is simple here ..
With all this we are made to think hader .... we are made to contemplate!!

We are made to recheck our faith ...and the love of our nation .. and our Leaders!!
...this is good ..dont you think so!!?

Science is being tested...DR and the medics ...all are in weighing machine...isnt this amaizing!!?
 
kusoma habari za babu na hasa from miss judith is a waste of time:disapointed:
 
Back
Top Bottom