Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
Je, mmegundua sababu za babu kuzuiwa kutolea tiba zaka nje ya Samunge? Ni kwa sababu kuna wengine weengi wa aina yake wangefuata, hivyo kuwa confined kwenye maeneo yao tu. Waliopo mpaka sasa:
1. Loliondo
2. Mbeya
3. Tabora
4. Mtwara
5. Magu
6. Mwanza
7. Morogoro
8. Pwani
9. ..........
Still more to come. Just wait and see. Yule wa Tabora amekuwa endorsed na maaskofu kiaina kama mzee wa Samunge. Wa Morogoro kuna kila dalili maimamu wamemkubali kwani sehemu ya mapato yake yanapelekwa misikitini.
Mbeya nako kaibuka mchungaji mwingine ambaye ameoteshwa dawa na kwamba yeye ni tawi la babu. People open your eyes and see.
Mathew 7 : 13-14
"Enter by the narrow gate. For the gate is wide and the way is easy that leads to destruction, and those who enter by it are many.
For the gate is narrow and the way is hard that leads to life, and those who find it are few."
Hivi mbeya si yule kijana aliyeoteshwa na marehemu mama yake, ambaye alikuwa ni mganga?
SWALI LA KUJIULIZA KWAMBA HAO WATU WALIOIBUKAA MIKOA MINGINE WALIKUWA WAPI SIKU ZOTE? Kwangu mimi naona ni utapeli ambao unakuja kwa lengo la kutengeneza mazingira yatakayoonyesha hata babu wa loliondo ni tapeli. Japokuwa babu wa loliondo ameanza kutibu agosti mwaka jana, hawa wengine wote wameoteshwa ndani ya wiki 3 zilizopita. Ni vizuri serikali ikawa makini katika kuthibitisha uponaji wa hao wagonjwa wanaopata vikombe ili kupata ukweli.