hapana ndugu tedo, leo nimejaribu wasiliana na dr waliosoma vyuo tofauti; Muhimbili-MUHAS kama hujasoma PCB hugusi MD, Bugando-CUHAS wapo waliosoma CBG wanasoma. vyuo vya africa kusini wanataka A level chemistry na Biology kusomea udaktari wa binadamu. hivyo PCB,CBN,CBA,CBG anachukuliwa.
sijawasiliana na mtu wa UDOM na KCMC.
asante kwa info. vigezo ninavyo. nilifanya masomo kumi O level, nilipata A na B kwa yote. A level nilipata C flat kwa CBG na pass ya GS.
ni habari nzuri kama necta wanaruhusu