Kikomo cha principle subjects kwa form 6 necta exams.

Huyo atakuwa ameingia kwa nnagumashi..


hapana ndugu tedo, leo nimejaribu wasiliana na dr waliosoma vyuo tofauti; Muhimbili-MUHAS kama hujasoma PCB hugusi MD, Bugando-CUHAS wapo waliosoma CBG wanasoma. vyuo vya africa kusini wanataka A level chemistry na Biology kusomea udaktari wa binadamu. hivyo PCB,CBN,CBA,CBG anachukuliwa.
sijawasiliana na mtu wa UDOM na KCMC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…