Kikomo cha principle subjects kwa form 6 necta exams.

Kikomo cha principle subjects kwa form 6 necta exams.

Huyo atakuwa ameingia kwa nnagumashi..


hapana ndugu tedo, leo nimejaribu wasiliana na dr waliosoma vyuo tofauti; Muhimbili-MUHAS kama hujasoma PCB hugusi MD, Bugando-CUHAS wapo waliosoma CBG wanasoma. vyuo vya africa kusini wanataka A level chemistry na Biology kusomea udaktari wa binadamu. hivyo PCB,CBN,CBA,CBG anachukuliwa.
sijawasiliana na mtu wa UDOM na KCMC.
 
Back
Top Bottom