Kikosi bora cha mwaka JF

Kikosi bora cha mwaka JF

Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...

Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3@Baba Swalehe
Beki 4@Bazazi
Beki 5@king Ngwaba.


namba 6@Da Vinci
namba 7@Controla
namba 8@Bujibuji
Namba9: Zero IQ
Namba 10@Troublemaker
Namba 11@Mlevi mmoja

pancho boy

Kweli mimi Bazazi naweza kuwemo ktk 11 Bora (1st Eleven) ya JF. Siwezi kukubishia maana sijui umetumia vigezo gani, lakini siamini kama nastahili heshima hiyo!

Pamoja na maoni yangu, hongera!

Bazazi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...

Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki 5 King Ngwaba


namba 6 Da vincci
namba 7 CONTROLA
namba 8: Bujibuji
Namba9: Zero IQ[/USER
Namba 10:[USER=294185]troublemaker
(
Namba 11 MLEVi Mmoja
Sub Hazard CFC
Nokia83
funzadume
Bitoz
Sesten Zakazaka

Benchi la ufundi..
Kocha mkuu _ Asprin
Kocha msaidizi_ Kiranga
kocha wa viungo Mwl.RCT
Kocha wa viungo 2. Don Clericuzio

Wasemaji wa team..
Matola
GuDume
Numbisa
Shadeeya

Kamati ya ufundi.. (ulozi)
Mshana Jr
Rakims

Wafadhili wa team.
Kiduku Lilo
Mikwara Ya Andunje

Kamati ya hamasa..
Shunie
Miss Natafuta
manengelo
Mishil
Depal
Sakayo

Mabaunsa wa team..
Castr
Pablo Blanco
Jon Stephano

Dokta wa team
Mwifwa

mweka hazina wa team.
Pascal Mayalla

Kitengo cha figisufisu bila ulozi.
MO11
joanah
Billie
Kichwa Kichafu
Viatu vya Samaki.

Wazee wabishi wa team (wapigaji)
FaizaFoxy
Scars



Unaruhusiwa Ongezea wewe ili tupate team Kali ya jf.. Ya mwaka

Nsije kuonekana napendelea..
Rik boy umemsahau kwenye hiyo list.
Yeye anatoa uzi bora wa mwaka kule MMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom