Kilikutana na Yanga ya 1993, Yanga Bora kabisa katika miaka ya 90 kikosi hicho Cha Simba kili kubali kufa 2-1. Magoli ya said mwamba na lile la Simba alifunga Chumila.
Ni kweli mkuu kwenye mpira kufungwa kawida kumbuka Brazil ilipigwa 7 -0Kilikutana na Yanga ya 1993, Yanga Bora kabisa katika miaka ya 90 kikosi hicho Cha Simba kili kubali kufa 2-1. Magoli ya said mwamba na lile la Simba alifunga Chumila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Said Swed Kusi alicheza namba 2 mzee wa kazi,Salum Sued Mkoba.Ila chama langu Simba Sc hawajawahi kuniangusha kwa kua na Makipa ngangari kwelikweliMimi nazani kiuhalisia ilitakiwa uanZe na kaseja na sio huyo mwameja kwa sababu kaseja alikuwa na performance mzuri uwanjani na mafanikio ya kufika mbali kwenye vikombe vingi
Pili kaseja alvyofika simba mwameja alitafta kazi nyingine
Alafu victor Coster alicheza kidogo sana unaweza mtaja kama kipaji kikibwa ila sio gwiji ,Gwiji wa hiyo position at given time ni PAWASA
Hivi said Swed si central defender alaf mdogo ake Salam ndio fullback?
Vipi kuhusu E,Gabriel
Changu ni hiki
Kaseja
Pawasa
Alphonce Modest
Said Swed
Gorge Masatu
Matola
Ulimboka
Bobani
Gabriel
Mogela
Nico nyagawa
Sub,Mwameja,Maftah ,Kiemba,Henry Joseph, Abdalah Juma
Formation 3--1-2--2--2
Ameshaoa[emoji2957]Pawasa alikuwa moto. Hivi yupo wapi siku hizi ?
Sijui kwanini siku hizi kumekua na umasikini wa kutupa wa Washambuliaji.Na ni dunia nzima hii naona.Acheni..zamani kuliko na strikers.
Kwenye kiungo hapo sioni sababu ya Hussein Amani Masha kukosekana! Afu jamaa alikuwa anajua kupiga penati balaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nazani kiuhalisia ilitakiwa uanZe na kaseja na sio huyo mwameja kwa sababu kaseja alikuwa na performance mzuri uwanjani na mafanikio ya kufika mbali kwenye vikombe vingi
Pili kaseja alvyofika simba mwameja alitafta kazi nyingine
Alafu victor Coster alicheza kidogo sana unaweza mtaja kama kipaji kikibwa ila sio gwiji ,Gwiji wa hiyo position at given time ni PAWASA
Hivi said Swed si central defender alaf mdogo ake Salam ndio fullback?
Vipi kuhusu E,Gabriel
Changu ni hiki
Kaseja
Pawasa
Alphonce Modest
Said Swed
Gorge Masatu
Matola
Ulimboka
Bobani
Gabriel
Mogela
Nico nyagawa
Sub,Mwameja,Maftah ,Kiemba,Henry Joseph, Abdalah Juma
Formation 3--1-2--2--2
Yani umejaa inavyotakiwa nibasi tu kwakua nawapenda sana Athuman Abdallah china, na Dua Said mimi ningelazimisha wacheze tu.Mohamed Mwameja
Kasongo Athumani
Alfonce Modest
Deo Njohole
George Masatu
Idd Selemani
Stephen Mapunda
Yusuf Macho
Zamoyoni Mogela
Edward Chumila
Nteze John
Sent using Jamii Forums mobile app
1. MOHAMED MWAMEJA
2. SAID SUED
3. ALPHONCE MODEST
4. VICTOR COSTA NAMPOKA "NYUMBA"
5. GEORGE MAGERE MASATU
6. SELEMAN MATOLA
7. STEPHEN MAPUNDA "GARINCHA"
8. HUSSEIN MARSHA
9. ATHUMANI MACHUPPA
10. MADARAKA SELEMAN
11. NTEZE JOHN "LUNGU'
1. MOHAMED MWAMEJA
2. SAID SUED
3. ALPHONCE MODEST
4. VICTOR COSTA NAMPOKA "NYUMBA"
5. GEORGE MAGERE MASATU
6. SELEMAN MATOLA
7. STEPHEN MAPUNDA "GARINCHA"
8. HUSSEIN MARSHA
9. ATHUMANI MACHUPPA
10. MADARAKA SELEMAN
11. NTEZE JOHN "LUNGU'
Sijui kwanini siku hizi kumekua na umasikini wa kutupa wa Washambuliaji.Na ni dunia nzima hii naona.Acheni..zamani kuliko na strikers.
Hapana ,Msimu wa kwanza wa kaseja simba alimkuta MwamejaMwameja na Kaseja ni mbingu na Ardhi, walicheza vipindi tofauti, Mwameja kastaafu mwishoni mwa miaka ya 90 wakati Kaseja kasajiliwa mwanzoni mwa miaka ya 2000,kuna uzi humu Mwameja alitakiwa na timu ya Afrika Kusini FAT wakati huo wakamfanyia mizengwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ,Msimu wa kwanza wa kaseja simba alimkuta Mwameja
Kwamba kagere na kujitahidi kote haingii. Au mpaka afariki?