Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Hayupo hapo kilele chake mwaka wa 90 na Cameroon hata mwaka wa 92 penye euro umri ulikuwa umesogea alikuwa na 31 waqt wa mashindano ya ulaya.Umemjibu vyema kabisa mzee mwenzangu.Gary Lineker hakuchza kwenye kikosi hiki kinachojadiliwa.
Tony alikuwa beki bora kwa Uingereza, kwa wakati huoTony Adams pia alikua wakawaida. Southgeat alikua better player. Peace na Platt ukizungumzia vipaji kwa dunia kweli wakawaida, lakini kwa England huwezi kusema wakawaida.
Alikua very overrated. Ubora wamagazetini si uwanjani.Tony alikuwa beki bora kwa Uingereza, kwa wakati huo
90 ipi unazungumzia? 1990 au 1996? Kwangu mimi three lions ya 1990 ndio bora ingawa haikubeba taji lolote.England ya 90, itabakia kua bora kuliko zote. Ila Nakubali Shearer na Sheringham na Mcmanaman vipaji vao vikubwa.
Sheringham alikua Class ya aina yake very joyful kumtizama. Best England No 10.
Usimlinganishe tery na watu wa ajabuAlikua very overrated. Ubora wamagazetini si uwanjani.
Kama tulivokua tukiambiwa Terry beki bora Premier wakati kuna Akina Vidic na Carvalho.
Ni kweli kulikuwa na figisu. Mwamuzi alitoa penalt 3. 1 kwa cameroon na mbili kwa england. Kumbuka england walianza kufunga , cameron wakasawazisha na kuongeza. Mpaka dk ya 80 waingereza walikuwa nyuma kwa 2-1. Dk 1o za mwisho england wakapewa penalt mbili tena dhahiri shahiri zikiwa soft sana. Lineker akafunga zote na mpira kwisha kwa 3-2. England akisonga mbeleAfadhali wewe ulishuhudia live.
Naomba unifahamishe hivi ni kweli kuwa Cameroon walionewa na mwamuzi mpaka kutolewa na England?
Gary Lineker nae ana rekodi za upekee, Ni miongoni mwa wachezaji wachache sana ambao hawajawahi kupewa Kadi ya njano wala Nyekundu.Hayupo hapo kilele chake mwaka wa 90 na Cameroon hata mwaka wa 92 penye euro umri ulikuwa umesogea alikuwa na 31 waqt wa mashindano ya ulaya.Umemjibu vyema kabisa mzee mwenzangu.
Uko sahihi mkuu. Tony Adams alikuwa ni miongoni mwa mabeki bora wa kati katika miaka ya 90.Tony alikuwa beki bora kwa Uingereza, kwa wakati huo
Mkuu, John Terry ulimuona katika ubora wake au umehadithiwa?Alikua very overrated. Ubora wamagazetini si uwanjani.
Kama tulivokua tukiambiwa Terry beki bora Premier wakati kuna Akina Vidic na Carvalho.
Wakongwe kama wewe mnahitajika sana hapa jukwaani kuwapa darsa hawa vijana walioanza kufatilia mpira Euro 200890 ipi unazungumzia? 1990 au 1996? Kwangu mimi three lions ya 1990 ndio bora ingawa haikubeba taji lolote.
Baadhi ya wachezaji walikuwa
Peter Shilton, Poul Parker, Terry Butcher,Garry Liniker aliyeendesha juzi draw ya kombe la dunia mwakani kule Russia. Peter Berdslay, Chriss Waddle, John Burnes, David Platt Poul Gascogne na wengine.
Kwenye makundi walikuwa hivi
England
Holland
Ireland
Egpty.
Baada ya makundi walikutana kwenye mtoano na Cameroon ya Rodger Milla. Nusu fainali wakatandikwa na iliyokuwa Ujerumani Magharibi na kutupwa nje ya mashindano ambapo walikuja kuchapwa na wenyeji italia kwenye kumtafuta mshindi wa 3 na 4.
Hiko ndio kikosi bora kwangu.
Nakumbuka hizi game nilikuwa nikiangalia pale ccp nikiwa bado mtoto nikiongozana na baba yangu R.I.P Ndani ya land rover 109.
Dhuluma siku zote haifai, England ikaenda kukutana na Germany kwenye semi final, Gazza akamwaga chozi baada ya kupata kadi ya njano ambayo ingemfanya akose Fainali kama England wangeshinda. Wakatolewa na Mjerumani...Ni kweli kulikuwa na figisu. Mwamuzi alitoa penalt 3. 1 kwa cameroon na mbili kwa england. Kumbuka england walianza kufunga , cameron wakasawazisha na kuongeza. Mpaka dk ya 80 waingereza walikuwa nyuma kwa 2-1. Dk 1o za mwisho england wakapewa penalt mbili tena dhahiri shahiri zikiwa soft sana. Lineker akafunga zote na mpira kwisha kwa 3-2. England akisonga mbele
Acheni mambo yenu ya kiafrica ayo. Wapi Cameroon walionewa? Au kwakua zimotolewa penalti ndo wameonewa? Waafrica mtihani kweli.Ni kweli kulikuwa na figisu. Mwamuzi alitoa penalt 3. 1 kwa cameroon na mbili kwa england. Kumbuka england walianza kufunga , cameron wakasawazisha na kuongeza. Mpaka dk ya 80 waingereza walikuwa nyuma kwa 2-1. Dk 1o za mwisho england wakapewa penalt mbili tena dhahiri shahiri zikiwa soft sana. Lineker akafunga zote na mpira kwisha kwa 3-2. England akisonga mbele
Ya 1990 iliokua inafundishwa na Sir Bobby Robson, Peter Berdslay, Chriss Waddle, Poul Gascogne walikua wanaburudisha asa. Garry Liniker nae striker ya ukweli alikua.90 ipi unazungumzia? 1990 au 1996? Kwangu mimi three lions ya 1990 ndio bora ingawa haikubeba taji lolote.
Baadhi ya wachezaji walikuwa
Peter Shilton, Poul Parker, Terry Butcher,Garry Liniker aliyeendesha juzi draw ya kombe la dunia mwakani kule Russia. Peter Berdslay, Chriss Waddle, John Burnes, David Platt Poul Gascogne na wengine.
Kwenye makundi walikuwa hivi
England
Holland
Ireland
Egpty.
Baada ya makundi walikutana kwenye mtoano na Cameroon ya Rodger Milla. Nusu fainali wakatandikwa na iliyokuwa Ujerumani Magharibi na kutupwa nje ya mashindano ambapo walikuja kuchapwa na wenyeji italia kwenye kumtafuta mshindi wa 3 na 4.
Hiko ndio kikosi bora kwangu.
Nakumbuka hizi game nilikuwa nikiangalia pale ccp nikiwa bado mtoto nikiongozana na baba yangu R.I.P Ndani ya land rover 109.
Yaah king Kenny alikuwa mkufunzi pale khalafu nadhani pana mchezaji alikuja pale Darren peack baadae 1998 alikuwa anafunga kishungi kama Petit. Pia mjumuishe David batty
King Kenny ni Mscottish wewe!K
Yes King Kevin Daglish was great coach at that time. he is actually of one of top 10 greatest player to come from England.
Kumbe ndiyo maana na wao England 2010 South Africa kwa Madiba goli la Lampard lilikataliwa Kumbe ilikuwa inajilipa.Lakini wachambuzi wengi wa soka wanadai England ya 1966 iliyobeba kombe la dunia katika ardhi ya nyumbani ilibebwa mno mpaka wakachukua ndoo.
Rejea mechi ya Nusu Fainali iliyopangwa ifanyike Goodison Park jijini Liverpool kati ya England Vs Ureno ya Eusebio ilihamishwa masaa 24 ili ipigwe Wembley jijini London, ikawalazimu Ureno wasafiri tena kutoka Liverpool kurudi London na ikawagharimu kwa uchovu wa safari.
Ukija kwenye Fainali yenyewe England Vs Germany, mpaka leo inabaki kuwa mechi yenye utata mkubwa.
Matukio mawili makubwa yalitokea.
Mosi, England walifunga goli ambalo halikuvuka mstari na refa akalikubali na kuwarudisha mchezoni huku matokeo yakiwa ni 2-2.
Pili, kwenye extra time ikafanyika blanda ya karne, refa alikubali goli la England ambalo lilifungwa huku baadhi ya watazamaji wakiwa wameingia ndani ya Uwanja.
England akashinda 4-2 dhidi ya Ujerumani na kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa Kombe la Dunia huku wakitumia vyema usemi wa " Mcheza kwao hutunzwa "
Kutoka Maktaba.
Fafanua kauli mkuuUsimlinganishe tery na watu wa ajabu
Yap mkuuKumbe ndiyo maana na wao England 2010 South Africa kwa Madiba goli la Lampard lilikataliwa Kumbe ilikuwa inajilipa.