laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Neymar hana lolote akiona mechi ngumu hakuna uwezekano wa kushinda anazuga kuumia...Aliikimbia Ujerumani na Real Madrid ,wamuondoe tu hana msaada wowote kwa timuAaah hawawezi kumuondoa mkuu na ndiyo maana alivyopata majeruhi wakaamua wamchukue wakamtibu wenyewe
Sababu ni anahitajika sana kwenye kikosi cha brazil cha weldi kapu 2018 mkuu