Kikosi cha Ibenge alichofungwa Mauritania jana ni kilekile alichoshinda Mechi ya awali Tanzania?

Kikosi cha Ibenge alichofungwa Mauritania jana ni kilekile alichoshinda Mechi ya awali Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
 
Unachokifanya ni kutapatapa na kutafuta justfication juu ya ushindi wa yanga kuwa si halali lkn ww umefungwa mara 5 mfululizo. Kwann hutaki kukubali uwezo wa yanga kutwa nyuzi zisizo na kichwa wala miguu na vihabari vya kuokoteza kushoto na kulia kuwa mwanamichezo basi
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
Rubbish 🚮
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
Mechi yenyewe uliiangalia? Au umesimuliwa?
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
Ibenge ana kikosi kipana siyo kama kolo cha kauka ni kuvae by the way hangaikeni na mashindano yenu.
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
We si ulisema Ibenge kasema "pira lipigwe"? Mbona unashika ukuta tena?
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
Ibenge ni mhuni alisikika akisema atapumzisha wachezaji wake muhimu kwakuwa ashafuzu lakini jana kaweka full mkoko na katumia nguvu kubwa sana lakini gusa achia twende kwao imemuachia simanzi kwa kipigo!
 
Nadhani niliwatahadharisha mapema kuwa hakuna Watu Wanafiki na wepesi kufanya Biashara za Madili kama akina Bandeko Nangai (Wakongomani) na hatimaye mmekiona.

Pamoja na Uzito wangu wa sasa wa Kilo 83 nikiwa Golikipa siwezi Kufungwa Goli jepesi kama lile alilofungwa Kipa wa Timu ya Kocha Mnafiki Florent Ibenge, jana.

Hata hivyo ninachofurahi tu ni kwamba Mimi kwa 90% nimeshavuka Robo Fainali CAFCC sasa Shughuli wanayo Wao ili nani apite huko Kundini Kwao CAFCL ila ninachojua tu ni kwamba Moto utawaka.

Soma Pia: Full Time: AL Hilal 0-1 Young Africans | CAF Champions League | Stade de la Capitale | 12/1/2025

Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.

Ndiyo maana kila mara Klabu ya Simba SC ikitaka Kumuajiri kama Kocha huwa Wanasita kwani huenda Uongozi wa Simba SC nao umeshajua kuwa Ibenge ni Mnafiki / Ndumilakuwili Tukuka.
Ibenge naye kachanganyikiwa huko kama wewe. Licha ya kuweka full amepigwa na kitu kizito.
 
Mwambieni Kocha Ibenge kuwa huo Mgawo kutoka Kampuni ya Kitapeli Posta alioupata asisahau kumjengea hata Kakibanda tu Demu wake mwenye Jina linaoanzia na Herufi A wa Petrol Station moja Kubwa Mbagala.
Duh!....
 
Back
Top Bottom