Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Hao mabwana zenu mashababi watawindwa kwa mbinu zote, bora hawa wanawake makomando wanajitolea kupambana nao tofauti na nyie wake za mazombi kazi kupanua miguu na kuzaa kizazi cha nyoka cha mashababi, ila kila mkiwazaa wanauawa mpaka Yesu arudi.
Naona ume-panic mkuu
 
Huwa sielewi kwanini hawa jirani zetu wanapenda kusifia magaidi. Ni nini hicho 'special' ambacho magaidi wanacho, isipokuwa kutekeleza mauaji kwa kujitoa mhanga na kutega mabomu kisirisiri ili waue watoto, wazee, wajawazito na watu wasio na hatia? Inamaana kwamba kwenye akili zenu mnajua uwezo wa magaidi kivita huwa wanazaliwa nao? Au ndio huwa wanapata nguvu za ziada kwasababu wanafuga ndevu?
Mkuu watu wa dini ilee wasiotambua hata maandiko ya dini yao ndio wako bega kwa bega kusifia hao magaidi
 
Huu ni utani mazee,wanawake wakapambae na magaidi!
Wataweza kwa kiasi chao,lakini haina maana kwamba wao ni wakali kuriko vikosi vyote vinavyopambana na ugaidi!
Nenda kaangalia movie moja ,"lone survivor"jinsi hiyo filamu ilivyosimulia tukio la kweli ambalo,kikosi kizima cha NAVY SEAL kilivyosambaratishwa na magaidi wa Alqaida,akapona mmoja.
Kama NAVY SEAL,walitoka jasho,sembuse hao Dada zenu,
"Black Hawk down,unaikumbuka,makomandoo,wa USA,walismabaratishwa na Magaidi wa Somalia,
Acha kabisa kitu gaidi,hata ujue style zote za martial art,sio kigezo cha kuwa mkali
Hao sio kwamba hawawezi kupambana na magaidi bali hata kusimamia wafungwa wasitoroke hawawezi. Mwanamke hata awe na sura ngumu kama semenya lakini inapokuja swala umahiri kwenye uwanja wa vita lazima apwaye
 
Hao mabwana zenu mashababi watawindwa kwa mbinu zote, bora hawa wanawake makomando wanajitolea kupambana nao tofauti na nyie wake za mazombi kazi kupanua miguu na kuzaa kizazi cha nyoka cha mashababi, ila kila mkiwazaa wanauawa mpaka Yesu arudi.
Yesu si alirudi tena alishukia kenya? Au unazungumzia ujio wake wa mara ya tatu?
 
Wakenya sijawahi kuwachukulia serious hata siku moja
Sijui itakuaje wakipelekwa kwenye mission,wakiwa kwenye siku zao matumbo yanauma,uwezo wa kushika bunduki utatoka wapi?
 
Delta force wa USA walijidai kushuka kwa mbwembwe Magadishu, walitandikwa na Wasomali mpaka wakakimbia na waliokamatwa wakaliwa nyama live. Kama sikosei 1993.

USA hawana hamu ya kurudi Somalia mpaka leo. Sasa wanawatumia jeshi la Kenya kama askari wa kukodiwa. Fedha wanakula wazee juu huko vijana wanapambanishwa na Wasomali.

Mabwana zao wanatandikwa kila kukicha sasa wawapeleke hao wawanawake zao.

"Strategy" yao imesha buma kabla haijaanza.

Naona unatetea ugaidi, unaongea kwa mbwembwe sana.
 
Hao mabwana zenu mashababi watawindwa kwa mbinu zote, bora hawa wanawake makomando wanajitolea kupambana nao tofauti na nyie wake za mazombi kazi kupanua miguu na kuzaa kizazi cha nyoka cha mashababi, ila kila mkiwazaa wanauawa mpaka Yesu arudi.
Mabwana zenu wa US wamewaona wanaume wa Kenya hamfai ni heri wawafundishe wanawake zenu.

Na hao msije kusikia wameolewa na Al Shabab mkashangaa kwani na wao wanahitaji wanaume "mashababi".
 
Naona hnatetea ugaidi, unaongea kwa mbwembwe sana.
Gaidi kwako kwa mwengine ni mpigania uhuru.

Wakati Mandela anapigania uhuru wasiowatakia mema wa Afrika Kusini walimuita gaidi wakamhukumu kifungo cha maisha.

Wanatofauti ipi na wavamizi walioivamia Somalia na kusema Wasomali magaidi?
 
Mabwana zenu wa US wamewaona wanaume wa Kenya hamfai ni heri wawafundishe wanawake zenu.

Na hao msije kusikia wameolewa na Al Shabab mkashangaa kwani na wao wanahitaji wanaume "mashababi".

Dushe za mashababi zina nini kiasi cha kuzisifia humu, hazina utofauti na zetu.
 
Mlaumu mleta uzi kwa kuingiza Tz sehemu isiyohitajika.
Huwa sielewi kwanini hawa jirani zetu wanapenda kusifia magaidi. Ni nini hicho 'special' ambacho magaidi wanacho, isipokuwa kutekeleza mauaji kwa kujitoa mhanga na kutega mabomu kisirisiri ili waue watoto, wazee, wajawazito na watu wasio na hatia? Inamaana kwamba kwenye akili zenu mnajua uwezo wa magaidi kivita huwa wanazaliwa nao? Au ndio huwa wanapata nguvu za ziada kwasababu wanafuga ndevu?
 
Dushe za mashababi zina nini kiasi cha kuzisifia humu, hazina utofauti na zetu.
Tuwaulize nyie mnaofanyiziwa kila siku mabwana zenu wakaona hamfai sasa wanawapekea wake zenu.

Soma hiyooo...

The militant group has repeatedly threatened retaliatory attacks for as long as Kenyan forces remain in Somalia.

The group vowed to carry out attacks against Kenya, citing economic, political and social marginalisation and the discrimination of Muslims in Kenya, which causes widespread frustration and radical discourse to flourish.

 
Huwa sielewi kwanini hawa jirani zetu wanapenda kusifia magaidi. Ni nini hicho 'special' ambacho magaidi wanacho, isipokuwa kutekeleza mauaji kwa kujitoa mhanga na kutega mabomu kisirisiri ili waue watoto, wazee, wajawazito na watu wasio na hatia? Inamaana kwamba kwenye akili zenu mnajua uwezo wa magaidi kivita huwa wanazaliwa nao? Au ndio huwa wanapata nguvu za ziada kwasababu wanafuga ndevu?
Mabomu yenu yakirushwa na midege yenu kule Somalia huwa yanachagua Alshabab tu.

 
Tuwaulize nyie mnaofanyiziwa kila siku mabwana zenu wakaona hamfai sasa wanawapekea wake zenu.

Soma hiyooo...

The militant group has repeatedly threatened retaliatory attacks for as long as Kenyan forces remain in Somalia.

The group vowed to carry out attacks against Kenya, citing economic, political and social marginalisation and the discrimination of Muslims in Kenya, which causes widespread frustration and radical discourse to flourish.


Inabidi niulize mwenye uzoefu wa kuyapanulia mashababi miguu, hivi huwa yanavua mikanzu ndio yachomeke? Halafu yalivyo michafu na mindevu yao hiyo...
 
Inabidi niulize mwenye uzoefu wa kuyapanulia mashababi miguu, hivi huwa yanavua mikanzu ndio yachomeke? Halafu yalivyo michafu na mindevu yao hiyo...
Sijamona picha ya Yesu bila midevu na nyingi amevaa kanzu tena anafanana sana na Alshabab. Hawa Al Shabab watakuwa wanamuiga Yesu.

Nyie ndiye mnaopigwa na alshabab mwaka wa ngapi huu? Vipi? Inauma?

Sasa mnawapeleka wake zenu, kazi nzito?

 
Sijamona picha ya Yesu bila midevu na nyingi amevaa kanzu tena anafanana sana na Alshabab. Hawa Al Shabab watakuwa wanamuiga Yesu.

Nyie ndiye mnaopigwa na alshabab mwaka wa ngapi huu? Vipi? Inauma?

Sasa mnawapeleka wake zenu, kazi nzito?

Halafu yalivyo na njaa ya hicho kitu, huwa mnawapa wangapi wangapi, mmoja unachangiwa na mindevu wangapi....
 
Halafu yalivyo na njaa ya hicho kitu, huwa mnawapa wangapi wangapi, mmoja unachangiwa na mindevu wangapi....
Tuwaulize nyie mnaolala na kula nao.

Au umesahau kuwa Alshabab ni Wakenya pia? Soma hiyoo...

Somalis in Kenya are citizens and residents of Kenya who are of Somali ethnic descent. They have historically inhabited the North Eastern Province, previously called the Northern Frontier District, which was carved out of the Jubaland region of present-day southern Somalia during the colonial period. Following the civil war in Somalia that broke out in 1991, many Somalis sought asylum in the Somali-inhabited enclaves of Kenya. An entrepreneurial community, they established themselves in the business sector, particularly in the Nairobi suburb of Eastleigh.
 
Gaidi kwako kwa mwengine ni mpigania uhuru.

Wakati Mandela anapigania uhuru wasiowatakia mema wa Afrika Kusini walimuita gaidi wakamhukumu kifungo cha maisha.

Wanatofauti ipi na wavamizi walioivamia Somalia na kusema Wasomali magaidi?
Kwani Mandela nayeye alikuwa anawauwa watesi wake wakati anapigania Uhuru?
 
Tuwaulize nyie mnaolala na kula nao.

Au umesahau kuwa Alshabab ni Wakenya pia? Soma hiyoo...

Somalis in Kenya are citizens and residents of Kenya who are of Somali ethnic descent. They have historically inhabited the North Eastern Province, previously called the Northern Frontier District, which was carved out of the Jubaland region of present-day southern Somalia during the colonial period. Following the civil war in Somalia that broke out in 1991, many Somalis sought asylum in the Somali-inhabited enclaves of Kenya. An entrepreneurial community, they established themselves in the business sector, particularly in the Nairobi suburb of Eastleigh.

Dushe zao sijui hupaka nini humo hadi unawasifia hivyo, hehehe nawaza yalivyo michafu na mindevu....
 
Back
Top Bottom