Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Nani asie jua wakenya ni midomo mirefu
Wacha niongeze kiasi. Hawa wanadada wanaweza waondoa presidential Guard wa Magufuli kwa dakika mbii na kumleta Magu Hadi ikulu ya Nakuru ateremshe kikombe Cha chai na arejeshwe Dar na Wanadada Hawa warudi Kenya pole pole bila kuulizwa na yeyote.
 
Nani asie jua wakenya ni midomo mirefu
Ni kweli wako na kikosi Cha swat Cha kinadada? Tz hawana

Ni kweli GDP ya waKenya ni kubwa kuliko ya Watanzania? 61 vs 100

Ni kweli SGR ya Kenya inachapa kazi? Ya Tz hata Km 50 zimewashinda.

Umeme wa Kenya ni mwingi 2700MW? Wa Tanzagiza ni 1359.69Mw?

Population ya Kenya ni 45Million? Population ya Tanzagiza ni Millioni 60...mnaweza aje na umeme mdogo hivo?

Tudanganye Kaka Sasa kwa kukanusha hao hapo juu.
 
Ni kweli wako na kikosi Cha swat Cha kinadada? Tz hawana

Ni kweli GDP ya waKenya ni kubwa kuliko ya Watanzania? 61 vs 100

Ni kweli SGR ya Kenya inachapa kazi? Ya Tz hata Km 50 zimewashinda.

Umeme wa Kenya ni mwingi 2700MW? Wa Tanzagiza ni 1359.69Mw?

Population ya Kenya ni 45Million? Population ya Tanzagiza ni Millioni 60...mnaweza aje na umeme mdogo hivo?

Tudanganye Kaka Sasa kwa kukanusha hao hapo juu.
Mm sio mwanajeshi, kuhusu kuwa na kikosi ka hicho labda siku mtuchokoze mpate dawa nyie endeleeni kujisifia ujinga
GDP ya kwenye makaratasi isiyoweza hata kufanya mradi kwa Pesa zake hadi ukope
Umeme huko kwenu unapotea wiki meanwhile huku Sikumbuki mara ya mwisho kusikia umeme kuondoka ni lini na hata ukiondoka ni emergency ya matengenezo
Sgr kutushinda umesema ww hiyo, SGR inajengwa na inaendelea vizuri sema ni wivu na chuki by nature tena sio mitungi ya changaa ka hiyo yenu.
Kuhusu population wacha tuwe wengi maana tunazaliana kwa sababu tuna chakula cha kutosha na tunalima.
 
Mm sio mwanajeshi, kuhusu kuwa na kikosi ka hicho labda siku mtuchokoze mpate dawa nyie endeleeni kujisifia ujinga
GDP ya kwenye makaratasi isiyoweza hata kufanya mradi kwa Pesa zake hadi ukope
Umeme huko kwenu unapotea wiki meanwhile huku Sikumbuki mara ya mwisho kusikia umeme kuondoka ni lini na hata ukiondoka ni emergency ya matengenezo
Sgr kutushinda umesema ww hiyo, SGR inajengwa na inaendelea vizuri sema ni wivu na chuki by nature tena sio mitungi ya changaa ka hiyo yenu.
Kuhusu population wacha tuwe wengi maana tunazaliana kwa sababu tuna chakula cha kutosha na tunalima.
Tumewashinda kila kitu...Kama SGR haijakamilika no sawa kusa na zero.

Mnakula Kinyesi na umeme hauitoshi

GDP yenu ndogo si pia ni ya makaratasi

Umeme wetu ni 2700MW population ya 45million
Kwenu Tanzagiza 1359.69MW population ya 60million....Ni wapi umeme hauitoshi ukitumia akili badala ya makalio/hisia/emotions?
 
Nmekupa ukweli wote hapo juu ila kwa sababu mna ubishi by nature unataka ushindane na mm kwa upumbavu wako
Tumewashinda kila kitu...Kama SGR haijakamilika no sawa kusa na zero.

Mnakula Kinyesi na umeme hauitoshi

GDP yenu ndogo si pia ni ya makaratasi

Umeme wetu ni 2700MW population ya 45million
Kwenu Tanzagiza 1359.69MW population ya 60million....Ni wapi umeme hauitoshi ukitumia akili badala ya makalio/hisia/emotions?
 
Nmekupa ukweli wote hapo juu ila kwa sababu mna ubishi by nature unataka ushindane na mm kwa upumbavu wako
Nimekupa ukweli Sasa umeanza Kumwaga povu Kama kawaida yako. Sindano imekuingia Hadi kwa mfupa.
 
Delta force wa USA walijidai kushuka kwa mbwembwe Magadishu, walitandikwa na Wasomali mpaka wakakimbia na waliokamatwa wakaliwa nyama live. Kama sikosei 1993.

USA hawana hamu ya kurudi Somalia mpaka leo. Sasa wanawatumia jeshi la Kenya kama askari wa kukodiwa. Fedha wanakula wazee juu huko vijana wanapambanishwa na Wasomali.

Mabwana zao wanatandikwa kila kukicha sasa wawapeleke hao wawanawake zao.

"Strategy" yao imesha buma kabla haijaanza.
Hujasoma neno hapo limeandikwa Israel? Acha kupotosha basi... Marekani Somalia hana cha kuchukua zaidi aliwapotezea tu ila bado anawachapa
 
Huwa sielewi kwanini hawa jirani zetu wanapenda kusifia magaidi. Ni nini hicho 'special' ambacho magaidi wanacho, isipokuwa kutekeleza mauaji kwa kujitoa mhanga na kutega mabomu kisirisiri ili waue watoto, wazee, wajawazito na watu wasio na hatia? Inamaana kwamba kwenye akili zenu mnajua uwezo wa magaidi kivita huwa wanazaliwa nao? Au ndio huwa wanapata nguvu za ziada kwasababu wanafuga ndevu?
Ungesoma mwanzo wa mada ungeelewa kwanini waTz wamekua upande wa pili Mkuu.
 
Ungesoma mwanzo wa mada ungeelewa kwanini waTz wamekua upande wa pili Mkuu.
Nimesoma yote! Kwahivyo mlivoambiwa kwamba mtachapwa mkaona bora muunge mkono ugaidi? Kwa kuhalilisha unyama wao hivi majuzi wa kuwachinja chinja watanzania wenzenu ambao hawakuwa na hatia kule Mozambique? Damu ya ndugu zenu inamwagiki na nyie hapo mnakenua kenua??? Hebu nieleweshe huo mtizamo wenu kwamba magaidi ni marafiki wa Tz na maadui wa majirani zenu.
 
If you are law abiding citizen then you have nothing to fear, dear.
It is not about fear or being law abiding, it is an issue of freedom and liberty. A democracy like ours and others across the world have also produced tyrannical leaders at some point, who will have such an immense reach to the citizens and it diminishes trust between citizens and law enforcement . It ultimately leads to more police brutality and more police murders apart from instilling fear in the population, because it changes the attitude of the police from that of guardian to warrior. It has been well documented even in America where their police is already militarized.



 
Jamaa nadhani uko chimbo sasa wataacha kupiga cha mkono sababu wanaletewa wachumba wanasoma hii habar uku wanacheka
 
Right now it may seem okay because the special units are rarely used in Kenya(Which is good), but once they are stationed in every police station like in America (where they even enforce court orders), then it ultimately becomes destructive to freedom and liberty. I Prefer keeping the squads in their lane, then investing a lot in intelligence gathering and background checks, blacklisting immigration from countries that may be dangerous to us like somalia, yemen,eritrea etc.
 
Hujasoma neno hapo limeandikwa Israel? Acha kupotosha basi... Marekani Somalia hana cha kuchukua zaidi aliwapotezea tu ila bado anawachapa

Hivi kumbe huelewi Somalia kuna nini?

Soma Hiyooo...

Seismic surveys conducted by two British companies, Soma Oil & Gas and Spectrum Geo, suggest that Somalia has promising oil reserves along the Indian Ocean coast, between the cities of Garad and Kismayo. Total offshore deposits could be as high as 100 billion barrels.Feb 13, 2019
https://www.voanews.com › africa
Somalia Readies for Oil Exploration, Still Working on Petroleum Law | ...
 

Attachments

  • 1565554258276.png
    1565554258276.png
    355 bytes · Views: 10
Hivi kumbe huelewi Somalia kuna nini?

Soma Hiyooo...

Seismic surveys conducted by two British companies, Soma Oil & Gas and Spectrum Geo, suggest that Somalia has promising oil reserves along the Indian Ocean coast, between the cities of Garad and Kismayo. Total offshore deposits could be as high as 100 billion barrels.Feb 13, 2019
https://www.voanews.com › africa
Somalia Readies for Oil Exploration, Still Working on Petroleum Law | ...
Hiyo ni news ya karibuni but US alizamia Somalia early 90s..

Hizo tafiti hata Zanzibar washafanya hadi kutaka kuleta utengano
 
Hiyo ni news ya karibuni but US alizamia Somalia early 90s..

Hizo tafiti hata Zanzibar wadhafanya hadi kutaka kuleta utengano
Hayajaanza leo hayo, kabla hata utawala wa Siad Barre haujapinduliwa mambo yalikuwa wazi. Soma hiyoo...

Usikute hata mafuta wanayouza sasa hivi Kenya ni ya Somalia.

Huwa sikisii.
 
Hii thread ilikua haina haja hata ya kuitaja Tanzania..***** wallahi nimeamini wakenya bila Tanzania hawawezi kuishi aisee
 
Back
Top Bottom