Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Hicho kikosi kizuri kweli hadi nimetamani niwe gaidi [emoji16][emoji16][emoji16] Maniner tukiwashika hao hakuna kuwachapa risasi ni mwendo wa kuwapiga mbu.pu tu usiku kucha, tena naskia videm vya kikenya vina papuchi tamu[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Unaongea like tushawahi kutana mahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika watanzania kumi humkosi mmoja aliyepitia JKT, shauri yako

Hiyo JKT mnakokwenda kujifunza kutumia magobole, kuna siku niliona sehemu vijana waliopitia JKT wanaandamana kwa kukosa ajira, mjifunze na sisi ambao tunawapeleka vijana wetu NYS wakitoka huko wanajua kujitegemea sio kuanza kulia lia
 
Hivi Wakenya hamuwezi kuandika chochote bila kuitaja Tanzania. Hebu tafuteni uwezo wa kuwa na aridhi maana mtu moja ana nusu ya aridhi hamna hata mahali pa kulima.
Hebu wazeni mambo ya maendeleo acheni wivu wa kijinga jinga.
Nyambafuuuu
We umeona wapi mwanamke anunuliwe kitu chochote na mumewe akienda kuringisha kwa mashoga zake bila kumtaja mumewe alomnunulia??
Hawawezi kufanya chochote pasina kuwataja mabwana zao na usikute wakitutaja hadi makalio yanawawasha!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Mwingine pia huyu hafahamu JKT ni nini,
unavosema tujifunze kwenu hivi una akili kweli au ushalewa changaa [emoji23][emoji23][emoji23]
JKT wana mafunzo aina mbalimbali, ufundi aina mbalimbali,
Mfano JKT hutumika kwenye ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali
Hiyo JKT mnakokwenda kujifunza kutumia magobole, kuna siku niliona sehemu vijana waliopitia JKT wanaandamana kwa kukosa ajira, mjifunze na sisi ambao tunawapeleka vijana wetu NYS wakitoka huko wanajua kujitegemea sio kuanza kulia lia
 
Tanzania bado mna primitivity kuhusu wanawake. Bado mnawadharau wanawake, hamjui uwezo wao. Wacheni ushamba na taasubi za kiume. Dada hawa wanaeza kuwatandika akina redeemer mpaka wakajamba na kulia kama watoto
😅😅😅 Labda wanijambie kama yule mbunge aliefanya bunge liahirishwe ghafla, sijui mnafeli wapi kuitumia hiyo kama alternative approach kuwakabili shababi
 
Hawa watu wana fikra na dhana za karne iliyopita. Hizi comment zao zote za kilofa ni za kuwadhalalisha wanawake, na wanaona sifa. Nawaonea huruma sana wanawake wa Tz, siku za kuwawezesha wenzao huku Kenya ziliisha zamani. Wao wenyewe wanajiwezesha, sidhani kuna wanawake wenye confidence ukanda huu zaidi ya wanawake wa kikenya. Big up to the Kenyan women, popote walipo.
Kuna mahali nilisoma wanawake wa Kenya wanaapply make up kudistinguish gender tu na sio kuongeza urembo, kwenye suala la ukakamavu hilo wala sina ubishi, wamekomaa wameiva 😅😅😅
 
Mwingine pia huyu hafahamu JKT ni nini,
unavosema tujifunze kwenu hivi una akili kweli au ushalewa changaa [emoji23][emoji23][emoji23]
JKT wana mafunzo aina mbalimbali, ufundi aina mbalimbali,
Mfano JKT hutumika kwenye ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali

Muwaandae vijana wenu kupambana kimaisha sio kukimbia kimbia wakiimba kule JKT huku wamebeba magobole.

Ona wanavyoishia kuteseka https://mtanzania.co.tz/vijana-waliopata-mafunzo-jkt-waandamana-2/
 
Mwingine pia huyu hafahamu JKT ni nini,
unavosema tujifunze kwenu hivi una akili kweli au ushalewa changaa [emoji23][emoji23][emoji23]
JKT wana mafunzo aina mbalimbali, ufundi aina mbalimbali,
Mfano JKT hutumika kwenye ujenzi wa majengo mbalimbali ya serikali
Huyo haelewi JKT ina vitengo vingi vya uzalishaji kuanzia uvuvi mkubwa mpaka umiliki wa viwanda vingi vya bidhaa za kawaida bila kusahau civil companies.
 
Najua ulisoma comment za huo uzi but ubishi na upumbavu by nature
Hii hapa sio ya kitambo..
IMG_20190810_222009_260.JPG
 
Najua ulisoma comment za huo uzi but ubishi na upumbavu by nature View attachment 1177943

Suala sio mkataba wa JKT wala nini, ni ile tu kwamba wanatoka huko hawajui kujitegemea wanaanza kulialia wakitaka ajira, maana hamna cha maana wamefundishwa zaidi ya kubeba magobole.

Vijana wetu hawafundishwi kubeba magobole, wanapata mafunzo haswa ya kujitegemea kimaisha



 
Thanks for the correction. I have actually confirmed that the weapon of choice for Recce and RDU is the M16 rifle.The service weapon of RECCE is the high-performance 5.56mm caliber M16 assault rifle which is the United States military select-fire adaptation of the AR-15 rifle family. The rifle has been termed as among the best assault rifles used by most special forces and military across the globe . Though i still fear that our police are becoming more of warriors than guardians. I remember the police who used a baton when i was young now the baton is either and AK47 rifle, or pistols. They walk out looking like this it will instill fear in the population

View attachment 1177504

even kenya wildlife services is now militarized. They are now being trained by British military.

View attachment 1177509
If you are law abiding citizen then you have nothing to fear, dear.
 
Hivi Wakenya hamuwezi kuandika chochote bila kuitaja Tanzania. Hebu tafuteni uwezo wa kuwa na aridhi maana mtu moja ana nusu ya aridhi hamna hata mahali pa kulima.
Hebu wazeni mambo ya maendeleo acheni wivu wa kijinga jinga.
Nyambafuuuu
Wacha niongeze kiasi. Hawa wanadada wanaweza waondoa presidential Guard wa Magufuli kwa dakika mbii na kumleta Magu Hadi ikulu ya Nakuru ateremshe kikombe Cha chai na arejeshwe Dar na Wanadada Hawa warudi Kenya pole pole bila kuulizwa na yeyote.
 
Back
Top Bottom