Lakini pia mabadiliko aliofanya kocha kipindi cha pili yalitugharimu zaidi..angemuacha juuko murshidi angemtoa mkude. Maana alieingia badala ya juuko ni chama...Naunga mkono hoja, halafu nini kinamshinda Kotei kuwa accurate kwenye passing
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hatua ya kuingia 1/2 final ilikuwa kiboko kweli kweliKwanza kabisa niwapongeze wachezaji..bechi LA ufundi na uongozi kwa ujumla wake.. Robo fainali ni hatua kubwa sana . kwa mm naona bora tumetolewa kwani hata kama tungeshinda mbeleni tungepata aibu kubwa zaidi.uwezo wa wachezaji wetu wengi ni mdogo sana kwa levo ya kimataifa .. Hawana uwezo wa kukaa na mpira..hawana kasi..hawawezi kukaba .. Pia hawana nguvu..kuanzia beki line . viungo mpaka washambuliaji.. Kwa mm anaestaili kubaki kikosi cha kwanza ni Aishi manula. Elasto..niyonzima..Chama..kagele..na kapombe. Wengine warudishwe kikosi cha pili na baadhi waachwe kabisa..mechi ya Jana viungo vilikufa kabisa MTU kama mkude hakutakiwa kumaliza mechi.
Naona kama ww Ndio unaakili fupi..hayo ni maoni yangu si lazima uyakubaMtoa mada unaakili fupi sana we unafikiri kuchukua ubingwa wa vilabu nijambo rahisi sana kwakufanya unavyotaka wewe !!
Simba haina wachezaji wabaya kama unavyowatoa makosa kiasi hicho niswala lakuboost baadhi ya maeneo kwakuleta quality players wenye uzoefu wa big tournament
Kuna vilabu vimewekeza sana africa na mpaka leo hata nusu fainali havijafika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maoni mazuri.Mtoa mada unaakili fupi sana we unafikiri kuchukua ubingwa wa vilabu nijambo rahisi sana kwakufanya unavyotaka wewe !!
Simba haina wachezaji wabaya kama unavyowatoa makosa kiasi hicho niswala lakuboost baadhi ya maeneo kwakuleta quality players wenye uzoefu wa big tournament
Kuna vilabu vimewekeza sana africa na mpaka leo hata nusu fainali havijafika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio Kocha mkuu, tatizo ni backline yetu wachezaji wengi ukimtoa Nyoni na Tshabalala hawako poa. Kubwa kuliko yote kuna maeneo kama Beki namba 5 na 2 lazima wapatikane watu, Kiungo mkabaji mzuri pale kati na Mshambuliaji walau mmoja haraka simba inahitaji wachezaj angalau wanne.Nadhani faraja zisizo na tija hazijengi.Kuna jambo ambalo watu hawasemi ukweli , Simba imefungwa magoli rahisi kuliko timu nyingi. Ndiyo, Simba imefika robo fainali LAKINI katika match dhidi ya Mazembe iwapo Simba ingekuwa na kocha kama yule wa Sundon au yule mfaransa aliyeondoka mwaka jana Simba ingeweza shinda match au kufungwa kwa Small margin.Kocha ameshindwa kutengeneza water tight defence hebu angalia Simba away record kuanzia group stage ya kufungwa 16 : 1, hiyo sio sawa.Siandiki kama mnazi wa Yanga au Simba lakini kama mtanzania anayeipenda nchi yake.Najaribu kuota match Simba vs Al Masiri kule Misiri (Last year) ambapo matokeo yalikuwa 0:0 pia .najaribu kuota match ya Yanga Vs Timu ya Zimbabwe sometime back iliyochezwa Harare matokeo : 2 for Yanga na mwisho Match Uganda crane Vs Taifa star kule Uganda matokeo 0 :0. Hizi match tatu hapo juu zinaonyesha pakiwapo na mipango Timu za Tanzania zinaweza kushinda away au kushindwa kwa magoli machache.Samahani kwa kuandika Gazeti LAKINI naomba MO alisome.Kabla ya ku comment maoni yangu soma kila neno kwa makini.Ahsante
Hoja ya mleta mada ni kwamba viungo wa sasa wanakaa na mpira muda mfupi, sio hiyo unayosema ya kupoteza mipira. Msome hapa:Kiungo Ndio mchezesha timu..sasa kama atakuwa anapoteza mpira kwa kuipiga hovyo..timu lazima ikatike na washambuliaji watakosa mipira.
Kwa mfano kotei na mkude ni viungo lakini hawana uwezo wa kukaa na mpira na kupandisha timu.. Kotei akikaba na kumiliki kinachofuata ni kuanua mbele..pia mkude.
Kwa hivyo msimu ujao Uongozi waKwanza kabisa niwapongeze wachezaji..bechi LA ufundi na uongozi kwa ujumla wake.. Robo fainali ni hatua kubwa sana . kwa mm naona bora tumetolewa kwani hata kama tungeshinda mbeleni tungepata aibu kubwa zaidi.uwezo wa wachezaji wetu wengi ni mdogo sana kwa levo ya kimataifa .. Hawana uwezo wa kukaa na mpira..hawana kasi..hawawezi kukaba .. Pia hawana nguvu..kuanzia beki line . viungo mpaka washambuliaji.. Kwa mm anaestaili kubaki kikosi cha kwanza ni Aishi manula. Elasto..niyonzima..Chama..kagele..na kapombe. Wengine warudishwe kikosi cha pili na baadhi waachwe kabisa..mechi ya Jana viungo vilikufa kabisa MTU kama mkude hakutakiwa kumaliza mechi.
Kati ya wachezaji wasiotumia akili nia Gadiel, huyu hata mkongoman anamjua hopeless kabisaHAWA NI WACHEZAJI WANAOTAKIWA KUTEMWA MSIMU UJAO
1. Dida
2. Gyan
3. Kwasi
4. Mlipili
5. Bukaba
6.Juuko
7. Ndemla
8. Salamba
9. Okwi
10. Wawa
WATAFUTWE "AFRICAN CLASS PLAYER"
1. Beki wa kati
2. Mshambuliaji hatari
3. Kiungo Mkabaji
4. Kiungo mshambuliaji (zaidi ya Chama)
5. Inside ten
WACHEZAJI WATANZANIA
1. Kipa
2. Beki wa kushoto (Gadiel)
3. Beki wa Kati (callibre ya Nyoni au Yondani)
4. Kiungo mkabaji
Ndiyo maana wakati mwingine huwa nadhani huu usimba na uyanga unaturudisha nyuma sana kisoka mdau ameleta mada nzuri lakini anakuja mwanayanga anakejeli the same kwa mwanayanga anaweza leta mada nzuri kuhusu timu yao lakini mwanasimba anakejeli.Nakwambia wana Visimi virefu utafikiri timu yao ni ESPERANCE
Haohao kumi waliopangwa na TFF.Kwa hivyo msimu ujao Uongozi waSimbaTFF uruhusu wachezaji wangapi wa kigeni badala ya kumi mliojipangia msimu huu?
Kuna yule Shaibu wa Yanga mie naona ni beki mkabaji na anafanya tackling hawezi kutufaa?Kati ya wachezaji wasiotumia akili nia Gadiel, huyu hata mkongoman anamjua hopeless kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani huyo jamaa mpuuzi sana huyo coulbaly msemgerema sana aiseKuna mambo nakubaliana na wewe ila kwa wachezaji umeweka wachache mno. Kwa maoni yangu Niyonzima hapaswi kuwa kikosi cha kwanza badala yake aanze Chama, pia Beki 3 yuko vizuri anahtaji marekebisho tu. Bocco bado ni mchezaji muhimu na anastahili kuwemo. Mchezaji MAALUM ninayetaka kumsema Leo ni huyu anayekula mpunga mrefu kwa kazi nyepesi anayofanya, Coulibaly!! Huyu hata mechi za ndani achezeshwe na Alliance, Lipuli, African Lyon na WanaKino.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela za CAF zinalipa madeni ya MoHela si tumepata kutoka CAF..baada ya kufuzu makundi na robo fainali.. Alafu pia Simba ni kampuni.
Hela za CAF zinalipa madeni ya Mo
Mleta mada tu hajui , kikosi kilishafumuliwa Mara nne hapo kilipo hakina rinda hata moja sasa kifumuliwe nini tena? Hahahaaa!Ndio maisha ya mpira yalivyo ..nikusajiri na kuacha pale unapoona malengo hayajatimia..sio simba tu hata huko kwa wenzetu walio tutangulia kimpira.
Mume gani asiye na rinda hata moja? Kila mtu amejiiingizia atakavyo! Kazi yenu nikukata mauno tuWewe bakuli fc mambo ya simba yanakuwasha nini...mukiona thread ya mume wenu simba lazima muishobokee
Ila nyie wanaume zenu, tip mazembe, alahily, as vita waliwapumulia vizur maana marinda yote waliyatatatataaaaaaaaaaaaaaKile kimoja cha cku ile inaonekana hatukuwagegeda vizuri
Natamani yule jamaa aje Msimbazi, tatizo pesa ya kumng'oa Mazembe ipo?Mnunueni Jackson Muleka Jana aliwakimbiza wale wazee akina na nyoni pia na kazaliwa nyoni akiwa anacheza mpira 1997. Punguzeni wazee