Kikosi cha Simba SC kimeondoka kwenda Afrika Kusini kujiandaa na Msimu Mpya 2019/2020

Kagera sugar wanaendaga wapi??home and away wanakuchapa...Kanji bando limekataa Uturuki mbali eeh?
 
ushamba bwana...mtu anashangaa Yanga kwenda moro ila hashangai Mamelodi au kaizer chiefs hawajaenda popote
 
ushamba bwana...mtu anashangaa Yanga kwenda moro ila hashangai Mamelodi au kaizer chiefs hawajaenda popote
Unafikiri kwa nini Yanga wameenda Moro hawajabaki dar Kwenye uwanja wanaofanyia kila siku.
Nilijibu kulingana na mawazo yako.
Je unafikiri kwa nini timu za uingereza huwa haziweki kambi hapo hapo uingereza?
 
Hivi amekujibu kweli, au anahangaika na kuvuna Matikiti...Safi mkuu
Unafikiri kwa nini Yanga wameenda Moro hawajabaki dar Kwenye uwanja wanaofanyia kila siku.
Nilijibu kulingana na mawazo yako.
Je unafikiri kwa nini timu za uingereza huwa haziweki kambi hapo hapo uingereza?
 

Haya ndiyo Maendeleo ya Uwekezaji ambayo tunayataka nchini Tanzania. Hongera kwa Wana Simba SC wote na nitope pia pongezi zangu kwa Uongozi wa Simba, Bodi na hadi kwa Mwekezaji mwenyewe kwa kuanza kuifanya Simba SC sasa iishi Kisasa zaidi huku ikiwa na Malengo makubwa ambayo nina Imani watayatimiza tu Siku si nyingi.
 
Unafikiri kwa nini Yanga wameenda Moro hawajabaki dar Kwenye uwanja wanaofanyia kila siku.
Nilijibu kulingana na mawazo yako.
Je unafikiri kwa nini timu za uingereza huwa haziweki kambi hapo hapo uingereza?

zile huwa zinaenda nje kibiashara zaidi
 
Wanapoteza pesa bure ligi yenyewe Ya kujiandaa hivyo ipo wapi? Bagamoyo au Moro pangetosha sana
Hatuwezijua nyuma ya pazia nini kilichowapeleka ukiongeza na timu ya wanawake walioenda Ujerumani.
 
Kwani umeambiwa wanajiandaa kwa ajili ya ligi tu? Na michuano ya Kimataifa haiwahusu?
Ninavyojua mimi samba maandalizi yake makubwa ni ili aje aishinde yanga tu hata na hao wenzao pia hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…