Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa stars' kikiwa ndani ya Ndege kuelekea Cape Verde

Yaani tatizo la taifa stars ni pale mnapowapa attention ya kitaifa lazima watapigwa tena kipigo cha mbwa koko, lakini mkiwapotezea huwa wanaendelea vizuri tu huko
Ulipata vipi nafasi ya kuingia kwenye ubongo wangu!!!....100% true
 
"dreamliner" kweli ni bonge la ndege...

please hide my ID!
 


Mkuu kwa taarifa yako sio kila runway ndege zote zinaweza kutua na kuondoka, tafuta youtube ya Captain Shaidi alivyoileta Dreamliner then utafumbua macho kidogo kuwa kuna factors kadhaa ambazo huwa wanaziangalia kwanza... lakini ukweli unabaki kuwa mzee na matamko yake yalikuwa ya kisiasa zaidi na si uhalisia kwani Dreamliner ina uwezo wa kutua na kuondoka Cape Verde bila shida
 

Ethiopian Airways pale arusha ilikuja kurushwa na watalaam kutoka nje sio marubani wao wa kawaida labda hulijui hilo.
 
Acha usanii wewe unavojua Ethiopia ile ndege ilitua pale kwa kupenda au ni emergency landing. Au unajua ile takeoff ya ile ndege ilikuwa rahisi Sana eeh
Kwahivyo ulitakaje hapo?
 
Safari hii December nikienda Moshi kuhesabiwa lazima nipande fastjet.

Tena namuomba konda anipangie na mtoto mkaliiii. Maana kwa mbanano huo japo safari ni ya mda mfupi ila nitafaidi kuliko kupanda basi.
 
Utafikili mambasi ya mwendokasi,walivo banana
 
Na hapo Taifa stars pamoja yakubanana ndiyo wamekaa ''first class / VIP" naona kapazi nyuma yao kuonesha wanajaliwa

Ilitakiwa kila mchezaji mmoja kukalia viti viwili ili wasipate madhara yanayotambuliwa ktk sport science ,maana Embraer e-190 ni kwa safari fupi za masaa mawili maximum na siyo kwa safari ya Cape Verde ya masaa 6.

Bingwa wa afya za michezo hakumwambia mambo hayo Mwakyembe /TFF juu ya umuhimu wa room-leg kwa wanamichezo ktk usafiri ili wanamichezo wetu waweze kuwa fit kimchezo.

Hongera kampuni yetu ya kizalendo Fastjet kwa kuokoa jahazi la usafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…