Kikosi cha Usalama Barabarani Jiji Mwanza chukua Tahadhali Mapema

Kikosi cha Usalama Barabarani Jiji Mwanza chukua Tahadhali Mapema

Ndebile

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
7,745
Reaction score
11,267
Hizi gari ndogo za abiria aina ya Toyota Hiace za njia ya Mwaloni - Shibula kupitia Kiseke PPF ni hatari na zitamaliza watu....mwendo Kasi, madereva na kondakta wote wanakuwa wamelewa kuanzia asubuhi, gari ni mbovu Sana (ni Hiace mbili tu zenye unafuu) njia hii hakuna trafiki hata mmoja, wanashindana na Costa za Nyamadoke, na bajaji yaani ni vurugu tupu...kwa wiki hii tu tayari kuna ajali 6 na watu wawili wamepoteza maisha!

Jambo la kushangaza ni kwamba madereva wa gari kubwa maarufu kama Costa wenyewe hawana fujo tofauti na wenzao wa Hiace!

Msije kusema hatukuwaambia, taarifa hii itabaki kama ushahidi!
 
Hizi gari ndogo za abiria aina ya Toyota Hiace za njia ya Mwaloni - Shibula kupitia Kiseke PPF ni hatari na zitamaliza watu....mwendo Kasi, madereva na kondakta wote wanakuwa wamelewa kuanzia asubuhi, gari ni mbovu Sana (ni Hiace mbili tu zenye unafuu) njia hii hakuna trafiki hata mmoja, wanashindana na Costa za Nyamadoke, na bajaji yaani ni vurugu tupu...kwa wiki hii tu tayari kuna ajali 6 na watu wawili wamepoteza maisha!

Jambo la kushangaza ni kwamba madereva wa gari kubwa maarufu kama Costa wenyewe hawana fujo tofauti na wenzao wa Hiace!

Msije kusema hatukuwaambia, taarifa hii itabaki kama ushahidi!
Si ndio huko wanakoabudu Zumaridi eti ni Mungu?
 
Back
Top Bottom