Tutashinda Inshallah.Draw au tushinde
Wale nao wanamuomba Mungu yule yule hivyo hapo ni bahati itatubeba.Tutashinda Inshallah.
Bahati itakua kwetu na Mungu wa Ibrahim, Isacka na Yakobo atajibu maombi yetu.Wale nao wanamuomba Mungu yule yule hivyo hapo ni bahati itatubeba
Simba inapanda ndege kwenda kucheza mechi za kimataifa.Taifa linaenda KUAIBIKA....tena safari hii wanaopiaibisha TAIFA ni raia wa nchi nyingine.....NYUMBU....MUGALU.....CHAMA... MASKWINI...BABU
Sawa kidada cha kidimbwiKuna watu wanaenda kuaibisha taifa muda si mrefu.
Nyani mtabaki kuwa nyani tuTaifa linaenda KUAIBIKA....tena safari hii wanaopiaibisha TAIFA ni raia wa nchi nyingine.....NYUMBU....MUGALU.....CHAMA... MASKWINI...BABU
Daaah Aisee...![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyani mtabaki kuwa nyani tuView attachment 1698073
Mngejua uwepo wa mungu msingetumia mipaka kwenye mechi zenu.Bahati itakua kwetu na Mungu wa Ibrahim, Isacka na Yakobo atajibu maombi yetu.
Kikosi cha wachezaji 27 wa Simba SC, ambacho kinasafiri leo Jumanne saa kumi Alasiri, January 9, 2021 kuelekea nchini DR Congo kwa ajili ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika dhidi ya AS Vita Club, February 12, 2021.
Kikosi hicho cha Simba SC, kitaendelea kumkosa Nahodha wake John Bocco ambaye ni majeruhi na Perfect Chikwende ambaye usajili wake ni kwa ajili ya Ligi Kuu Tanzania VPL na FA, kwa vile sheria ya Caf haimruhusu kucheza timu mbili tofauti kwasababu alicheza Klabu Bingwa Afrika akiwa Platinum FC ya Zimbabwe.
Kila la heri Simba SC Viongozi, benchi la ufundi na wachezaji.
View attachment 1697997