MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
FIRST ELEVEN tunayoitaka icheze Kesho
1. Msheri
2. Shomary
3. Yassin
4. Job
5. Shaibu
6. Mauya
7. Kaseke
8. Mapinduzi
9. Ushindi
10. Makambo
11. Ambundo
Tafadhali sana Uongozi wa Yanga SC Sisi wana Yanga SC wenye Uchungu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mimi MINOCYCLINE tunataka Kesho kipangwe Kikosi hiki tu na hatutaki mkibadilishe kwa sasa Yanga SC nzima Wachezaji wazuri ni hawa niliowataja hapa na waliobakia ( nisiowataja ) ndiyo Wabovu kabisa, hawatufai na ikiwezekana tuwateme ( tuwaache ) kabisa mwisho wa Msimu.
1. Msheri
2. Shomary
3. Yassin
4. Job
5. Shaibu
6. Mauya
7. Kaseke
8. Mapinduzi
9. Ushindi
10. Makambo
11. Ambundo
Tafadhali sana Uongozi wa Yanga SC Sisi wana Yanga SC wenye Uchungu hapa JamiiForums wakiongozwa na Mimi MINOCYCLINE tunataka Kesho kipangwe Kikosi hiki tu na hatutaki mkibadilishe kwa sasa Yanga SC nzima Wachezaji wazuri ni hawa niliowataja hapa na waliobakia ( nisiowataja ) ndiyo Wabovu kabisa, hawatufai na ikiwezekana tuwateme ( tuwaache ) kabisa mwisho wa Msimu.